• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe |
    • Malalamiko |
Shinyanga Municipal Council
Shinyanga Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Mipaka ya Kiutawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Rasilimali Watu
      • Elimu ya Sekondari
      • Elimu ya Msingi
      • Fedha
      • Ujenzi
      • Kilimo na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii,Ustawi wa Jamii na Vijana
      • Mipango, Ufuatiliaji na Takwimu
      • Hearth
      • Usafi na Mazingira
      • Land and Natural Resources
    • Vitengo
      • Tecknolojia, Habari, Mawasiliano na Uhusiano
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Usimamizi wa Ununuzi
      • Nyuki na Maliasili
  • Fursa za Uwekezaji
    • Uwekezaji wa Viwanda
    • Fursa za kilimo
    • Ufugaji
    • Ufugaji wa Samaki
    • Fursa za elimu
    • Fursa za Afya
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya Afya
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma ya Maji
    • Huduma ya kilimo
    • Huduma za Ufugaji
    • Ufugaji wa Samaki
    • Huduma za Watumishi
    • Huduma ya utoaji wa Mikopo
    • Kukondisha Vyumba vya Biashara
    • Unyonyaji wa Maji Taka
    • Huduma za Biashara
      • Leseni za Biashara
      • Elimu ya kibiashara
      • Ukaguzi wa Viwanda
      • Usimamizi wa Masoko
      • Prepalation of Good Environment for Investment
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha na Utawala
      • Kamati ya Uchumi, Afya na Elimu
      • Kamati ya Miundombinu
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya kamati za Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iIliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo za Halmashauri
    • Mkataba wa huduma kwa wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu za maombi
    • Miongozo
    • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • Mafunzo

MWL. KAGUNZE AONGOZA KONGAMANO LA WALIMU SPESHO MANISPAA YA SHINYANGA

Posted on: July 17th, 2025

MWL. KAGUNZE AONGOZA KONGAMANO LA WALIMU SPESHO MANISPAA YA SHINYANGA.


Na: Shinyanga Mc


Mkurugenzi wa Manispaa ya Shinyanga Mwl. Alexius Kagunze leo tarehe 21 Julai, 2025 ameongoza kongamano la walimu spesho lililoandaliwa na benki ya NMB kwa kujumuisha walimu kutoka shule mbalimbali za Manispaa ya shinyanga na Wilaya ya Shinyanga katika ukumbi wa makindo uliopo manispaa ya shinyanga.


Akiongea katika kongamano hili Mwl. Kagunze amewapongeza NMB kwa kutambua mchango mkubwa wa walimu katika kuleta maendeleo katika jamiii na kuwaomba walimu kuendelea kuwa walezi wazuri kwa watoto, huku akiwata kutumia fursa hii kujifunza mambo mbalimbali ya kifursa ikiwemo elimu ya fedha.


“Niwapongeze NMB kwa kutambua mchango mkubwa wa walimu katika jamii yetu, lakini pia niwapongeza walimu wote kwa juhudi kubwa mnazozifanya katika kuleta maendelea katika jamii yetu, niwaombe walimu kupitia kongamano hili jifunzeni fursa mbalimbali ikiwemo elimu ya fedha”. Amesema Mwl. Kagunze


Awali akiongea katika kongamano hili meneja mwandamizi wa idara ya wateja binafsi wa benki ya Nmb Ndg. Zuberi Rani ameeleza imekuwa ni desturi ya benki kuandaa kongamano la walimu kwa kutambua juhudi zao kwenye jamii kwa kuwalea na kuelimisha watoto,hivyo wanakutana na kuzungumza na walimu kwa kuzijadili fursa mbalimbali kwa kuwapatia elimu ya fedha.


Katika kongamano hili la walimu spesho walimu walipata wasaa wa kupata elimu ya mada ya afya ya akili, elimu ya ujasiliamali, elimu ya bima pamoja na elimu ya kutumia mfumo wa kiserikali (ESS) kwa ajili masuluhisho ya kifedha.


Kangamano la walimu spesho limeambatana na kauli mbiu isemayo Mwalimu Spesho - Umetufunza,Tunakutunza.

Tangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WA MADEREVA April 14, 2023
  • TAARIFA KWA UMMA April 27, 2023
  • MAADHIMISHO YA WIKI YA UNYONYESHAJI WA MAZIWA DUNIANI August 04, 2023
  • TAARIFA KWA UMMA MAONESHO YA NANENANE 2023 July 31, 2023
  • Tazama

Habari Mpya

  • MWL. KAGUNZE AONGOZA KONGAMANO LA WALIMU SPESHO MANISPAA YA SHINYANGA

    July 17, 2025
  • WATENDAJI WA MITAA NA KATA MANISPAA YA SHINYANGA WAJENGEWA UWEZO KUHUSU MFUMO WA ANWANI ZA MAKAZI

    July 15, 2025
  • MENEJIMENTI YA MANISPAA YA SHINYANGA YATEMBELEA NA KUKAGUA MIRADI YA MAENDELEO

    July 15, 2025
  • MWL. KAGUNZE AKIONGEA NA WATUMISHI AJIRA MPYA

    July 14, 2025
  • Tazama

Video

MWENGE WA UHURU HALMASHAURI YA MANISPAA YA SHINYANGA 2024
Video Zaidi

Kiunganishi cha haraka

  • Tangazo la nafasi ya kazi Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga
  • Urban Sanitation and Hygiene | Mazingira Safi Maisha Bora
  • Ripoti mbalimbali
  • Sheria Ndogondogo za Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga

Tovuti Nyingine tunazohusiana

  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa(TAMISEM)
  • Tovuti ya Utumishi
  • Wizara ya Elimu,Sayansi na Teknologia
  • Baraza la Mitihani Tanzania
  • Mkoa wa Shinyanga
  • Sekretarieti ya Ajira

wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya eneo

Wasiliana Nasi

    Tanesco S, Mwanza Road

    Anwani ya Posta: P.O.Box 28 Shinyanga

    Simu: +255-28-2763213

    Simu ya Mkononi: 0759 023 788

    Baruapepe: md@shinyangamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Ramani ya Tovuti
    • Sera ya faragha
    • Kanusho

Haki zote zimehifadhiwa@2018.Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga