• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe |
    • Malalamiko |
Shinyanga Municipal Council
Shinyanga Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Mipaka ya Kiutawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Rasilimali Watu
      • Elimu ya Sekondari
      • Elimu ya Msingi
      • Fedha
      • Ujenzi
      • Kilimo na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii,Ustawi wa Jamii na Vijana
      • Mipango, Ufuatiliaji na Takwimu
      • Hearth
      • Usafi na Mazingira
      • Land and Natural Resources
    • Vitengo
      • Tecknolojia, Habari, Mawasiliano na Uhusiano
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Usimamizi wa Ununuzi
      • Nyuki na Maliasili
  • Fursa za Uwekezaji
    • Uwekezaji wa Viwanda
    • Fursa za kilimo
    • Ufugaji
    • Ufugaji wa Samaki
    • Fursa za elimu
    • Fursa za Afya
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya Afya
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma ya Maji
    • Huduma ya kilimo
    • Huduma za Ufugaji
    • Ufugaji wa Samaki
    • Huduma za Watumishi
    • Huduma ya utoaji wa Mikopo
    • Kukondisha Vyumba vya Biashara
    • Unyonyaji wa Maji Taka
    • Huduma za Biashara
      • Leseni za Biashara
      • Elimu ya kibiashara
      • Ukaguzi wa Viwanda
      • Usimamizi wa Masoko
      • Prepalation of Good Environment for Investment
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha na Utawala
      • Kamati ya Uchumi, Afya na Elimu
      • Kamati ya Miundombinu
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya kamati za Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iIliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo za Halmashauri
    • Mkataba wa huduma kwa wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu za maombi
    • Miongozo
    • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • Mafunzo

PAUL MAKONDA AZINDUA RASMI WIKI YA MAADHIMISHO YA MIAKA 47 YA CCM HALMASHAURI YA MANISPAA YA SHINYANGA.

Posted on: January 28th, 2024

PAUL MAKONDA AZINDUA RASMI WIKI YA MAADHIMISHO YA MIAKA 47 YA CCM HALMASHAURI YA MANISPAA YA SHINYANGA


Na. Shinyanga Mc


KATIBU wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo CCM Taifa Ndugu Paul Makonda amezindua rasmi kitaifa wiki ya maadhimisho ya miaka 47 ya kuzaliwa kwa Chama Cha Mapinduzi akiwa katika viwanja vya Shule ya Msingi Town ambapo pia alikuwa akihitimisha ziara yake ya siku mbili ndani ya Mkoa wa Shinyanga.


Makonda amesema kuwa CCM inatimiza miaka 47 ya kuzaliwa kwake ambapo kuanzia tarehe 28 Januari, 2024 hadi tarehe 4 Februari, 2024 ndiyo mwisho wa wiki ya maadhimisho na tarehe 5 Februari, 2024 itakuwa kilele cha sherehe.


“Napenda kutumia fursa hii kutangaza rasmi kuwa leo hapa Manispaa ya Shinyanga Mkoa wa Shinyanga, nazindua rasmi Wiki ya Maadhimisho ya Miaka 47 ya CCM yenye Kauli Mbiu Shiriki Uchaguzi kwa Uadilifu na Kazi Iendelee”, alisema Makonda.


Kando na uzinduzi huu, Makonda pia amepata wasaa wa kuhutubia wananchi, kusikiliza na kutatua kero za wananchi ambapo pamoja na mambo mengine alisisitiza umuhimu wa watumishi wa umma kuwa waadilifu katika kuwahudumia wananchi ikiwa ni pamoja na kutumia vema lugha katika kuwajibu.


Aidha, Makonda amesema kuwa CCM haitambeba mtumishi yeyote mzembe, asiyekuwa muadilifu na asiekuwa na ambaye hatoi huduma bora kwa wananchi, CCM haitambeba mtumishi huyo, alisisitiza Makonda.


Mkutano huu uliofanyika viwanja vya Shule ya Msingi Town unahitimisha ziara ya siku mbili ya ndugu Makonda katika Mkoa wa shinyanga iliyoanza tarehe 27 hadi 28 Januari, 2024 ambapo alifika , kuhutubia, kusikiliza na kutatua kero katika Manispaa ya Kahama, Kata ya Segese iliyopo Halmashauri ya Msalala, Kata ya Kakola.


Na siku ya pili alianza na wananchi waliokuwepo Ofisi ya Mkuu wa Wilaya Kahama kisha akasimama Kata ya Kagongwa, Mwakata, Tinde na kisha hapa viwanja vya Shule ya Msingi Town Manispaa ya Shinyanga.

Tangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WA MADEREVA April 14, 2023
  • TAARIFA KWA UMMA April 27, 2023
  • MAADHIMISHO YA WIKI YA UNYONYESHAJI WA MAZIWA DUNIANI August 04, 2023
  • TAARIFA KWA UMMA MAONESHO YA NANENANE 2023 July 31, 2023
  • Tazama

Habari Mpya

  • ALAT YAIPONGEZA MANISPAA YA SHINYANGA KWA UTEKELEZAJI MZURI UJENZI WA JENGO LA UTAWALA.

    May 08, 2025
  • MHE.MASUMBUKO AWATAKA MADIWANI KUSHIRIKIANA KIKAMILIFU KUKABILIANA NA WIZI WA VIFAA VYA MIRADI YA MAENDELEO.

    May 07, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI MANISPAA YA SHINYANGA LAMPONGEZA MKURUGENZI KWA UTEKELEZAJI MZURI WA MAAGIZO

    May 06, 2025
  • SERIKALI KUENDELEA KUBORESHA SHULE YA WASICHANA SHINYANGA ILI KUIFANYA KUWA MIONGONI MWA SHULE BORA NCHINI “. NDG. MSIGWA.

    May 03, 2025
  • Tazama

Video

MWENGE WA UHURU HALMASHAURI YA MANISPAA YA SHINYANGA 2024
Video Zaidi

Kiunganishi cha haraka

  • Tangazo la nafasi ya kazi Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga
  • Urban Sanitation and Hygiene | Mazingira Safi Maisha Bora
  • Ripoti mbalimbali
  • Sheria Ndogondogo za Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga

Tovuti Nyingine tunazohusiana

  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa(TAMISEM)
  • Tovuti ya Utumishi
  • Wizara ya Elimu,Sayansi na Teknologia
  • Baraza la Mitihani Tanzania
  • Mkoa wa Shinyanga
  • Sekretarieti ya Ajira

wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya eneo

Wasiliana Nasi

    Tanesco S, Mwanza Road

    Anwani ya Posta: P.O.Box 28 Shinyanga

    Simu: +255-28-2763213

    Simu ya Mkononi: 0759 023 788

    Baruapepe: md@shinyangamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Ramani ya Tovuti
    • Sera ya faragha
    • Kanusho

Haki zote zimehifadhiwa@2018.Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga