• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe |
    • Malalamiko |
Shinyanga Municipal Council
Shinyanga Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Mipaka ya Kiutawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Rasilimali Watu
      • Elimu ya Sekondari
      • Elimu ya Msingi
      • Fedha
      • Ujenzi
      • Kilimo na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii,Ustawi wa Jamii na Vijana
      • Mipango, Ufuatiliaji na Takwimu
      • Hearth
      • Usafi na Mazingira
      • Land and Natural Resources
    • Vitengo
      • Tecknolojia, Habari, Mawasiliano na Uhusiano
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Usimamizi wa Ununuzi
      • Nyuki na Maliasili
  • Fursa za Uwekezaji
    • Uwekezaji wa Viwanda
    • Fursa za kilimo
    • Ufugaji
    • Ufugaji wa Samaki
    • Fursa za elimu
    • Fursa za Afya
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya Afya
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma ya Maji
    • Huduma ya kilimo
    • Huduma za Ufugaji
    • Ufugaji wa Samaki
    • Huduma za Watumishi
    • Huduma ya utoaji wa Mikopo
    • Kukondisha Vyumba vya Biashara
    • Unyonyaji wa Maji Taka
    • Huduma za Biashara
      • Leseni za Biashara
      • Elimu ya kibiashara
      • Ukaguzi wa Viwanda
      • Usimamizi wa Masoko
      • Prepalation of Good Environment for Investment
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha na Utawala
      • Kamati ya Uchumi, Afya na Elimu
      • Kamati ya Miundombinu
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya kamati za Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iIliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo za Halmashauri
    • Mkataba wa huduma kwa wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu za maombi
    • Miongozo
    • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • Mafunzo

MSIMAMIZI WA UCHAGUZI MANISPAA YA SHINYANGA MWL.ALEXIUS KAGUNZE AWAAPISHA WASIMAMIZI WA VITUO VYA KUPIGIA KURA.

Posted on: November 24th, 2024

MSIMAMIZI WA UCHAGUZI MANISPAA YA SHINYANGA MWL.ALEXIUS KAGUNZE AWAAPISHA WASIMAMIZI WA VITUO VYA KUPIGIA KURA.


NA. SHINYANGA MC


MSIMAMIZI wa uchaguzi Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga Mwl. Alexius Kagunze amewaapisha jumla ya wasimamizi wa vituo vya Kupigia kura Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 570, kiapo cha kutunza siri pamoja na kiapo cha utii na uadilifu leo Novemba 24, 2025 Katika ukimbi wa mikutano Shule ya Sekondari Wasichana iliyopo kata ya Ndembezi Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga.


Akizungumza baada ya kuwaapisha viapo hivyo Mwl. Kagunze amewata wasimamizi hao kuzingatia viapo hivyo kama walivyo apa.


“Jinsi mlivyo apa Leo kiapo Cha uamunifu na uadilifu ndivyo hivyo nendeni mkavitendee kazi viapo hivi, mmeteuliwa si kwa bahati mbaya bali serikali inaimani kubwa sana na ninyi, endapo mtakiuka viapo hivi hatua kali za kisheria zitachukuliwa juu yenu”. amesema Mwl. Kagunze


Kwa upande wake msaidizi wa uchaguzi halmashauri ya manispaa ya shinyanga Ndg. Charles Kafutila ameeleza kwamba waliojiandikisha kwenye daftari la wakazi wa eneo husika ndio watakao ruhusiwa kupika kura akiwa eno hilo na kwamba hataruhusiwa mtu kupiga kura nje ya eneo la makazi yake au kama hayupo kwenye orodha ya wakazi husika, na hatoruhusiwa kuingia na simu ya mkononi kwenye chumba cha kupigia kura.


Katika hatua nyingine Ndg. Kafutila amesema vituo vitafunguliwa kuanzia saa mbili kamili asubuhi(2:00) na kufungwa saa kumi kamili jioni (10:00) hivyo haitaruhusiwa kwa mtu yoyote kupiga kura nje au baada ya muda elekezi.


Uchaguzi wa Serikali za Mitaa unatarajiwa kufanyika jumatano ya Novemba 27,2024 ambapo Manispaa ya Shinyanga ina kata 17, vijiji 17, vitongoji 84 na mitaa 55,Viogozi watakaochaguliwa kupitia uchaguzi huo wa Serikali za mitaa ni pamoja na Wenyeviti wa Mitaa, vijiji na vitongoji pamoja na wajumbe wao.

Tangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WA MADEREVA April 14, 2023
  • TAARIFA KWA UMMA April 27, 2023
  • MAADHIMISHO YA WIKI YA UNYONYESHAJI WA MAZIWA DUNIANI August 04, 2023
  • TAARIFA KWA UMMA MAONESHO YA NANENANE 2023 July 31, 2023
  • Tazama

Habari Mpya

  • ALAT YAIPONGEZA MANISPAA YA SHINYANGA KWA UTEKELEZAJI MZURI UJENZI WA JENGO LA UTAWALA.

    May 08, 2025
  • MHE.MASUMBUKO AWATAKA MADIWANI KUSHIRIKIANA KIKAMILIFU KUKABILIANA NA WIZI WA VIFAA VYA MIRADI YA MAENDELEO.

    May 07, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI MANISPAA YA SHINYANGA LAMPONGEZA MKURUGENZI KWA UTEKELEZAJI MZURI WA MAAGIZO

    May 06, 2025
  • SERIKALI KUENDELEA KUBORESHA SHULE YA WASICHANA SHINYANGA ILI KUIFANYA KUWA MIONGONI MWA SHULE BORA NCHINI “. NDG. MSIGWA.

    May 03, 2025
  • Tazama

Video

MWENGE WA UHURU HALMASHAURI YA MANISPAA YA SHINYANGA 2024
Video Zaidi

Kiunganishi cha haraka

  • Tangazo la nafasi ya kazi Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga
  • Urban Sanitation and Hygiene | Mazingira Safi Maisha Bora
  • Ripoti mbalimbali
  • Sheria Ndogondogo za Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga

Tovuti Nyingine tunazohusiana

  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa(TAMISEM)
  • Tovuti ya Utumishi
  • Wizara ya Elimu,Sayansi na Teknologia
  • Baraza la Mitihani Tanzania
  • Mkoa wa Shinyanga
  • Sekretarieti ya Ajira

wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya eneo

Wasiliana Nasi

    Tanesco S, Mwanza Road

    Anwani ya Posta: P.O.Box 28 Shinyanga

    Simu: +255-28-2763213

    Simu ya Mkononi: 0759 023 788

    Baruapepe: md@shinyangamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Ramani ya Tovuti
    • Sera ya faragha
    • Kanusho

Haki zote zimehifadhiwa@2018.Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga