• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe |
    • Malalamiko |
Shinyanga Municipal Council
Shinyanga Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Mipaka ya Kiutawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Rasilimali Watu
      • Elimu ya Sekondari
      • Elimu ya Msingi
      • Fedha
      • Ujenzi
      • Kilimo na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii,Ustawi wa Jamii na Vijana
      • Mipango, Ufuatiliaji na Takwimu
      • Hearth
      • Usafi na Mazingira
      • Land and Natural Resources
    • Vitengo
      • Tecknolojia, Habari, Mawasiliano na Uhusiano
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Usimamizi wa Ununuzi
      • Nyuki na Maliasili
  • Fursa za Uwekezaji
    • Uwekezaji wa Viwanda
    • Fursa za kilimo
    • Ufugaji
    • Ufugaji wa Samaki
    • Fursa za elimu
    • Fursa za Afya
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya Afya
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma ya Maji
    • Huduma ya kilimo
    • Huduma za Ufugaji
    • Ufugaji wa Samaki
    • Huduma za Watumishi
    • Huduma ya utoaji wa Mikopo
    • Kukondisha Vyumba vya Biashara
    • Unyonyaji wa Maji Taka
    • Huduma za Biashara
      • Leseni za Biashara
      • Elimu ya kibiashara
      • Ukaguzi wa Viwanda
      • Usimamizi wa Masoko
      • Prepalation of Good Environment for Investment
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha na Utawala
      • Kamati ya Uchumi, Afya na Elimu
      • Kamati ya Miundombinu
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya kamati za Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iIliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo za Halmashauri
    • Mkataba wa huduma kwa wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu za maombi
    • Miongozo
    • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • Mafunzo

WANAFUNZI KUTOKA SHULE 20 ZA MANISPAA YA SHINYANGA WAKUTANA KUBADILISHANA UJUZI ILI KUBORESHA TAALUMA.

Posted on: May 17th, 2025

WANAFUNZI KUTOKA SHULE 20 ZA MANISPAA YA SHINYANGA WAKUTANA KUBADILISHANA UJUZI ILI KUBORESHA TAALUMA


Na: Shinyanga MC


Katika juhudi za kuinua viwango vya taaluma kwa wanafunzi wa sekondari, Idara ya Elimu Sekondari Manispaa ya Shinyanga imeandaa hafla maalum iliyowakutanisha wanafunzi kutoka shule 20 za Sekondari zilizopo ndani ya Manispaa hiyo. Hafla hiyo imefanyika leo, Mei 17, 2024, katika ukumbi wa mikutano wa Shule ya Wasichana Shinyanga.


Tukio hilo limewaleta pamoja wanafunzi wa kidato cha kwanza hadi cha nne pamoja na walimu wao kwa lengo la: Kubadilishana maarifa ya kitaaluma, Kukuza vipaji vya wanafunzi, Kujenga mahusiano chanya miongoni mwao, Kuweka mikakati ya pamoja ya kuinua ufaulu katika Manispaa ya Shinyanga.


Akifungua rasmi hafla hii mgeni rasmi ambaye ni Mthibiti Ubora wa Elimu wa Manispaa ya Shinyanga, Mwl. Edith Mwijage, amewahimiza wanafunzi kuwa na shauku ya kujifunza kila siku, kutafuta maarifa mapya, na kujiepusha na makundi yasiyofaa ili kufikia ndoto zao. Aidha, huku akiwahimiza walimu kuandaa matukio kama haya mara kwa mara kwa ajili ya kubadilishana uzoefu na maarifa.


Naye Afisa Elimu Taaluma Sekondari wa Manispaa ya Shinyanga, Mwl. Richard Makoye, amesema kuwa tukio hilo limeandaliwa kwa makusudi ili kuwapa wanafunzi jukwaa la kuonyesha uwezo wao wa kitaaluma, kujifunza kwa wenzao, na kuhamasishwa zaidi katika masomo.


Kwa upande wake Mwl. Greyson George, akiwasilisha mada amesisitiza umuhimu wa mwanafunzi kuwa na ratiba ya masomo, kuepuka matumizi mabaya ya muda, na kuwa na bidii ya masomo, pamoja na kujiamini na kushirikiana na walimu ni nguzo muhimu za mafanikio.


Ikumbukwe kuwa, Manispaa ya Shinyanga kwa mwaka wa Elimu 2024 iliongoza kwa ufaulu kwa asilimia 97% kati ya Halmashauri sita za Mkoa wa Shinyanga, mafanikio haya yakiakisi jitihada endelevu za Idara ya Elimu Sekondari kwa kushirikiana na Ofisi ya Mkurugenzi wa Manispaa.


Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga inaendelea kuimarisha elimu kwa kushikilia kauli mbiu yake isemayo :”SHINYANGA MUNICIPAL LET’S PUSH TOGETHER: I MUST, I WILL, I CAN.”


Tangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WA MADEREVA April 14, 2023
  • TAARIFA KWA UMMA April 27, 2023
  • MAADHIMISHO YA WIKI YA UNYONYESHAJI WA MAZIWA DUNIANI August 04, 2023
  • TAARIFA KWA UMMA MAONESHO YA NANENANE 2023 July 31, 2023
  • Tazama

Habari Mpya

  • WANAFUNZI KUTOKA SHULE 20 ZA MANISPAA YA SHINYANGA WAKUTANA KUBADILISHANA UJUZI ILI KUBORESHA TAALUMA.

    May 17, 2025
  • ''MSIKATISHWE NDOTO ZENU, ELIMU YENU IWE CHACHU YA MAENDELEO YA TAIFA”. RC MACHA

    May 16, 2025
  • WANANCHI MANISPAA YA SHINYANGA WAASWA KUCHANGAMKIA MIKOPO YA ASILIMIA 7 ILI KUJIKWAMUA KIUCHUMI.

    May 14, 2025
  • ALAT YAIPONGEZA MANISPAA YA SHINYANGA KWA UTEKELEZAJI MZURI UJENZI WA JENGO LA UTAWALA.

    May 08, 2025
  • Tazama

Video

MWENGE WA UHURU HALMASHAURI YA MANISPAA YA SHINYANGA 2024
Video Zaidi

Kiunganishi cha haraka

  • Tangazo la nafasi ya kazi Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga
  • Urban Sanitation and Hygiene | Mazingira Safi Maisha Bora
  • Ripoti mbalimbali
  • Sheria Ndogondogo za Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga

Tovuti Nyingine tunazohusiana

  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa(TAMISEM)
  • Tovuti ya Utumishi
  • Wizara ya Elimu,Sayansi na Teknologia
  • Baraza la Mitihani Tanzania
  • Mkoa wa Shinyanga
  • Sekretarieti ya Ajira

wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya eneo

Wasiliana Nasi

    Tanesco S, Mwanza Road

    Anwani ya Posta: P.O.Box 28 Shinyanga

    Simu: +255-28-2763213

    Simu ya Mkononi: 0759 023 788

    Baruapepe: md@shinyangamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Ramani ya Tovuti
    • Sera ya faragha
    • Kanusho

Haki zote zimehifadhiwa@2018.Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga