Posted on: July 30th, 2021
Leo tarehe 30/07/2021 pikipiki 5 zimekabidhiwa kwa kikundi cha Mnarani-boda kutoka Kata ya Kitangili.
Pikipiki hizi zimegharimu jumla ya Shilingi 12,000,000 ambazo ni sehemu ya 10% ya mapato ...
Posted on: July 25th, 2021
Naibu Waziri wa Madini Prof. Shukrani Manya akizungumza leo Jumapili Julai 25,2021 wakati akifungua Maonesho ya Pili ya Biashara na Teknolojia ya Madini Mkoa wa Shinyanga katika uwanja wa Zainab Telac...
Posted on: June 23rd, 2021
Mkurugenzi wa Halmashauri ya Shinyanga Geoffrey Mwangulumbi, leo asubuhi tarehe 23/06/2021 ameitisha kikao kifupi cha watumishi akiwatahadharisha juu ya wimbi la tatu la ugonjwa wa KORONA.
Alisema ...