• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe |
    • Malalamiko |
Shinyanga Municipal Council
Shinyanga Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Mipaka ya Kiutawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Rasilimali Watu
      • Elimu ya Sekondari
      • Elimu ya Msingi
      • Fedha
      • Ujenzi
      • Kilimo na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii,Ustawi wa Jamii na Vijana
      • Mipango, Ufuatiliaji na Takwimu
      • Hearth
      • Usafi na Mazingira
      • Land and Natural Resources
    • Vitengo
      • Tecknolojia, Habari, Mawasiliano na Uhusiano
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Usimamizi wa Ununuzi
      • Nyuki na Maliasili
  • Fursa za Uwekezaji
    • Uwekezaji wa Viwanda
    • Fursa za kilimo
    • Ufugaji
    • Ufugaji wa Samaki
    • Fursa za elimu
    • Fursa za Afya
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya Afya
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma ya Maji
    • Huduma ya kilimo
    • Huduma za Ufugaji
    • Ufugaji wa Samaki
    • Huduma za Watumishi
    • Huduma ya utoaji wa Mikopo
    • Kukondisha Vyumba vya Biashara
    • Unyonyaji wa Maji Taka
    • Huduma za Biashara
      • Leseni za Biashara
      • Elimu ya kibiashara
      • Ukaguzi wa Viwanda
      • Usimamizi wa Masoko
      • Prepalation of Good Environment for Investment
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha na Utawala
      • Kamati ya Uchumi, Afya na Elimu
      • Kamati ya Miundombinu
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya kamati za Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iIliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo za Halmashauri
    • Mkataba wa huduma kwa wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu za maombi
    • Miongozo
    • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • Mafunzo

UJUMBE WA RS MKOA WA KILIMANJARO NA MKURUGENZI WA MANISPAA MOSHI WATEMBELEA MANISPAA YA SHINYANGA

Posted on: January 23rd, 2023

Na George Mganga, SHY MC

UJUMBE wa RS Mkoa wa Kilimanjaro ukiongozwa na Katibu Tawala Msaidizi wa Sehemu ya Uwekezaji, Viwanda na Biashara Mkoa wa Kilimanjaro Bi. Halima F. Hassan, leo umetembelea Kituo cha Urasimishaji Uwekezaji na Uendelezaji Biashara kilichopo Mnara wa Vodacom katika Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga kwa ajili ya kujifunza masuala mbalimbali ya Uwekezaji.

Katika ziara hiyo, Bi. Halima alipata nafasi ya kushuhudia Ofisi za kituo hicho ambacho kimejengwa kwa Fedha za Mpango wa Kurasimisha Rasilimali na Biashara Tanzania (MKURABITA), kwa kushirikiana na Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga kupitia mapato yake ya ndani.

Mbali na kushuhudia, Bi. Halima alipata nafasi ya kujifunza namna MKURABITA inavyowezesha Halmashauri juu ya upatikanaji wa Vituo vya Uwekezaji, na namna ya kuwaendeleza wananchi kiuchumi ili kufikia malengo yao kupitia Manispaa ya Shinyanga.

Aidha, huduma zinatolewa katika kituo hicho ni huduma ya Leseni, Kurasimisha Biashara Ndogo na za Kati, Kuratibu masuala mazima ya Uwekezaji na kutoa Elimu kwa wafanyabishara juu ya elimu ya biashara.
Katika ziara hiyo Bi. Halima aliambatana na Mkurugenzi wa Halmashauri ya Manispaa ya Moshi Ndg. Rashid K. Gembe, Afisa Biashara Mkoa wa Kilimajaro Ndg James Bwanali na Charles Kagembe ambaye ni Mhandisi wa Mkoa wa Kilimanjaro.

Kwa upande wa Ofisi ya Mkurugenzi wa Manispaa ya Shinyanga iliwakilishwa na Bi. Milembe G. Dabana ambaye ni Afisa Biashara Divisheni ya Uwekezaji Viwanda na Biashara, Bi. Paschazia Makongolo kutoka Ofisi ya Mchumi, halikadhalika Mhandisi Maligisa Dotto Kaimu Katibu Tawala Msaidizi, Sehemu ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji, Sektretarieti ya Mkoa wa Shinyanga, pamoja na Rose Tungu ambaye ni Afisa Biashara, Sekreterieti ya Mkoa wa Shinyanga.


Tangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WA MADEREVA April 14, 2023
  • TAARIFA KWA UMMA April 27, 2023
  • MAADHIMISHO YA WIKI YA UNYONYESHAJI WA MAZIWA DUNIANI August 04, 2023
  • TAARIFA KWA UMMA MAONESHO YA NANENANE 2023 July 31, 2023
  • Tazama

Habari Mpya

  • ALAT YAIPONGEZA MANISPAA YA SHINYANGA KWA UTEKELEZAJI MZURI UJENZI WA JENGO LA UTAWALA.

    May 08, 2025
  • MHE.MASUMBUKO AWATAKA MADIWANI KUSHIRIKIANA KIKAMILIFU KUKABILIANA NA WIZI WA VIFAA VYA MIRADI YA MAENDELEO.

    May 07, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI MANISPAA YA SHINYANGA LAMPONGEZA MKURUGENZI KWA UTEKELEZAJI MZURI WA MAAGIZO

    May 06, 2025
  • SERIKALI KUENDELEA KUBORESHA SHULE YA WASICHANA SHINYANGA ILI KUIFANYA KUWA MIONGONI MWA SHULE BORA NCHINI “. NDG. MSIGWA.

    May 03, 2025
  • Tazama

Video

MWENGE WA UHURU HALMASHAURI YA MANISPAA YA SHINYANGA 2024
Video Zaidi

Kiunganishi cha haraka

  • Tangazo la nafasi ya kazi Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga
  • Urban Sanitation and Hygiene | Mazingira Safi Maisha Bora
  • Ripoti mbalimbali
  • Sheria Ndogondogo za Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga

Tovuti Nyingine tunazohusiana

  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa(TAMISEM)
  • Tovuti ya Utumishi
  • Wizara ya Elimu,Sayansi na Teknologia
  • Baraza la Mitihani Tanzania
  • Mkoa wa Shinyanga
  • Sekretarieti ya Ajira

wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya eneo

Wasiliana Nasi

    Tanesco S, Mwanza Road

    Anwani ya Posta: P.O.Box 28 Shinyanga

    Simu: +255-28-2763213

    Simu ya Mkononi: 0759 023 788

    Baruapepe: md@shinyangamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Ramani ya Tovuti
    • Sera ya faragha
    • Kanusho

Haki zote zimehifadhiwa@2018.Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga