• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe |
    • Malalamiko |
Shinyanga Municipal Council
Shinyanga Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Mipaka ya Kiutawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Rasilimali Watu
      • Elimu ya Sekondari
      • Elimu ya Msingi
      • Fedha
      • Ujenzi
      • Kilimo na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii,Ustawi wa Jamii na Vijana
      • Mipango, Ufuatiliaji na Takwimu
      • Hearth
      • Usafi na Mazingira
      • Land and Natural Resources
    • Vitengo
      • Tecknolojia, Habari, Mawasiliano na Uhusiano
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Usimamizi wa Ununuzi
      • Nyuki na Maliasili
  • Fursa za Uwekezaji
    • Uwekezaji wa Viwanda
    • Fursa za kilimo
    • Ufugaji
    • Ufugaji wa Samaki
    • Fursa za elimu
    • Fursa za Afya
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya Afya
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma ya Maji
    • Huduma ya kilimo
    • Huduma za Ufugaji
    • Ufugaji wa Samaki
    • Huduma za Watumishi
    • Huduma ya utoaji wa Mikopo
    • Kukondisha Vyumba vya Biashara
    • Unyonyaji wa Maji Taka
    • Huduma za Biashara
      • Leseni za Biashara
      • Elimu ya kibiashara
      • Ukaguzi wa Viwanda
      • Usimamizi wa Masoko
      • Prepalation of Good Environment for Investment
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha na Utawala
      • Kamati ya Uchumi, Afya na Elimu
      • Kamati ya Miundombinu
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya kamati za Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iIliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo za Halmashauri
    • Mkataba wa huduma kwa wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu za maombi
    • Miongozo
    • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • Mafunzo

WAJASIRIAMALI, TUMIENI FURSA VIZURI - RC MACHA

Posted on: September 9th, 2024


Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Anamiringi Macha amewataka wajasiriamali wanaotengeneza bidhaa za ngozi katika Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga kutumia vizuri fursa za upatikanaji wa ngozi kutokana na machinjio ya wanyama yaliyopo Mkoa wa Shinyanga kutengeneza bidhaa nyingi zaidi na hivyo kukuza uchumi wa Taifa.


Ameyasema hayo leo tarehe 9 Septemba, 2024 wakati akifungua mafunzo ya wajasiriamali wanaotengeneza bidhaa za ngozi Manispaa ya Shinyanga ambayo yanaratibiwa na Shirika la Viwango Tanzania (TBS) yanafanyika kwa siku (2) kwenye ukumbi wa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga na kuhudhuriwa na wataalam mbalimbali kutoka TAMISEMI, SIDO, TBS, wadau nk huku akisisitiza ubunifu zaidi.


“Ningependa kuwaasa mjitahidi kutumia vizuri fursa za upatikanji wa ngozi kwa sababu ndani ya Mkoa wa Shinyanga kuna machinjio ya wanyama mbalimbali kama ng’ombe, mbuzi na kondoo ambayo kupitia machinjio haya mnaweza mkapata kiasi kikubwa cha ngozi na mkafanikiwa kutengeneza bidhaa nyingi zaidi na kupata faida kubwa hatimaye kukuza uchumi wetu na Serikali pia kuongeza pato lake hapo,” amesema RC Macha.


Kwa upande wake meneja wa Shirika la Viwango Tanzania (TBS) kitengo cha Tafiti na Mafunzo Mwl. Hamisi Mwanasala amesema mafunzo haya yamelenga kuwafikia wajasiriamali takribani 40 wanaojishughulisha na bidhaa za ngozi na amewataka washiriki wote kutumia vyema mafunzo haya ili kuboresha bidhaa wanazozalisha ziendane na viwango vya TBS.


“Mafunzo haya yamekusudia kuwasaidia wajasiriamali wanaojishughulisha na bidhaa za ngozi takribani 40 ili waweze kuboresha bidhaa zao za ngozi ziendane na viwango ambavyo Shirika la Viwango Tanzania limethibitisha ili kukuza soko la ngozi nchini” amesema Mwl. Hamisi.


Mafunzo haya ya wajasiriamali yatafanyika kwa siku mbili kuanzia leo Jumatatu tarehe 9 Septemba, 2024 hadi tarehe 10 Septemba, 2024 mafunzo ambayo yanatajwa kuwa yenye tija zaidi kwani yatawaongezea ujuzi na maarifa na kwenda kuinua uchumi wao na wa Taifa kwa ujumla.

Tangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WA MADEREVA April 14, 2023
  • TAARIFA KWA UMMA April 27, 2023
  • MAADHIMISHO YA WIKI YA UNYONYESHAJI WA MAZIWA DUNIANI August 04, 2023
  • TAARIFA KWA UMMA MAONESHO YA NANENANE 2023 July 31, 2023
  • Tazama

Habari Mpya

  • ALAT YAIPONGEZA MANISPAA YA SHINYANGA KWA UTEKELEZAJI MZURI UJENZI WA JENGO LA UTAWALA.

    May 08, 2025
  • MHE.MASUMBUKO AWATAKA MADIWANI KUSHIRIKIANA KIKAMILIFU KUKABILIANA NA WIZI WA VIFAA VYA MIRADI YA MAENDELEO.

    May 07, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI MANISPAA YA SHINYANGA LAMPONGEZA MKURUGENZI KWA UTEKELEZAJI MZURI WA MAAGIZO

    May 06, 2025
  • SERIKALI KUENDELEA KUBORESHA SHULE YA WASICHANA SHINYANGA ILI KUIFANYA KUWA MIONGONI MWA SHULE BORA NCHINI “. NDG. MSIGWA.

    May 03, 2025
  • Tazama

Video

MWENGE WA UHURU HALMASHAURI YA MANISPAA YA SHINYANGA 2024
Video Zaidi

Kiunganishi cha haraka

  • Tangazo la nafasi ya kazi Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga
  • Urban Sanitation and Hygiene | Mazingira Safi Maisha Bora
  • Ripoti mbalimbali
  • Sheria Ndogondogo za Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga

Tovuti Nyingine tunazohusiana

  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa(TAMISEM)
  • Tovuti ya Utumishi
  • Wizara ya Elimu,Sayansi na Teknologia
  • Baraza la Mitihani Tanzania
  • Mkoa wa Shinyanga
  • Sekretarieti ya Ajira

wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya eneo

Wasiliana Nasi

    Tanesco S, Mwanza Road

    Anwani ya Posta: P.O.Box 28 Shinyanga

    Simu: +255-28-2763213

    Simu ya Mkononi: 0759 023 788

    Baruapepe: md@shinyangamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Ramani ya Tovuti
    • Sera ya faragha
    • Kanusho

Haki zote zimehifadhiwa@2018.Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga