• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe |
    • Malalamiko |
Shinyanga Municipal Council
Shinyanga Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Mipaka ya Kiutawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Rasilimali Watu
      • Elimu ya Sekondari
      • Elimu ya Msingi
      • Fedha
      • Ujenzi
      • Kilimo na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii,Ustawi wa Jamii na Vijana
      • Mipango, Ufuatiliaji na Takwimu
      • Hearth
      • Usafi na Mazingira
      • Land and Natural Resources
    • Vitengo
      • Tecknolojia, Habari, Mawasiliano na Uhusiano
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Usimamizi wa Ununuzi
      • Nyuki na Maliasili
  • Fursa za Uwekezaji
    • Uwekezaji wa Viwanda
    • Fursa za kilimo
    • Ufugaji
    • Ufugaji wa Samaki
    • Fursa za elimu
    • Fursa za Afya
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya Afya
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma ya Maji
    • Huduma ya kilimo
    • Huduma za Ufugaji
    • Ufugaji wa Samaki
    • Huduma za Watumishi
    • Huduma ya utoaji wa Mikopo
    • Kukondisha Vyumba vya Biashara
    • Unyonyaji wa Maji Taka
    • Huduma za Biashara
      • Leseni za Biashara
      • Elimu ya kibiashara
      • Ukaguzi wa Viwanda
      • Usimamizi wa Masoko
      • Prepalation of Good Environment for Investment
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha na Utawala
      • Kamati ya Uchumi, Afya na Elimu
      • Kamati ya Miundombinu
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya kamati za Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iIliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo za Halmashauri
    • Mkataba wa huduma kwa wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu za maombi
    • Miongozo
    • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • Mafunzo

VIONG0ZI HALMASHAURI YA JIJI LA DAR-ES-SALAAM WAWASILI HALMSHAURI YA MANISPAA YA SHINYANGA

Posted on: July 18th, 2023

VIONGOZI WA HALMASHAURI YA JIJI LA DAR-ES-SALAAM WAWASILI  HALMASHAURI YA MANISPAA YA SHINYANGA.

Na. SHINYANGA MC

Kamati ya Fedha na Utawala, Wakuu wa Divisheni na Vitengo Halmashauri ya Jiji la Dar-es-salaam wamefika katika Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga wakiongozwa  na Mhe. Omar Kumbilamoto Mstahiki Meya Halmashauri ya Jiji la Dar-es-salaam kwa lengo la kujifunza namna ya utekelezaji wa miradi ya Maendeleo na Upendezeshaji Mji.

Wakiwa Manispaa ya Shinyanga Viongozi hao waliweza kupata muda wa kujifunza mambo mbalimbali kwa njia ya mawasilisho na vitendo namna ya utekelezaji wa miradi ya maendeleo kwa kutumia fedha za Mapato, Wahisani na Serikali kuu.

Akitoa salama za Halmashauri ya Jiji la Dar-es-salaam Mhe. Omar Kumbilamoto wamekuja Shinyanga kwa lengo la kujifunza namna ya utekelezaji  wa miradi, kuimarisha uhusiano na kufahamiana.

‘’Tumekuja hapa kwa lengo la kujifunza namna bora ya utekelezaji wa miradi ya maendeleo na kubadilishana uzoefu wa mambo mbalimali’’ alisema Mhe. Kumbilamoto

Pamoja na mambo mengine Viongozi hao waliweza kufanya ziara ya kutembelea maeneo mbalimbali ya miradi ya maendeleo kama Soko kuu la Ibinzamata,Soko kuu,Ngokolo Mitumbani, Machinjio ya Kisasa NdembezKituo cha afya kamabarage kwa ajili ya ujenzi wa wodi ya wazazi, wagonjwa wa nje [OPD], Jengo la mionzi na shule ya msingi Jomu madarasa matano.

Pia walipata wasaa wa kutembelea maeneo yaliyopendezeshwa [Beutification kama maporomoko ya maji maeneo ya mto kidalu/relini, Round About ya police, karogo, eneo la mapumziko NBC na Sanamu yenye kuonesha asili ya watu wa Mkoa wa Shinyanga na shughuli zinazofanya  na wakazi wa mkoa huu maeneo ya relini/tandale.

Aidha, kwa upande wa Manispaa ya Shinyanga timu iliongozwa na Mstahiki Meya Mhe. Elias Masumbuuko pamoja na Wakuu wa Divisheni na Vitengo na Watendaji wa kata iliwashukuru kwa kuichagua Manispaa ya Shinyanga kama sehemu yao ya kujifunzia na kwamba uongozi wa Manispaa pamoja na mambo mengine umewakaribisha wakati mwengine na kuwaalika Halmashauri nyengine kuja kujifunza mambo mengine mazuri.

Tangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WA MADEREVA April 14, 2023
  • TAARIFA KWA UMMA April 27, 2023
  • MAADHIMISHO YA WIKI YA UNYONYESHAJI WA MAZIWA DUNIANI August 04, 2023
  • TAARIFA KWA UMMA MAONESHO YA NANENANE 2023 July 31, 2023
  • Tazama

Habari Mpya

  • ALAT YAIPONGEZA MANISPAA YA SHINYANGA KWA UTEKELEZAJI MZURI UJENZI WA JENGO LA UTAWALA.

    May 08, 2025
  • MHE.MASUMBUKO AWATAKA MADIWANI KUSHIRIKIANA KIKAMILIFU KUKABILIANA NA WIZI WA VIFAA VYA MIRADI YA MAENDELEO.

    May 07, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI MANISPAA YA SHINYANGA LAMPONGEZA MKURUGENZI KWA UTEKELEZAJI MZURI WA MAAGIZO

    May 06, 2025
  • SERIKALI KUENDELEA KUBORESHA SHULE YA WASICHANA SHINYANGA ILI KUIFANYA KUWA MIONGONI MWA SHULE BORA NCHINI “. NDG. MSIGWA.

    May 03, 2025
  • Tazama

Video

MWENGE WA UHURU HALMASHAURI YA MANISPAA YA SHINYANGA 2024
Video Zaidi

Kiunganishi cha haraka

  • Tangazo la nafasi ya kazi Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga
  • Urban Sanitation and Hygiene | Mazingira Safi Maisha Bora
  • Ripoti mbalimbali
  • Sheria Ndogondogo za Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga

Tovuti Nyingine tunazohusiana

  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa(TAMISEM)
  • Tovuti ya Utumishi
  • Wizara ya Elimu,Sayansi na Teknologia
  • Baraza la Mitihani Tanzania
  • Mkoa wa Shinyanga
  • Sekretarieti ya Ajira

wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya eneo

Wasiliana Nasi

    Tanesco S, Mwanza Road

    Anwani ya Posta: P.O.Box 28 Shinyanga

    Simu: +255-28-2763213

    Simu ya Mkononi: 0759 023 788

    Baruapepe: md@shinyangamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Ramani ya Tovuti
    • Sera ya faragha
    • Kanusho

Haki zote zimehifadhiwa@2018.Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga