• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe |
    • Malalamiko |
Shinyanga Municipal Council
Shinyanga Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Mipaka ya Kiutawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Rasilimali Watu
      • Elimu ya Sekondari
      • Elimu ya Msingi
      • Fedha
      • Ujenzi
      • Kilimo na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii,Ustawi wa Jamii na Vijana
      • Mipango, Ufuatiliaji na Takwimu
      • Hearth
      • Usafi na Mazingira
      • Land and Natural Resources
    • Vitengo
      • Tecknolojia, Habari, Mawasiliano na Uhusiano
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Usimamizi wa Ununuzi
      • Nyuki na Maliasili
  • Fursa za Uwekezaji
    • Uwekezaji wa Viwanda
    • Fursa za kilimo
    • Ufugaji
    • Ufugaji wa Samaki
    • Fursa za elimu
    • Fursa za Afya
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya Afya
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma ya Maji
    • Huduma ya kilimo
    • Huduma za Ufugaji
    • Ufugaji wa Samaki
    • Huduma za Watumishi
    • Huduma ya utoaji wa Mikopo
    • Kukondisha Vyumba vya Biashara
    • Unyonyaji wa Maji Taka
    • Huduma za Biashara
      • Leseni za Biashara
      • Elimu ya kibiashara
      • Ukaguzi wa Viwanda
      • Usimamizi wa Masoko
      • Prepalation of Good Environment for Investment
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha na Utawala
      • Kamati ya Uchumi, Afya na Elimu
      • Kamati ya Miundombinu
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya kamati za Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iIliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo za Halmashauri
    • Mkataba wa huduma kwa wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu za maombi
    • Miongozo
    • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • Mafunzo

TENGENEZENI TIMU MAALUM YA KUSHUGHULIKIA HOJA ZA CAG - RC MACHA.

Posted on: June 25th, 2024

TENGENEZENI TIMU MAALUM YA KUSHUGHULIKIA HOJA ZA CAG - RC MACHA


Na. SHINYANGA MC.


MKUU wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Anamringi Macha amezielekeza Halmashauri zote 6 zinazounda Mkoa kutengeneza timu maalum kwa ajili ya kushughulikia hoja mbalimbali za Mdhibiti na Mkuguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) na nyinginezo kwa lengo la kuziondoa kuzipunguza kama siyo kuzifuta kabisa huku akisisitiza kuongezwa juhudi za ukusanyaji mapato na utoaji wa elimu ya wananchi kuwa na uhiari wa kulipa bila shuruti ili miradi ya Serikali iweze kutekelezeka.


RC Macha ameyasema haya leo tarehe 25 Juni, 2024 alipokuwa akitoa mchango wake katika Baraza Maalum la kujadili mapendekezo ya hoja za CAG katika Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga ambapo pamoja na kuwapongeza kwa kupata Hati Safi ya CAG lakini pia wameibuka washindi namba 1 katika mashindano ya Halmashauri za Wilaya, Manispaa na Majiji katika Usafi wa Mji na Utunzaji wa Mazingira pamoja na kushika nafasi ya 18 Kitaifa katika utoaji wa habari dhidi ya Halmashauri 184 ushindi ambao unaiongezea morali Manispaa katika utendaji kazi wake.


“Nizielekeze sasa Halmashauri zote ndani ya Mkoa kuangalia namna ya kutengeneza Timu Maalum isiyozidi watu watano itakayokuwa na jukumu la kushughulikia hoja za CAG wakati wote badala ya kusubiria wakati wa ukaguzi ndiyo wataalam waanze kupambana na hoja hizi, kwa kufanya hivi Halmashauri zitapunguza kama siyo kuzimaliza kabisa na kuendelea kupata Hati Safi,” amesema RC Macha.


Pamoja na mambo mengine Katibu Tawala Mkoa wa Shinyanga Prof. Siza Tumbo amezishauri Halmashauri kuachana na mpango wa kuanzisba miradi mipya, badala yake ishughulike na umaliziaji wa vipolo vya miradi ya mwaka uliopita huku akisisitiza kuwa ni vema mradi unapoanzishwa utekelezwe mpaka mwisho kisha ndiyo uanzishwe mwingine, kwa kufanya hivi tija ya miradi itaonekana.


Kwa upande wake, Mstahiki Meya wa Manispaa ya Shinyanga Mhe. Elias Masumbuko amesema, Manispaa ilikuwa na hoja 43 ambapo 7 zimefungwa na 36 hazijafungwa huku ikitekeleza maagizo manne ya Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali za Mitaa (LAAC) na kubaki na agizo 1 ambalo lipo katika hatua za utekelezaji.

Tangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WA MADEREVA April 14, 2023
  • TAARIFA KWA UMMA April 27, 2023
  • MAADHIMISHO YA WIKI YA UNYONYESHAJI WA MAZIWA DUNIANI August 04, 2023
  • TAARIFA KWA UMMA MAONESHO YA NANENANE 2023 July 31, 2023
  • Tazama

Habari Mpya

  • MHE. MWEBEA AONGOZA MAADHIMISHO YA SIKU YA MAZINGIRA DUNIANI MANISPAA YA SHINYANGA.

    June 05, 2025
  • MUONEKANO WA JENGO OPD KIPINDI CHA UJENZI NA BAADA YA KUKAMILIKA

    June 03, 2025
  • MUONEKANO WA JENGO LA UTAWALA SHULE YA WASICHANA SHINYANGA KIPINDI CHA UJENZI NA BAADA YA KUMALIZA UJENZI

    June 02, 2025
  • WANAFUNZI KUTOKA SHULE 20 ZA MANISPAA YA SHINYANGA WAKUTANA KUBADILISHANA UJUZI ILI KUBORESHA TAALUMA.

    May 17, 2025
  • Tazama

Video

MWENGE WA UHURU HALMASHAURI YA MANISPAA YA SHINYANGA 2024
Video Zaidi

Kiunganishi cha haraka

  • Tangazo la nafasi ya kazi Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga
  • Urban Sanitation and Hygiene | Mazingira Safi Maisha Bora
  • Ripoti mbalimbali
  • Sheria Ndogondogo za Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga

Tovuti Nyingine tunazohusiana

  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa(TAMISEM)
  • Tovuti ya Utumishi
  • Wizara ya Elimu,Sayansi na Teknologia
  • Baraza la Mitihani Tanzania
  • Mkoa wa Shinyanga
  • Sekretarieti ya Ajira

wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya eneo

Wasiliana Nasi

    Tanesco S, Mwanza Road

    Anwani ya Posta: P.O.Box 28 Shinyanga

    Simu: +255-28-2763213

    Simu ya Mkononi: 0759 023 788

    Baruapepe: md@shinyangamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Ramani ya Tovuti
    • Sera ya faragha
    • Kanusho

Haki zote zimehifadhiwa@2018.Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga