• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe |
    • Malalamiko |
Shinyanga Municipal Council
Shinyanga Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Mipaka ya Kiutawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Rasilimali Watu
      • Elimu ya Sekondari
      • Elimu ya Msingi
      • Fedha
      • Ujenzi
      • Kilimo na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii,Ustawi wa Jamii na Vijana
      • Mipango, Ufuatiliaji na Takwimu
      • Hearth
      • Usafi na Mazingira
      • Land and Natural Resources
    • Vitengo
      • Tecknolojia, Habari, Mawasiliano na Uhusiano
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Usimamizi wa Ununuzi
      • Nyuki na Maliasili
  • Fursa za Uwekezaji
    • Uwekezaji wa Viwanda
    • Fursa za kilimo
    • Ufugaji
    • Ufugaji wa Samaki
    • Fursa za elimu
    • Fursa za Afya
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya Afya
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma ya Maji
    • Huduma ya kilimo
    • Huduma za Ufugaji
    • Ufugaji wa Samaki
    • Huduma za Watumishi
    • Huduma ya utoaji wa Mikopo
    • Kukondisha Vyumba vya Biashara
    • Unyonyaji wa Maji Taka
    • Huduma za Biashara
      • Leseni za Biashara
      • Elimu ya kibiashara
      • Ukaguzi wa Viwanda
      • Usimamizi wa Masoko
      • Prepalation of Good Environment for Investment
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha na Utawala
      • Kamati ya Uchumi, Afya na Elimu
      • Kamati ya Miundombinu
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya kamati za Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iIliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo za Halmashauri
    • Mkataba wa huduma kwa wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu za maombi
    • Miongozo
    • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • Mafunzo

TANROADS YAFANYA MALIPO YA MAPUNJO YA FIDIA KWA WANANCHI WALIOPISHA UJENZI WA KIWANJA CHA NDEGE MANISPAA YA SHINYANGA.

Posted on: April 30th, 2024

TANROADS YAFANYA MALIPO YA MAPUNJO YA FIDIA KWA WANANCHI WALIOPISHA UJENZI WA KIWANJA CHA NDEGE MANISPAA YA SHINYANGA


Na. Shinyanga Mc


MENEJA TANROADS Mkoa wa Shinyanga Mhandisi Joel Mwambungu ameongoza timu ya wataalam kufanya malipo ya mapunjo wa fidia kwa wananchi wa eneo la Ibadakuli waliopisha utekelezaji wa mradi wa ujenzi wa Uwanja wa Ndege Shinyanga huku akiwaomba kuendelea kuwa wazalendo wa kulinda mali na uwanja huu wa ndege ambao kimsingi ni mali yao.


Malipo haya kwa wananchi yaliyofanyika kwa njia ya Hundi yamefanyika katika Ofisi ya Kata ya Ibadakuli Manispaa ya Shinyanga huku yakishuhudiwa na viongozi mbalimbali akiwemo Eng. Eugene Soka aliyemuwakilisha Katibu Tawala Mkoa wa Shinyanga Prof. Siza Tumbo, Kamishna Msaidizi wa Ardhi Mkoa wa Shinyanga Ndg. Leo Komber, Serikali ya Tarafa, Kata na Mtaa huku wananchi wakionesha furaha zaidi kuwa na hatma ya jambo lilichukua muda kiasi katika umaliziaji jambo ambalo leo limefikia mwisho.


“Ndugu zangu wananchi wa Ibadakuli, kwa dhati kabisa na kwa niaba ya Mtendaji Mkuu wa TANROADS Mhandisi Mohamed Besta ninamshukuru sana Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kuwezesha malipo haya ya mapunjo ya fidia kwenu ili kupisha ujenzi wa uwanja wa ndege Shinyanga ambao kimsingi ni maendeleo na mali yenu wananchi,” amesema Mha. Joel.


“Pamoja na shukrani kwenu kwa uvumilivu wenu mkubwa wakati mkisubiria malipo haya ya mapunjo, niwaombe muendelee kuwa walinzi wa miundombinu yote ya uwanja huu wa ndege na mali zote kwakuwa vyote hivi ni mali yenu hivyo ni wajibu wetu sote kuwa sehemu ya umiliki na ulinzi,” amesisitiza Mha. Joel.


Kwa upande wake Diwani wa Kata ya Ibadakuli Mhe. Msabila Malale amemshukuru Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kuwezesha kufikia mwisho wa kero kubwa ya wananchi wa Ibadakuli huku akiwapongeza TANROADS Mkoa wa Shinyanga kwa utekelezaji wa tukio hili kwa wananchi wake huku akiwasihi kwenda kutumia fedha hizo katika kujiletea maendeleo yao.

Tangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WA MADEREVA April 14, 2023
  • TAARIFA KWA UMMA April 27, 2023
  • MAADHIMISHO YA WIKI YA UNYONYESHAJI WA MAZIWA DUNIANI August 04, 2023
  • TAARIFA KWA UMMA MAONESHO YA NANENANE 2023 July 31, 2023
  • Tazama

Habari Mpya

  • ALAT YAIPONGEZA MANISPAA YA SHINYANGA KWA UTEKELEZAJI MZURI UJENZI WA JENGO LA UTAWALA.

    May 08, 2025
  • MHE.MASUMBUKO AWATAKA MADIWANI KUSHIRIKIANA KIKAMILIFU KUKABILIANA NA WIZI WA VIFAA VYA MIRADI YA MAENDELEO.

    May 07, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI MANISPAA YA SHINYANGA LAMPONGEZA MKURUGENZI KWA UTEKELEZAJI MZURI WA MAAGIZO

    May 06, 2025
  • SERIKALI KUENDELEA KUBORESHA SHULE YA WASICHANA SHINYANGA ILI KUIFANYA KUWA MIONGONI MWA SHULE BORA NCHINI “. NDG. MSIGWA.

    May 03, 2025
  • Tazama

Video

MWENGE WA UHURU HALMASHAURI YA MANISPAA YA SHINYANGA 2024
Video Zaidi

Kiunganishi cha haraka

  • Tangazo la nafasi ya kazi Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga
  • Urban Sanitation and Hygiene | Mazingira Safi Maisha Bora
  • Ripoti mbalimbali
  • Sheria Ndogondogo za Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga

Tovuti Nyingine tunazohusiana

  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa(TAMISEM)
  • Tovuti ya Utumishi
  • Wizara ya Elimu,Sayansi na Teknologia
  • Baraza la Mitihani Tanzania
  • Mkoa wa Shinyanga
  • Sekretarieti ya Ajira

wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya eneo

Wasiliana Nasi

    Tanesco S, Mwanza Road

    Anwani ya Posta: P.O.Box 28 Shinyanga

    Simu: +255-28-2763213

    Simu ya Mkononi: 0759 023 788

    Baruapepe: md@shinyangamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Ramani ya Tovuti
    • Sera ya faragha
    • Kanusho

Haki zote zimehifadhiwa@2018.Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga