• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe |
    • Malalamiko |
Shinyanga Municipal Council
Shinyanga Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Mipaka ya Kiutawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Rasilimali Watu
      • Elimu ya Sekondari
      • Elimu ya Msingi
      • Fedha
      • Ujenzi
      • Kilimo na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii,Ustawi wa Jamii na Vijana
      • Mipango, Ufuatiliaji na Takwimu
      • Hearth
      • Usafi na Mazingira
      • Land and Natural Resources
    • Vitengo
      • Tecknolojia, Habari, Mawasiliano na Uhusiano
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Usimamizi wa Ununuzi
      • Nyuki na Maliasili
  • Fursa za Uwekezaji
    • Uwekezaji wa Viwanda
    • Fursa za kilimo
    • Ufugaji
    • Ufugaji wa Samaki
    • Fursa za elimu
    • Fursa za Afya
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya Afya
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma ya Maji
    • Huduma ya kilimo
    • Huduma za Ufugaji
    • Ufugaji wa Samaki
    • Huduma za Watumishi
    • Huduma ya utoaji wa Mikopo
    • Kukondisha Vyumba vya Biashara
    • Unyonyaji wa Maji Taka
    • Huduma za Biashara
      • Leseni za Biashara
      • Elimu ya kibiashara
      • Ukaguzi wa Viwanda
      • Usimamizi wa Masoko
      • Prepalation of Good Environment for Investment
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha na Utawala
      • Kamati ya Uchumi, Afya na Elimu
      • Kamati ya Miundombinu
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya kamati za Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iIliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo za Halmashauri
    • Mkataba wa huduma kwa wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu za maombi
    • Miongozo
    • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • Mafunzo

VIKUNDI 19 VILIVYOKIDHI KUPATA MKOPO WA ASILIMIA KUMI MANISPAA YA SHINYANGA VYAPATIWA MAFUNZO.

Posted on: March 22nd, 2025

Katika Kuhakikisha jamii inaondokana na umasikini na kujikwamua kiuchumi Manispaa ya Shinyanga imetoa mafunzo kwa jumla ya vikundi (19) vya wanawake, vijana na watu wenye ulemavu, vikundi vilivyokidhi kupata mkopo wa asilimia kumi inayotolewa na Halmashauri kupitia mapato ya ndani mikopo isiyo na riba.


Akizungumza leo Machi, 22,2025 katika mafunzo haya Afisa maendeleo ya jamii kutoka Manispaa ya Shinyanga Bi. Nyanjula Kiyenze amesema jumla ya Tsh. Milion 225,879,500/= zimetengwa kwa ajili ya vikundi hivyo ambapo Kwa mujibu wa Sheria ya mwaka 2024 inatutaka kabla ya vikundi vilivyokidhi kupata mkopo havijapokea ni lazima vipate mafunzo ili kuongeza uelewa juu ya mkopo huo.


“jumla ya Tsh milioni 225,879,500/= ambapo vikundi vya wanawake ni Tsh 127,927,500/= vikundi vya vijana Milioni 123,952,000/= na Mtu mwenye ulemavu ni Tsh 4,000,000/= zimetolewa na halmashauri mikopo ya asilimia kumi isiyokuwa na riba ili vikundi hivi viweze kujikwamua kiuchumi”. Amesema Bi. Nyanjula.


Awali akifungua mafunzo haya Mstahiki Meya wa Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga Mhe. Elias Masumbuko amevisisitiza vikundi hivyo kuwa na nidhamu ya Fedha, kuwa waaminifu Katika kurejesha mikopo hiyo ili iweze kuwanufaisha wananchi wengine.


“Serikali inayoongozwa na Mhe. Rais wetu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan inafanya kila liwezekanalo Kuhakikisha makundi haya yanajikwamua kiuchumi na kuondokana na umasikini, fedha hizi ni mapato ya ndani ambayo ni Kodi za wananchi, sasa niombe kuwa na nidhamu ya fedha hizi, kuweni waaminifu Katika kurejeshe ili vikundi vingine navyo vipate kama ninyi mlivyopata. Amesema”. Mhe Masumbuko


Katika vikundi hivyo jumla ya mada (5) zimefundishwa Usimamizi wa vikundi, Utatuzi wa migogoro, Usimamizi wa biashara, Utunzaji wa kumbukumbu pamoja na Msaada wa kisheria (MSLAC) zimefundishwa kwa vikundi 19 kutoka kata 9 kati ya Kata 17 za Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga zilizokidhi kupata mkopo huo.

Tangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WA MADEREVA April 14, 2023
  • TAARIFA KWA UMMA April 27, 2023
  • MAADHIMISHO YA WIKI YA UNYONYESHAJI WA MAZIWA DUNIANI August 04, 2023
  • TAARIFA KWA UMMA MAONESHO YA NANENANE 2023 July 31, 2023
  • Tazama

Habari Mpya

  • ALAT YAIPONGEZA MANISPAA YA SHINYANGA KWA UTEKELEZAJI MZURI UJENZI WA JENGO LA UTAWALA.

    May 08, 2025
  • MHE.MASUMBUKO AWATAKA MADIWANI KUSHIRIKIANA KIKAMILIFU KUKABILIANA NA WIZI WA VIFAA VYA MIRADI YA MAENDELEO.

    May 07, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI MANISPAA YA SHINYANGA LAMPONGEZA MKURUGENZI KWA UTEKELEZAJI MZURI WA MAAGIZO

    May 06, 2025
  • SERIKALI KUENDELEA KUBORESHA SHULE YA WASICHANA SHINYANGA ILI KUIFANYA KUWA MIONGONI MWA SHULE BORA NCHINI “. NDG. MSIGWA.

    May 03, 2025
  • Tazama

Video

MWENGE WA UHURU HALMASHAURI YA MANISPAA YA SHINYANGA 2024
Video Zaidi

Kiunganishi cha haraka

  • Tangazo la nafasi ya kazi Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga
  • Urban Sanitation and Hygiene | Mazingira Safi Maisha Bora
  • Ripoti mbalimbali
  • Sheria Ndogondogo za Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga

Tovuti Nyingine tunazohusiana

  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa(TAMISEM)
  • Tovuti ya Utumishi
  • Wizara ya Elimu,Sayansi na Teknologia
  • Baraza la Mitihani Tanzania
  • Mkoa wa Shinyanga
  • Sekretarieti ya Ajira

wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya eneo

Wasiliana Nasi

    Tanesco S, Mwanza Road

    Anwani ya Posta: P.O.Box 28 Shinyanga

    Simu: +255-28-2763213

    Simu ya Mkononi: 0759 023 788

    Baruapepe: md@shinyangamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Ramani ya Tovuti
    • Sera ya faragha
    • Kanusho

Haki zote zimehifadhiwa@2018.Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga