• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe |
    • Malalamiko |
Shinyanga Municipal Council
Shinyanga Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Mipaka ya Kiutawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Rasilimali Watu
      • Elimu ya Sekondari
      • Elimu ya Msingi
      • Fedha
      • Ujenzi
      • Kilimo na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii,Ustawi wa Jamii na Vijana
      • Mipango, Ufuatiliaji na Takwimu
      • Hearth
      • Usafi na Mazingira
      • Land and Natural Resources
    • Vitengo
      • Tecknolojia, Habari, Mawasiliano na Uhusiano
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Usimamizi wa Ununuzi
      • Nyuki na Maliasili
  • Fursa za Uwekezaji
    • Uwekezaji wa Viwanda
    • Fursa za kilimo
    • Ufugaji
    • Ufugaji wa Samaki
    • Fursa za elimu
    • Fursa za Afya
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya Afya
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma ya Maji
    • Huduma ya kilimo
    • Huduma za Ufugaji
    • Ufugaji wa Samaki
    • Huduma za Watumishi
    • Huduma ya utoaji wa Mikopo
    • Kukondisha Vyumba vya Biashara
    • Unyonyaji wa Maji Taka
    • Huduma za Biashara
      • Leseni za Biashara
      • Elimu ya kibiashara
      • Ukaguzi wa Viwanda
      • Usimamizi wa Masoko
      • Prepalation of Good Environment for Investment
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha na Utawala
      • Kamati ya Uchumi, Afya na Elimu
      • Kamati ya Miundombinu
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya kamati za Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iIliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo za Halmashauri
    • Mkataba wa huduma kwa wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu za maombi
    • Miongozo
    • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • Mafunzo

RC MACHA AIPONGEZA MANISPAA YA SHINYANGA KWA USHINDI WA KITAIFA KATIKA USAFI.

Posted on: May 16th, 2024

RC MACHA AIPONGEZA MANISPAA YA SHINYANGA KWA USHINDI WA KITAIFA KATIKA USAFI


Na. Shinyanga Mc


MKUU wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Anamringi Macha ameipongeza Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga kwa kuibuka mshindi wa kwanza katika mashindano ya Afya na Usafi wa Mazingira yaliyohusisha Manispaa 19 Nchini huku akiwataka watumishi kuongeza kasi ya kuchapa kazi katika sekta zote ili kuweza kuyaisha na kutafisiri maono ya Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan ya kuwatumikia Watanzania na kuwaletea maendeleo.


Pongezi hizi zimetolewa leo tarehe 16 Mei, 2024 na RC Macha alipokutana na Watumishi wa Manispaa ya Shinyanga kwa lengo la kutambuana na kukumbusha wajibu na majukumu ya kila mtumishi katika eneo lake la kazi ambapo pamoja na maelekezo mengine lakini pia amewataka watumishi kupendana, kushirikiana, kuwa wazalendo na kuyokubali kugawanywa kwa namna yoyote.


Kwa upande wake Mkuu wa Wilaya ya Shinyanga Mhe. Julius Mtatiro amemshukuru sana RC Macha kwa pongezi hizo za ushindi, lakini pia amempongeza kwa kazi nzuri anazozifanya katika kuwatumikia Wanashinyanga huku akimuahidi kuwa yale yote aliyoelekeza wanakwenda kuyatekeleza kwa weledi mkubwa na kuleta tija zaidi kwa wananchi wa Manispaa ya Shinyanga

Katika mashindano hayo, Manispaa.ya Shinyanga imeshinda na kuwa ya kwanza Kitaifa kwa kupata asilimia 95 ya alama zote zilizowekwa na Wizara ya Afya ikifuatiwa na Manispaa ya Moshi ambayo imepata asilimia 87 wakati nafasi ya tatu imechukuliwa na Manispaa ya Iringa ambayo imepata asilimia 83.


RC Macha anaendelea na ziara zake katika Halmashauri zote 6 zinazounda Mkoa wa Shinyanga ambapo kesho ni zamu ya Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga ambapo huko pamoja na mambo mengine atakagua utekelezaji wa miradi ya maendeleo na baadae atazungumza na wananchi katika mkutano wa hadhara utakaofanyika Iselamagazi.

Tangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WA MADEREVA April 14, 2023
  • TAARIFA KWA UMMA April 27, 2023
  • MAADHIMISHO YA WIKI YA UNYONYESHAJI WA MAZIWA DUNIANI August 04, 2023
  • TAARIFA KWA UMMA MAONESHO YA NANENANE 2023 July 31, 2023
  • Tazama

Habari Mpya

  • ALAT YAIPONGEZA MANISPAA YA SHINYANGA KWA UTEKELEZAJI MZURI UJENZI WA JENGO LA UTAWALA.

    May 08, 2025
  • MHE.MASUMBUKO AWATAKA MADIWANI KUSHIRIKIANA KIKAMILIFU KUKABILIANA NA WIZI WA VIFAA VYA MIRADI YA MAENDELEO.

    May 07, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI MANISPAA YA SHINYANGA LAMPONGEZA MKURUGENZI KWA UTEKELEZAJI MZURI WA MAAGIZO

    May 06, 2025
  • SERIKALI KUENDELEA KUBORESHA SHULE YA WASICHANA SHINYANGA ILI KUIFANYA KUWA MIONGONI MWA SHULE BORA NCHINI “. NDG. MSIGWA.

    May 03, 2025
  • Tazama

Video

MWENGE WA UHURU HALMASHAURI YA MANISPAA YA SHINYANGA 2024
Video Zaidi

Kiunganishi cha haraka

  • Tangazo la nafasi ya kazi Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga
  • Urban Sanitation and Hygiene | Mazingira Safi Maisha Bora
  • Ripoti mbalimbali
  • Sheria Ndogondogo za Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga

Tovuti Nyingine tunazohusiana

  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa(TAMISEM)
  • Tovuti ya Utumishi
  • Wizara ya Elimu,Sayansi na Teknologia
  • Baraza la Mitihani Tanzania
  • Mkoa wa Shinyanga
  • Sekretarieti ya Ajira

wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya eneo

Wasiliana Nasi

    Tanesco S, Mwanza Road

    Anwani ya Posta: P.O.Box 28 Shinyanga

    Simu: +255-28-2763213

    Simu ya Mkononi: 0759 023 788

    Baruapepe: md@shinyangamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Ramani ya Tovuti
    • Sera ya faragha
    • Kanusho

Haki zote zimehifadhiwa@2018.Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga