• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe |
    • Malalamiko |
Shinyanga Municipal Council
Shinyanga Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Mipaka ya Kiutawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Rasilimali Watu
      • Elimu ya Sekondari
      • Elimu ya Msingi
      • Fedha
      • Ujenzi
      • Kilimo na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii,Ustawi wa Jamii na Vijana
      • Mipango, Ufuatiliaji na Takwimu
      • Hearth
      • Usafi na Mazingira
      • Land and Natural Resources
    • Vitengo
      • Tecknolojia, Habari, Mawasiliano na Uhusiano
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Usimamizi wa Ununuzi
      • Nyuki na Maliasili
  • Fursa za Uwekezaji
    • Uwekezaji wa Viwanda
    • Fursa za kilimo
    • Ufugaji
    • Ufugaji wa Samaki
    • Fursa za elimu
    • Fursa za Afya
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya Afya
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma ya Maji
    • Huduma ya kilimo
    • Huduma za Ufugaji
    • Ufugaji wa Samaki
    • Huduma za Watumishi
    • Huduma ya utoaji wa Mikopo
    • Kukondisha Vyumba vya Biashara
    • Unyonyaji wa Maji Taka
    • Huduma za Biashara
      • Leseni za Biashara
      • Elimu ya kibiashara
      • Ukaguzi wa Viwanda
      • Usimamizi wa Masoko
      • Prepalation of Good Environment for Investment
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha na Utawala
      • Kamati ya Uchumi, Afya na Elimu
      • Kamati ya Miundombinu
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya kamati za Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iIliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo za Halmashauri
    • Mkataba wa huduma kwa wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu za maombi
    • Miongozo
    • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • Mafunzo

SHULE YA SEKONDARI NDALA YAWATUNUKU VYETI VYA PONGEZI WALIMU WALIOFANYA VIZURI KATIKA MITIHANI YA TAIFA 2024

Posted on: February 27th, 2025

Shule ya Sekondari Ndala ni moja ya Shule za Serikali Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga zilizofanya vizuri Katika mitihani ya kidato Cha nne pamoja na mtihani wa upimaji kidato Cha pili kwa Mwaka wa masomo 2024 hali iliyopelekea uongozi wa shule hiyo kuwapongeza waalimu wa masomo mbalimbali yaliyofanya vizuri kama sehemu ya kutambua jitihada na mchango wao Katika kufikia ndoto za wanafunzi.


Vyeti hivyo vya Pongezi vimetolewa leo Februari 27, 2024 na Mwakilishi wa Mkurugenzi wa Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga ambaye pia ni Afisa Elimu Taaluma Sekondari Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga Mwl. Richard Makoye, ambaye amewapongeza walimu, bodi ya Shule, kwa kufanya vizuri Katika mitihani hiyo huku akiwataka kuongeza kasi zaidi Katika ufundishaji ili shule hiyo iweze kufanya vizuri Katika ngazi ya Taifa kwa Mwaka wa masomo 2025.


"Kazi nzuri iliyofanywa na walimu hawa kwa niaba ya Mkurugenzi wa Manispaa ya Shinyanga Tumeridhishwa lakini, kitu alichoniagiza Mkurugenzi wetu ni kuwataka walimu kuongeza juhudi zaidi anatambua jitihada zenu lakini anahitaji ufaulu wa daraja la kwanza, pili na daraja la tatu pekee, kwa sababu shule inamiundombinu mizuri, bora na rafiki kwa wanafunzi kufikia malengo yao". Amesema Mwl. Makoye


Kwa upande wake Mkuu wa Shule hiyo Mwl. Marco Itenga amempongeza Mkurugenzi wa Manispaa ya Shinyanga Mwl. Alexius Kagunze kwa ushirikiano mkubwa anao toa kwa walimu wa Shule zote za Sekondari huku akiahidi kuwa Shule hiyo kwa Mwaka wa masomo 2025 itakwenda kufanya vizuri zaidi Katika mitihani ya taifa ili kuendelea kutetea heshima yao ya kuwa miongoni wa Shule za Serikali zinazofanya vizuri kitaaluma.


Ikumbukwe kuwa Shule ya Sekondari Ndala imeshika nafasi ya 3 kati ya shule 21 kwa shule za Serikali Katika matokeo ya kidato Cha nne kwa ufaulu wa jumla ya 95% kwa Mwaka 2024 ikilinganishwa na ufaulu wa mwaka 2023 ambapo ufaulu wa jumla ilikuwa 90% , upimaji kidato Cha pili imeshika nafasi ya 1 kati ya Shule 21 za manispaa ya shinyanga.


Tangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WA MADEREVA April 14, 2023
  • TAARIFA KWA UMMA April 27, 2023
  • MAADHIMISHO YA WIKI YA UNYONYESHAJI WA MAZIWA DUNIANI August 04, 2023
  • TAARIFA KWA UMMA MAONESHO YA NANENANE 2023 July 31, 2023
  • Tazama

Habari Mpya

  • ALAT YAIPONGEZA MANISPAA YA SHINYANGA KWA UTEKELEZAJI MZURI UJENZI WA JENGO LA UTAWALA.

    May 08, 2025
  • MHE.MASUMBUKO AWATAKA MADIWANI KUSHIRIKIANA KIKAMILIFU KUKABILIANA NA WIZI WA VIFAA VYA MIRADI YA MAENDELEO.

    May 07, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI MANISPAA YA SHINYANGA LAMPONGEZA MKURUGENZI KWA UTEKELEZAJI MZURI WA MAAGIZO

    May 06, 2025
  • SERIKALI KUENDELEA KUBORESHA SHULE YA WASICHANA SHINYANGA ILI KUIFANYA KUWA MIONGONI MWA SHULE BORA NCHINI “. NDG. MSIGWA.

    May 03, 2025
  • Tazama

Video

MWENGE WA UHURU HALMASHAURI YA MANISPAA YA SHINYANGA 2024
Video Zaidi

Kiunganishi cha haraka

  • Tangazo la nafasi ya kazi Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga
  • Urban Sanitation and Hygiene | Mazingira Safi Maisha Bora
  • Ripoti mbalimbali
  • Sheria Ndogondogo za Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga

Tovuti Nyingine tunazohusiana

  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa(TAMISEM)
  • Tovuti ya Utumishi
  • Wizara ya Elimu,Sayansi na Teknologia
  • Baraza la Mitihani Tanzania
  • Mkoa wa Shinyanga
  • Sekretarieti ya Ajira

wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya eneo

Wasiliana Nasi

    Tanesco S, Mwanza Road

    Anwani ya Posta: P.O.Box 28 Shinyanga

    Simu: +255-28-2763213

    Simu ya Mkononi: 0759 023 788

    Baruapepe: md@shinyangamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Ramani ya Tovuti
    • Sera ya faragha
    • Kanusho

Haki zote zimehifadhiwa@2018.Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga