• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe |
    • Malalamiko |
Shinyanga Municipal Council
Shinyanga Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Mipaka ya Kiutawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Rasilimali Watu
      • Elimu ya Sekondari
      • Elimu ya Msingi
      • Fedha
      • Ujenzi
      • Kilimo na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii,Ustawi wa Jamii na Vijana
      • Mipango, Ufuatiliaji na Takwimu
      • Hearth
      • Usafi na Mazingira
      • Land and Natural Resources
    • Vitengo
      • Tecknolojia, Habari, Mawasiliano na Uhusiano
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Usimamizi wa Ununuzi
      • Nyuki na Maliasili
  • Fursa za Uwekezaji
    • Uwekezaji wa Viwanda
    • Fursa za kilimo
    • Ufugaji
    • Ufugaji wa Samaki
    • Fursa za elimu
    • Fursa za Afya
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya Afya
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma ya Maji
    • Huduma ya kilimo
    • Huduma za Ufugaji
    • Ufugaji wa Samaki
    • Huduma za Watumishi
    • Huduma ya utoaji wa Mikopo
    • Kukondisha Vyumba vya Biashara
    • Unyonyaji wa Maji Taka
    • Huduma za Biashara
      • Leseni za Biashara
      • Elimu ya kibiashara
      • Ukaguzi wa Viwanda
      • Usimamizi wa Masoko
      • Prepalation of Good Environment for Investment
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha na Utawala
      • Kamati ya Uchumi, Afya na Elimu
      • Kamati ya Miundombinu
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya kamati za Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iIliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo za Halmashauri
    • Mkataba wa huduma kwa wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu za maombi
    • Miongozo
    • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • Mafunzo

“MWENGE WA UHURU UMEKAGUA KWA KINA NA KUJIRIDHISHA UBORA WA MRADI HUU” NDG.USSI

Posted on: August 7th, 2025

Mwenge wa uhuru umeridhishwa na ujenzi wa shule mpya ya Sekondari Ishigwandama kata ya Kizumbi manispaa ya shinyanga wenye jumla ya shilingi milioni 106,890,563 ambapo mwenge wa uhuru umezundua mradi huo.


Akizungumza katika ufunguzi wa Shule hiyo kiongozi wa mbio za mwenge mwaka 2025 ndg. Ismail Ali Ussi amesema Wameridhishwa na ubora wa mradi huo ambapo ameipongeza halmashauri kwa usimamizi mzuri kwa kuzingatia ubora na viwango katika mradi huo.


“Mhe. Rais kwenye sekta hii ya Elimu ameitendea haki, Shule hii haina utofauti na shule iliyopo Jiji la Dodoma, na Dar es salaam viwago vilivyotumika kujenga shule hii ndivyo hivyo hivyo Katika Jiji la Dodoma kiukweli Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga hongereni sana kwa kuendelea kusimamia Fedha na Mradi huu umetekelezwa kikamilifu, Pongezi zangu za dhati kwa Mkurugenzi wa Manispaa kwa namna ambavyo kasimamia matumizi sahihi ya fedha kwa ujenzi wa shule hii na kwa ubora unaokubalika kiukwel Katika mradi huu mmemtendea haki Dkt. Samia, Sisi tumekagua kwa kina Ujenzi wa shule hii na Mwenge wa uhuru Umeridhishwa kufungua shule hii.


Mradi wa shule ya sekondari Ishigwandama umelega kuondoa changamoto ya wanafunzi kusafiri umbali mrefu ambapo ilikuwa ikiwakwamisha wanafunzi wengi kushindwa kufikia ndoto zao.

Tangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WA MADEREVA April 14, 2023
  • TAARIFA KWA UMMA April 27, 2023
  • MAADHIMISHO YA WIKI YA UNYONYESHAJI WA MAZIWA DUNIANI August 04, 2023
  • TAARIFA KWA UMMA MAONESHO YA NANENANE 2023 July 31, 2023
  • Tazama

Habari Mpya

  • “NENDENI MKAIWAKILISHE VYEMA MANISPAA YA SHINYANGA MASHINDANO YA SHIMISEMITA”. MWL. KAGUNZE

    August 15, 2025
  • Mkuu wa wilaya ya Shinyanga Wakili Julius Mtatiro akimkabidhi Mwenge wa Uhuru Mkuu wa Wilaya ya Kishapu Mhe. Peter Masindi

    August 08, 2025
  • Mkuu wa wilaya ya Shinyanga Wakili Julius Mtatiro akimkabidhi Mwenge wa Uhuru Mkuu wa Wilaya ya Kishapu Mhe. Peter Masindi

    August 08, 2025
  • KIONGOZI WA MBIO ZA MWENGE WA UHURU 2025 AWEKA JIWE LA MSINGI UJENZI WA BARABARA KWA KIWANGO CHA LAMI

    August 07, 2025
  • Tazama

Video

MWENGE WA UHURU HALMASHAURI YA MANISPAA YA SHINYANGA 2024
Video Zaidi

Kiunganishi cha haraka

  • Tangazo la nafasi ya kazi Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga
  • Urban Sanitation and Hygiene | Mazingira Safi Maisha Bora
  • Ripoti mbalimbali
  • Sheria Ndogondogo za Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga

Tovuti Nyingine tunazohusiana

  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa(TAMISEM)
  • Tovuti ya Utumishi
  • Wizara ya Elimu,Sayansi na Teknologia
  • Baraza la Mitihani Tanzania
  • Mkoa wa Shinyanga
  • Sekretarieti ya Ajira

wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya eneo

Wasiliana Nasi

    Tanesco S, Mwanza Road

    Anwani ya Posta: P.O.Box 28 Shinyanga

    Simu: +255-28-2763213

    Simu ya Mkononi: 0759 023 788

    Baruapepe: md@shinyangamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Ramani ya Tovuti
    • Sera ya faragha
    • Kanusho

Haki zote zimehifadhiwa@2018.Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga