• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe |
    • Malalamiko |
Shinyanga Municipal Council
Shinyanga Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Mipaka ya Kiutawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Rasilimali Watu
      • Elimu ya Sekondari
      • Elimu ya Msingi
      • Fedha
      • Ujenzi
      • Kilimo na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii,Ustawi wa Jamii na Vijana
      • Mipango, Ufuatiliaji na Takwimu
      • Hearth
      • Usafi na Mazingira
      • Land and Natural Resources
    • Vitengo
      • Tecknolojia, Habari, Mawasiliano na Uhusiano
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Usimamizi wa Ununuzi
      • Nyuki na Maliasili
  • Fursa za Uwekezaji
    • Uwekezaji wa Viwanda
    • Fursa za kilimo
    • Ufugaji
    • Ufugaji wa Samaki
    • Fursa za elimu
    • Fursa za Afya
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya Afya
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma ya Maji
    • Huduma ya kilimo
    • Huduma za Ufugaji
    • Ufugaji wa Samaki
    • Huduma za Watumishi
    • Huduma ya utoaji wa Mikopo
    • Kukondisha Vyumba vya Biashara
    • Unyonyaji wa Maji Taka
    • Huduma za Biashara
      • Leseni za Biashara
      • Elimu ya kibiashara
      • Ukaguzi wa Viwanda
      • Usimamizi wa Masoko
      • Prepalation of Good Environment for Investment
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha na Utawala
      • Kamati ya Uchumi, Afya na Elimu
      • Kamati ya Miundombinu
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya kamati za Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iIliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo za Halmashauri
    • Mkataba wa huduma kwa wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu za maombi
    • Miongozo
    • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • Mafunzo

RC MNDEME AONGOZA MAADHIMISHO YA SIKU YA LISHE NA WIKI YA UNYONYESHAJI SHINYANGA

Posted on: August 5th, 2023
  • RC MNDEME AONGOZA MAADHIMISHO YA SIKU YA LISHE MKOA WA SHINYANGA NA WIKI YA UNYONYESHAJI DUNIANI

    Mkuu wa Mkoa wa Shinyaga Mhe. Christina Mndeme Leo 5 Agosti, 2023 ameongoza maadhimisho ya siku ya lishe Mkoa wa Shinyaga na wiki ya unyonyeshaji duniani, ambapo maadhimisho hayo yalihudhuriwa na viongozi mbalimbali, watumishi pamoja na wanachi katika ofisi ya mtendaji wa kata ya ndala.

    Mhe. Mndeme awataka wazazi kwa ujumla kuzingatia lishe bora kwa watoto wao na wamama Wanaonyonyesha kuzingatia kumpa mtoto maziwa ya mama kwa miezi sita ya awali bila kumpatia chakula mbadala labda iwe imeshauriwa na daktari kwa sababu za kiafya kama vile kupatiwa dawa.

    "Niwatake wazazi wote kwa ujumla kuzingatia ulaji ya lishe bora kwa watoto lakini pia kwa mama anayenyonyesha mtoto ampatie maziwa ya mama tu kwa miezi sita ya awali bila kumchanganyia kitu chochote labda iwe ni ushauri kutoka kwa daktari" alisema Mhe. Mndeme

    Aidha,Mhe. Mndeme pia ameiasa jamii kuwapunguzia wamama kazi nzito wakati wa ujauzito na kipindi cha kunyonyesha ili kumjengea mama na mtoto afya bora, pia amewataka wazazi wa kiume wanapopata rikizo ya uzazi kwa ajili ya mtoto basi watumie kumsaidi mama kumlea mtoto na sio kufanya mambo mengine ambayo hayana faida kwa mtoto aliyezaliwa .

    Sanjali na hilo, Maadhimisho hayo yaliambatana na shughuli mbalimbali ikiwemo upimaji wa shindikizo la damu,upimaji wa uzito, upimaji wa urefu, elimu juu ya umuhimu wa maziwa ya mama kwa mtoto mchanga kwa miezi sita ya awali pamoja na namna ya kuandaa lishe bora kwa kuzingatia makundi 5 ya chakula.

    ifikambo 1 -7 Agosti ya kila mwaka dunia inaadhimisha wiki ya unyonyeshaji dunia, ambapo kwa mwaka huu wiki hii ya unyonyeshaji imeambatana na kauli mbiu isemayo
    "Saidia unyonyeshaji, wezesha wazazi kulea watoto na kufanya kazi zao za kila siku"

Tangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WA MADEREVA April 14, 2023
  • TAARIFA KWA UMMA April 27, 2023
  • MAADHIMISHO YA WIKI YA UNYONYESHAJI WA MAZIWA DUNIANI August 04, 2023
  • TAARIFA KWA UMMA MAONESHO YA NANENANE 2023 July 31, 2023
  • Tazama

Habari Mpya

  • ALAT YAIPONGEZA MANISPAA YA SHINYANGA KWA UTEKELEZAJI MZURI UJENZI WA JENGO LA UTAWALA.

    May 08, 2025
  • MHE.MASUMBUKO AWATAKA MADIWANI KUSHIRIKIANA KIKAMILIFU KUKABILIANA NA WIZI WA VIFAA VYA MIRADI YA MAENDELEO.

    May 07, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI MANISPAA YA SHINYANGA LAMPONGEZA MKURUGENZI KWA UTEKELEZAJI MZURI WA MAAGIZO

    May 06, 2025
  • SERIKALI KUENDELEA KUBORESHA SHULE YA WASICHANA SHINYANGA ILI KUIFANYA KUWA MIONGONI MWA SHULE BORA NCHINI “. NDG. MSIGWA.

    May 03, 2025
  • Tazama

Video

MWENGE WA UHURU HALMASHAURI YA MANISPAA YA SHINYANGA 2024
Video Zaidi

Kiunganishi cha haraka

  • Tangazo la nafasi ya kazi Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga
  • Urban Sanitation and Hygiene | Mazingira Safi Maisha Bora
  • Ripoti mbalimbali
  • Sheria Ndogondogo za Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga

Tovuti Nyingine tunazohusiana

  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa(TAMISEM)
  • Tovuti ya Utumishi
  • Wizara ya Elimu,Sayansi na Teknologia
  • Baraza la Mitihani Tanzania
  • Mkoa wa Shinyanga
  • Sekretarieti ya Ajira

wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya eneo

Wasiliana Nasi

    Tanesco S, Mwanza Road

    Anwani ya Posta: P.O.Box 28 Shinyanga

    Simu: +255-28-2763213

    Simu ya Mkononi: 0759 023 788

    Baruapepe: md@shinyangamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Ramani ya Tovuti
    • Sera ya faragha
    • Kanusho

Haki zote zimehifadhiwa@2018.Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga