• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe |
    • Malalamiko |
Shinyanga Municipal Council
Shinyanga Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Mipaka ya Kiutawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Rasilimali Watu
      • Elimu ya Sekondari
      • Elimu ya Msingi
      • Fedha
      • Ujenzi
      • Kilimo na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii,Ustawi wa Jamii na Vijana
      • Mipango, Ufuatiliaji na Takwimu
      • Hearth
      • Usafi na Mazingira
      • Land and Natural Resources
    • Vitengo
      • Tecknolojia, Habari, Mawasiliano na Uhusiano
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Usimamizi wa Ununuzi
      • Nyuki na Maliasili
  • Fursa za Uwekezaji
    • Uwekezaji wa Viwanda
    • Fursa za kilimo
    • Ufugaji
    • Ufugaji wa Samaki
    • Fursa za elimu
    • Fursa za Afya
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya Afya
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma ya Maji
    • Huduma ya kilimo
    • Huduma za Ufugaji
    • Ufugaji wa Samaki
    • Huduma za Watumishi
    • Huduma ya utoaji wa Mikopo
    • Kukondisha Vyumba vya Biashara
    • Unyonyaji wa Maji Taka
    • Huduma za Biashara
      • Leseni za Biashara
      • Elimu ya kibiashara
      • Ukaguzi wa Viwanda
      • Usimamizi wa Masoko
      • Prepalation of Good Environment for Investment
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha na Utawala
      • Kamati ya Uchumi, Afya na Elimu
      • Kamati ya Miundombinu
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya kamati za Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iIliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo za Halmashauri
    • Mkataba wa huduma kwa wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu za maombi
    • Miongozo
    • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • Mafunzo

WATENDAJI WA MITAA NA KATA MANISPAA YA SHINYANGA WAJENGEWA UWEZO KUHUSU MFUMO WA ANWANI ZA MAKAZI

Posted on: July 15th, 2025

WATENDAJI WA MITAA NA KATA MANISPAA YA SHINYANGA WAJENGEWA UWEZO KUHUSU MFUMO WA ANWANI ZA MAKAZI.


Na. Shinyanga MC


Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga imeendesha mafunzo maalum ya Mfumo wa Anwani za Makazi kwa watendaji wapya na waliopo wa mitaa, vitongoji na kata, ikiwa ni hatua muhimu ya kuwawezesha kutekeleza kikamilifu zoezi la usajili wa anwani katika maeneo yao.


Mafunzo hayo yamefanyika leo Julai 15, 2025 katika ukumbi wa mikutano wa Lewis Kalinjuna uliopo Ofisi ya Mkurugenzi wa Manispaa ya Shinyanga, yakilenga kuongeza uelewa, umahiri na weledi wa watendaji hao kuhusu matumizi sahihi ya mfumo huo wa kidijitali.


Akizungumza wakati wa ufunguzi wa mafunzo hayo Mkurugenzi wa Manispaa ya Shinyanga, Mwl. Alexis Kagunze, amesisitiza kuwa mfumo wa anwani za makazi ni nyenzo muhimu katika kuleta maendeleo ya miji, kurahisisha utoaji wa huduma kwa wananchi, kuimarisha usalama na kuwezesha serikali kupanga mipango ya maendeleo kwa ufanisi zaidi.


“Kupitia mfumo huu, Serikali inaweza kufuatilia maendeleo ya maeneo mbalimbali, kupanga miundombinu kwa tija, na kuhakikisha huduma kama posta, afya, elimu na uokoaji zinawafikia wananchi kwa haraka na kwa usahihi. Huu ni msingi wa ustaarabu wa miji na maendeleo endelevu,” amesema Mwl. Kagunze.


Kwa upande wake, Mtaalamu wa Mfumo wa Anwani za Makazi kutoka Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Ndg. Charles Semzaba, amewahimiza watendaji hao kuwa mstari wa mbele katika kuhakikisha taarifa za anwani zinakusanywa, kuhakikiwa na kuingizwa kwenye mfumo wa kidijitali kwa usahihi.


Mfumo wa Anwani za Makazi ni mojawapo ya mfumo unaolenga kuiweka nchi kwenye ramani ya kidijitali, kukuza uchumi wa kidijitali, na kuharakisha utoaji wa huduma mbalimbali kwa wananchi kwa njia za kisasa na bora zaidi.

Tangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WA MADEREVA April 14, 2023
  • TAARIFA KWA UMMA April 27, 2023
  • MAADHIMISHO YA WIKI YA UNYONYESHAJI WA MAZIWA DUNIANI August 04, 2023
  • TAARIFA KWA UMMA MAONESHO YA NANENANE 2023 July 31, 2023
  • Tazama

Habari Mpya

  • MWL. KAGUNZE AONGOZA KONGAMANO LA WALIMU SPESHO MANISPAA YA SHINYANGA

    July 17, 2025
  • WATENDAJI WA MITAA NA KATA MANISPAA YA SHINYANGA WAJENGEWA UWEZO KUHUSU MFUMO WA ANWANI ZA MAKAZI

    July 15, 2025
  • MENEJIMENTI YA MANISPAA YA SHINYANGA YATEMBELEA NA KUKAGUA MIRADI YA MAENDELEO

    July 15, 2025
  • MWL. KAGUNZE AKIONGEA NA WATUMISHI AJIRA MPYA

    July 14, 2025
  • Tazama

Video

MWENGE WA UHURU HALMASHAURI YA MANISPAA YA SHINYANGA 2024
Video Zaidi

Kiunganishi cha haraka

  • Tangazo la nafasi ya kazi Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga
  • Urban Sanitation and Hygiene | Mazingira Safi Maisha Bora
  • Ripoti mbalimbali
  • Sheria Ndogondogo za Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga

Tovuti Nyingine tunazohusiana

  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa(TAMISEM)
  • Tovuti ya Utumishi
  • Wizara ya Elimu,Sayansi na Teknologia
  • Baraza la Mitihani Tanzania
  • Mkoa wa Shinyanga
  • Sekretarieti ya Ajira

wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya eneo

Wasiliana Nasi

    Tanesco S, Mwanza Road

    Anwani ya Posta: P.O.Box 28 Shinyanga

    Simu: +255-28-2763213

    Simu ya Mkononi: 0759 023 788

    Baruapepe: md@shinyangamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Ramani ya Tovuti
    • Sera ya faragha
    • Kanusho

Haki zote zimehifadhiwa@2018.Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga