Posted on: August 7th, 2025
Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa uhuru 2025 ndg. Ismail Ali Ussi ameipongeza Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga kwa namna ambavyo inaendelea kutunza na kuhifadhi mazingira kwa kupanda Miti na matumishi...
Posted on: August 7th, 2025
Mwenge wa uhuru halmashauri ya manispaa ya shinyanga umeweka jiwe la msingi ujenzi wa ofisi ya machinga na bodaboda manispaa ya shinyanga mradi uliopo kata ya Lubaga mradi unaogharimu jumla ya Milioni...
Posted on: August 7th, 2025
Mwenge wa uhuru umeridhishwa na ujenzi wa shule mpya ya Sekondari Ishigwandama kata ya Kizumbi manispaa ya shinyanga wenye jumla ya shilingi milioni 106,890,563 ambapo mwenge wa uhuru umezundua mradi ...