• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe |
    • Malalamiko |
Shinyanga Municipal Council
Shinyanga Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Mipaka ya Kiutawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Rasilimali Watu
      • Elimu ya Sekondari
      • Elimu ya Msingi
      • Fedha
      • Ujenzi
      • Kilimo na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii,Ustawi wa Jamii na Vijana
      • Mipango, Ufuatiliaji na Takwimu
      • Hearth
      • Usafi na Mazingira
      • Land and Natural Resources
    • Vitengo
      • Tecknolojia, Habari, Mawasiliano na Uhusiano
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Usimamizi wa Ununuzi
      • Nyuki na Maliasili
  • Fursa za Uwekezaji
    • Uwekezaji wa Viwanda
    • Fursa za kilimo
    • Ufugaji
    • Ufugaji wa Samaki
    • Fursa za elimu
    • Fursa za Afya
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya Afya
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma ya Maji
    • Huduma ya kilimo
    • Huduma za Ufugaji
    • Ufugaji wa Samaki
    • Huduma za Watumishi
    • Huduma ya utoaji wa Mikopo
    • Kukondisha Vyumba vya Biashara
    • Unyonyaji wa Maji Taka
    • Huduma za Biashara
      • Leseni za Biashara
      • Elimu ya kibiashara
      • Ukaguzi wa Viwanda
      • Usimamizi wa Masoko
      • Prepalation of Good Environment for Investment
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha na Utawala
      • Kamati ya Uchumi, Afya na Elimu
      • Kamati ya Miundombinu
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya kamati za Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iIliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo za Halmashauri
    • Mkataba wa huduma kwa wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu za maombi
    • Miongozo
    • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • Mafunzo

WALIMU WA KIINGEREZA NA FASIHI YA KIINGEREZA MANISPAA YA SHINYANGA WAPEWA MAFUNZO NA MBINU YA KUONGEZA UFAULU.

Posted on: February 17th, 2025

Walimu wa Somo la kiingereza na Fasihi ya kiingereza (Literature) Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga wamepatiwa mafunzo na mbinu ya kuongeza ufaulu kwa masomo hayo ikiwa ni juhudi ya serikali Katika kuboresha somo la kiingereza.


Akifungua mafunzo haya leo februari 17, 2024, mafunzo yatakayo fanyika kwa siku mbili 17 na 18 Februari , 2025 Kaimu Mkurugenzi wa Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga Ndg. Charles Luchagula amesema mikakati ya Serikali ni kuboresha namna ya ufundishaji, Kuimarisha lugha ya kiingereza, Kuibua ushirikiano baina ya walimu wa somo la kiingereza.


“Mafunzo haya yasiwe bure ikawe mbegu kwa walimu wengine huko shuleni ili tuweze kuongeza ufaulu wa somo la kiingereza kwenye Halmashauri yetu, Somo la kiingereza ni Msingi wa mawasiliano duniani kote mikakati ya serikali ni kuboresha namna ya ufundishaji, mbinu ya Kuimarisha lugha ya kiingereza pamoja na Kuibua ushirikiano baina yenu walimu, nitumie fursa hii kuwapongeza walimu wote wa Manispaa ya Shinyanga kwa juhudi na ushindani mkubwa mlio nao kwa Mwalimu mmoja mmoja ndiyo maana katika mitihani ya kidato cha pili na nne tumefanya vizuri ”Amesema Ndg. Luchagula


Kwa upande wake Afisa Elimu Taaluma Sekondari Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga Mwl. Makoye Richard amesema Katika kutambua mchango wa walimu waliofanya vizuri pamoja na shule zilizofanya vizuri Katika mitihani ya kidato Cha nne 2024 uongozi wa Manispaa ya Shinyanga kupitia Ofisi ya Mkurugenzi wa halmashauri umejipanga kuandaa Siku ya Tuzo ya walimu kwa lengo la Kuwatambua walimu waliofanya vizuri Katika masomo yao katika mtihani wa kidato cha nne, kwa kutambua jitihada zao na mchango wao Katika masomo mbalimbali kwa kila shule iliyofanya vizuri.


Ikumbukwe kuwa Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga katika mtihani wa kidato cha pili imefanikiwa kupata ufaulu wa 87%. Huku kidato cha nne wanafunzi wamefaulu kwa 97% na kuifanya Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga kushika nafasi ya kwanza kimkoa kati ya halmashauri sita za mkoa huu.

Tangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WA MADEREVA April 14, 2023
  • TAARIFA KWA UMMA April 27, 2023
  • MAADHIMISHO YA WIKI YA UNYONYESHAJI WA MAZIWA DUNIANI August 04, 2023
  • TAARIFA KWA UMMA MAONESHO YA NANENANE 2023 July 31, 2023
  • Tazama

Habari Mpya

  • ALAT YAIPONGEZA MANISPAA YA SHINYANGA KWA UTEKELEZAJI MZURI UJENZI WA JENGO LA UTAWALA.

    May 08, 2025
  • MHE.MASUMBUKO AWATAKA MADIWANI KUSHIRIKIANA KIKAMILIFU KUKABILIANA NA WIZI WA VIFAA VYA MIRADI YA MAENDELEO.

    May 07, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI MANISPAA YA SHINYANGA LAMPONGEZA MKURUGENZI KWA UTEKELEZAJI MZURI WA MAAGIZO

    May 06, 2025
  • SERIKALI KUENDELEA KUBORESHA SHULE YA WASICHANA SHINYANGA ILI KUIFANYA KUWA MIONGONI MWA SHULE BORA NCHINI “. NDG. MSIGWA.

    May 03, 2025
  • Tazama

Video

MWENGE WA UHURU HALMASHAURI YA MANISPAA YA SHINYANGA 2024
Video Zaidi

Kiunganishi cha haraka

  • Tangazo la nafasi ya kazi Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga
  • Urban Sanitation and Hygiene | Mazingira Safi Maisha Bora
  • Ripoti mbalimbali
  • Sheria Ndogondogo za Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga

Tovuti Nyingine tunazohusiana

  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa(TAMISEM)
  • Tovuti ya Utumishi
  • Wizara ya Elimu,Sayansi na Teknologia
  • Baraza la Mitihani Tanzania
  • Mkoa wa Shinyanga
  • Sekretarieti ya Ajira

wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya eneo

Wasiliana Nasi

    Tanesco S, Mwanza Road

    Anwani ya Posta: P.O.Box 28 Shinyanga

    Simu: +255-28-2763213

    Simu ya Mkononi: 0759 023 788

    Baruapepe: md@shinyangamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Ramani ya Tovuti
    • Sera ya faragha
    • Kanusho

Haki zote zimehifadhiwa@2018.Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga