• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe |
    • Malalamiko |
Shinyanga Municipal Council
Shinyanga Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Mipaka ya Kiutawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Rasilimali Watu
      • Elimu ya Sekondari
      • Elimu ya Msingi
      • Fedha
      • Ujenzi
      • Kilimo na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii,Ustawi wa Jamii na Vijana
      • Mipango, Ufuatiliaji na Takwimu
      • Hearth
      • Usafi na Mazingira
      • Land and Natural Resources
    • Vitengo
      • Tecknolojia, Habari, Mawasiliano na Uhusiano
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Usimamizi wa Ununuzi
      • Nyuki na Maliasili
  • Fursa za Uwekezaji
    • Uwekezaji wa Viwanda
    • Fursa za kilimo
    • Ufugaji
    • Ufugaji wa Samaki
    • Fursa za elimu
    • Fursa za Afya
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya Afya
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma ya Maji
    • Huduma ya kilimo
    • Huduma za Ufugaji
    • Ufugaji wa Samaki
    • Huduma za Watumishi
    • Huduma ya utoaji wa Mikopo
    • Kukondisha Vyumba vya Biashara
    • Unyonyaji wa Maji Taka
    • Huduma za Biashara
      • Leseni za Biashara
      • Elimu ya kibiashara
      • Ukaguzi wa Viwanda
      • Usimamizi wa Masoko
      • Prepalation of Good Environment for Investment
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha na Utawala
      • Kamati ya Uchumi, Afya na Elimu
      • Kamati ya Miundombinu
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya kamati za Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iIliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo za Halmashauri
    • Mkataba wa huduma kwa wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu za maombi
    • Miongozo
    • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • Mafunzo

''MSIKATISHWE NDOTO ZENU, ELIMU YENU IWE CHACHU YA MAENDELEO YA TAIFA”. RC MACHA

Posted on: May 16th, 2025

MSIKATISHWE NDOTO ZENU, ELIMU YENU IWE CHACHU YA MAENDELEO YA TAIFA”. RC MACHA

Na. Shinyanga MC


“ELIMU YENU IWE CHACHU YA MAENDELEO YA TAIFA”

Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga, Mhe. Anamringi Macha, amewahimiza wanafunzi kusoma kwa bidii ili kufanikisha ndoto zao na kujiandaa kuwa viongozi wa Taifa la kesho.


RC Macha ameyasema haya leo Mei 16, 2025, wakati wa mahafali ya kwanza ya kidato cha sita katika Shule ya Wasichana Shinyanga iliyopo Manispaa ya Shinyanga, ambapo ametumia fursa hiyo kuwasihi wahitimu pamoja na wanafunzi wengine kuhakikisha hawakati tamaa wala kuruhusu ndoto zao kuvurugwa na vishawishi mbalimbali.


“Malipo pekee ya kuilipa serikali ni matokeo yenu mazuri katika mitihani mliyofanya. Shule kama hizi zipo katika mikoa 26 tu nchini Tanzania. Nia ya serikali ni kuhakikisha wanafunzi wanasoma katika mazingira bora na salama. Elimu mliyopata hapa iende kuwa chachu ya maendeleo ya taifa letu. Ni imani yetu kwamba nyote mtaendelea na masomo ya vyuo vikuu kwa sababu mmelelewa na kufunzwa vyema,” amesema RC Macha.


Kwa upande wake, Afisa Elimu wa Sekondari Mkoa wa Shinyanga, Mwalimu Samson Hango, amempongeza Mkuu wa Shule hiyo kwa usimamizi bora wa maadili na nidhamu uliohakikisha kuwa wanafunzi wote 73 walioanza kidato cha tano wanahitimu salama.


Naye Mkurugenzi wa Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga, Mwl. Alexius Kagunze, ameeleza kuwa jitihada zinazofanywa na serikali ya Awamu ya Sita katika kuboresha mazingira ya kujifunzia kwa wanafunzi wa kike na kufundishia kwa walimu ndizo zimechangia mafanikio haya.


Katika hatua nyingine, Ofisi ya Mkurugenzi wa Manispaa ya Shinyanga imemtunuku Mkuu wa Shule hiyo, Mwalimu Nurah Kamuntu, cheti cha pongezi pamoja na zawadi ya fedha taslimu shilingi 1,000,000/= kwa kutambua juhudi, mchango, uadilifu na moyo wake wa kujituma katika uongozi wa shule hiyo.


Shule ya Wasichana Shinyanga ni miongoni mwa shule 26 maalum za wasichana nchini, iliyoanzishwa mwaka 2023 kwa ajili ya Tahasusi za Sayansi. Hivi sasa shule ina wanafunzi wa kidato cha kwanza hadi cha tatu pamoja na kidato cha tano


Tangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WA MADEREVA April 14, 2023
  • TAARIFA KWA UMMA April 27, 2023
  • MAADHIMISHO YA WIKI YA UNYONYESHAJI WA MAZIWA DUNIANI August 04, 2023
  • TAARIFA KWA UMMA MAONESHO YA NANENANE 2023 July 31, 2023
  • Tazama

Habari Mpya

  • WANAFUNZI KUTOKA SHULE 20 ZA MANISPAA YA SHINYANGA WAKUTANA KUBADILISHANA UJUZI ILI KUBORESHA TAALUMA.

    May 17, 2025
  • ''MSIKATISHWE NDOTO ZENU, ELIMU YENU IWE CHACHU YA MAENDELEO YA TAIFA”. RC MACHA

    May 16, 2025
  • WANANCHI MANISPAA YA SHINYANGA WAASWA KUCHANGAMKIA MIKOPO YA ASILIMIA 7 ILI KUJIKWAMUA KIUCHUMI.

    May 14, 2025
  • ALAT YAIPONGEZA MANISPAA YA SHINYANGA KWA UTEKELEZAJI MZURI UJENZI WA JENGO LA UTAWALA.

    May 08, 2025
  • Tazama

Video

MWENGE WA UHURU HALMASHAURI YA MANISPAA YA SHINYANGA 2024
Video Zaidi

Kiunganishi cha haraka

  • Tangazo la nafasi ya kazi Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga
  • Urban Sanitation and Hygiene | Mazingira Safi Maisha Bora
  • Ripoti mbalimbali
  • Sheria Ndogondogo za Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga

Tovuti Nyingine tunazohusiana

  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa(TAMISEM)
  • Tovuti ya Utumishi
  • Wizara ya Elimu,Sayansi na Teknologia
  • Baraza la Mitihani Tanzania
  • Mkoa wa Shinyanga
  • Sekretarieti ya Ajira

wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya eneo

Wasiliana Nasi

    Tanesco S, Mwanza Road

    Anwani ya Posta: P.O.Box 28 Shinyanga

    Simu: +255-28-2763213

    Simu ya Mkononi: 0759 023 788

    Baruapepe: md@shinyangamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Ramani ya Tovuti
    • Sera ya faragha
    • Kanusho

Haki zote zimehifadhiwa@2018.Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga