• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe |
    • Malalamiko |
Shinyanga Municipal Council
Shinyanga Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Mipaka ya Kiutawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Rasilimali Watu
      • Elimu ya Sekondari
      • Elimu ya Msingi
      • Fedha
      • Ujenzi
      • Kilimo na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii,Ustawi wa Jamii na Vijana
      • Mipango, Ufuatiliaji na Takwimu
      • Hearth
      • Usafi na Mazingira
      • Land and Natural Resources
    • Vitengo
      • Tecknolojia, Habari, Mawasiliano na Uhusiano
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Usimamizi wa Ununuzi
      • Nyuki na Maliasili
  • Fursa za Uwekezaji
    • Uwekezaji wa Viwanda
    • Fursa za kilimo
    • Ufugaji
    • Ufugaji wa Samaki
    • Fursa za elimu
    • Fursa za Afya
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya Afya
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma ya Maji
    • Huduma ya kilimo
    • Huduma za Ufugaji
    • Ufugaji wa Samaki
    • Huduma za Watumishi
    • Huduma ya utoaji wa Mikopo
    • Kukondisha Vyumba vya Biashara
    • Unyonyaji wa Maji Taka
    • Huduma za Biashara
      • Leseni za Biashara
      • Elimu ya kibiashara
      • Ukaguzi wa Viwanda
      • Usimamizi wa Masoko
      • Prepalation of Good Environment for Investment
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha na Utawala
      • Kamati ya Uchumi, Afya na Elimu
      • Kamati ya Miundombinu
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya kamati za Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iIliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo za Halmashauri
    • Mkataba wa huduma kwa wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu za maombi
    • Miongozo
    • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • Mafunzo

“ZOEZI LA USAFI WA MAZINGIRA LIWE ENDELEVU RC MBONI”

Posted on: September 20th, 2025

Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga, Mhe. Mboni Mhita amewataka wananchi na wafanyabiashara mkoani Shinyanga kuendeleza utamaduni wa kufanya usafi wa mazingira kwa lengo la kulinda afya ili kuendeleza kuyafanya mazingira kuwa bora na salama.


Akizungumza leo, Septemba 20, 2025, katika kilele cha maadhimisho ya Siku ya Usafishaji Duniani yaliyofanyika kimkoa katika Soko la Matunda Kambarage, Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga, Mhe. Mhita ameipongeza Manispaa hiyo kwa kuendelea kushika nafasi za juu kwa miaka kadhaa katika ushindani wa kitaifa wa usafi wa mazingira.


“Manispaa yetu ya Shinyanga imekuwa kinara kwa miaka kadhaa katika suala la usafi wa mazingira. Hii ni ishara kwamba kwetu usafi siyo tukio la msimu, bali ni utamaduni. Nawapongeza wananchi wote chini ya usimamizi wa Mkurugenzi wa Manispaa kwa kutetea heshima hii. Hata hivyo, tunapaswa kuongeza jitihada zaidi kuanzia kwenye familia, mitaa, maeneo ya kazi na masoko ili tuendelee kuwa mfano bora kwa taifa.” amesema Mhe. Mhita.


Kwa upande wake, Mkurugenzi wa Manispaa ya Shinyanga, Mwl. Alexius Kagunze, Amesema katika kuthamini mazingira ya wafanya biashara, Serikali kupitia mradi wa TACTIC unaofadhiliwa na Benki ya Dunia, imepanga kubomoa na kujenga upya Soko la Kambarage ili kuboresha mazingira ya wafanyabiashara na kuwapatia miundombinu ya kisasa zaidi.


Maadhimisho ya Siku ya Usafi Duniani 2025 yamebeba kaulimbiu isemayo: “Tunza Mazingira kwa Kuzipa Taka Thamani.”

Tangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WA MADEREVA April 14, 2023
  • TAARIFA KWA UMMA April 27, 2023
  • MAADHIMISHO YA WIKI YA UNYONYESHAJI WA MAZIWA DUNIANI August 04, 2023
  • TAARIFA KWA UMMA MAONESHO YA NANENANE 2023 July 31, 2023
  • Tazama

Habari Mpya

  • FUATILIA MATUKIO MBALIMBALI YA MANISPAA YA SHINYAGA KUPITIA MITANDAO YETU YA KIJAMII

    September 30, 2025
  • KASI YA MAENDELEO SHINYANGA YAMKOSHA RC MHITA

    September 26, 2025
  • BARAZA LA WAZEE MANISPAA YA SHINYANGA LAADHIMISHA SIKU YA WAZEE KWA KUTOA MSAADA KITUO CHA KOLANDOTO.

    September 20, 2025
  • “ZOEZI LA USAFI WA MAZINGIRA LIWE ENDELEVU RC MBONI”

    September 20, 2025
  • Tazama

Video

MWENGE WA UHURU HALMASHAURI YA MANISPAA YA SHINYANGA 2024
Video Zaidi

Kiunganishi cha haraka

  • Tangazo la nafasi ya kazi Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga
  • Urban Sanitation and Hygiene | Mazingira Safi Maisha Bora
  • Ripoti mbalimbali
  • Sheria Ndogondogo za Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga

Tovuti Nyingine tunazohusiana

  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa(TAMISEM)
  • Tovuti ya Utumishi
  • Wizara ya Elimu,Sayansi na Teknologia
  • Baraza la Mitihani Tanzania
  • Mkoa wa Shinyanga
  • Sekretarieti ya Ajira

wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya eneo

Wasiliana Nasi

    Tanesco S, Mwanza Road

    Anwani ya Posta: P.O.Box 28 Shinyanga

    Simu: +255-28-2763213

    Simu ya Mkononi: 0759 023 788

    Baruapepe: md@shinyangamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Ramani ya Tovuti
    • Sera ya faragha
    • Kanusho

Haki zote zimehifadhiwa@2018.Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga