• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe |
    • Malalamiko |
Shinyanga Municipal Council
Shinyanga Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Mipaka ya Kiutawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Rasilimali Watu
      • Elimu ya Sekondari
      • Elimu ya Msingi
      • Fedha
      • Ujenzi
      • Kilimo na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii,Ustawi wa Jamii na Vijana
      • Mipango, Ufuatiliaji na Takwimu
      • Hearth
      • Usafi na Mazingira
      • Land and Natural Resources
    • Vitengo
      • Tecknolojia, Habari, Mawasiliano na Uhusiano
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Usimamizi wa Ununuzi
      • Nyuki na Maliasili
  • Fursa za Uwekezaji
    • Uwekezaji wa Viwanda
    • Fursa za kilimo
    • Ufugaji
    • Ufugaji wa Samaki
    • Fursa za elimu
    • Fursa za Afya
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya Afya
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma ya Maji
    • Huduma ya kilimo
    • Huduma za Ufugaji
    • Ufugaji wa Samaki
    • Huduma za Watumishi
    • Huduma ya utoaji wa Mikopo
    • Kukondisha Vyumba vya Biashara
    • Unyonyaji wa Maji Taka
    • Huduma za Biashara
      • Leseni za Biashara
      • Elimu ya kibiashara
      • Ukaguzi wa Viwanda
      • Usimamizi wa Masoko
      • Prepalation of Good Environment for Investment
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha na Utawala
      • Kamati ya Uchumi, Afya na Elimu
      • Kamati ya Miundombinu
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya kamati za Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iIliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo za Halmashauri
    • Mkataba wa huduma kwa wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu za maombi
    • Miongozo
    • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • Mafunzo

MKOA WA SHINYANGA WAADHIMISHA MIAKA 59 YA MUUNGANO KWA KUZINDUA ZAHANATI YA MASEKELO

Posted on: April 26th, 2023

Na Shinyanga MC.


Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Christiana Solomon Mndeme leo tarehe 26 Aprili, 2023 ameongoza wana Shinyanga katika kuadhimisha sherehe za mika 59 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar kwa kuzindua Zahanati ya Masekelo iliyopo Kata ya Masekelo Katika Manispaa ya Shinyanga huku akiwataka wananchi wa Kata hiyo kuhakikisha inatunzwa ili inufaishe na vizazi vijavyo.


Akizungumza mara baada ya kuweka jiwe la msingi katika Zahanati hiyo, Mhe. Mndeme aliwaambia wananchi hao kuwa ni muhimu sana kuendelea kujivunia Muungano wetu wa Tanganyika na Zanzibar kwakuwa ndiyo umeweza kuwakutanisha leo katika tukio hilo muhimu kabisa la uzinduzi wa Zahanati ikiwa ni sehemu ya utekelezaji wa Ilani ya Çhama Cha Mapinduzi (2020) ambacho kilizaliwa kutoka katika Muungano ambao leo una miaka 59.


"Ndugu zangu wananchi, leo yupo hapa kwenye tukio muhimu kabisa tena linalohusu afya za watu wetu tukiwa na amani, upendo, mshikamano na udugu wetu huu mnaouona ni matunda ya Muungano ulioasisiwa na viongozi wetu Sheikh Abeid Amani Karume aliyekuwa Rais wa Zanzibar na Mwl Julius Nyerere aliyekuwa Rais wa Tanganyika wakati huo. Hivyo ni muhimu sana kwetu sisi tunapokwenda kuadhimisha sherehe hizi tuuenzi Muungano wetu, tuwaenzi waasisi wa Muungano kwa kudumisha upendo, amani na mshikamano," alisema Mhe. Mndeme.


Awali akifungua maadhimisho hayo katika viwanja vya Zimamoto aliwahutubia wananchi waliokuwa wamejaa uwanjani hapo kuwa, Shinyanga inajivunia Muungano kwakuwa imepiga hatua kubwa sana katika nyanja mbalimbali ikiwamo Elimu, Afya, Miundomniju, ustawi wa wananchi kiuchumi nk.


Pamoja na mafanikio lukuki yaliyopatikana ndani ya miaka 59 ya Muungano, lakini Mkoa wa Shinyanga umepiga hatua kubwa sana katika Elimu ambapo miaka 59 iliyopita mpaka sasa Shinyanga ina jumla ya shule 646 huku akielezea upande wa Afya kuwa miaka 59 iliyopita wa Shinyanga ilikuwa na Zahanati 10 tu, ambapo mpaka kufika leo kuna jumla ya Zahanati 250 ikiwamo na hii ya Masekelo ambayo itanufaisha wananchi 19332.


MATUKIO KATIKA PICHA







Tangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WA MADEREVA April 14, 2023
  • TAARIFA KWA UMMA April 27, 2023
  • MAADHIMISHO YA WIKI YA UNYONYESHAJI WA MAZIWA DUNIANI August 04, 2023
  • TAARIFA KWA UMMA MAONESHO YA NANENANE 2023 July 31, 2023
  • Tazama

Habari Mpya

  • MHE. MWEBEA AONGOZA MAADHIMISHO YA SIKU YA MAZINGIRA DUNIANI MANISPAA YA SHINYANGA.

    June 05, 2025
  • MUONEKANO WA JENGO OPD KIPINDI CHA UJENZI NA BAADA YA KUKAMILIKA

    June 03, 2025
  • MUONEKANO WA JENGO LA UTAWALA SHULE YA WASICHANA SHINYANGA KIPINDI CHA UJENZI NA BAADA YA KUMALIZA UJENZI

    June 02, 2025
  • WANAFUNZI KUTOKA SHULE 20 ZA MANISPAA YA SHINYANGA WAKUTANA KUBADILISHANA UJUZI ILI KUBORESHA TAALUMA.

    May 17, 2025
  • Tazama

Video

MWENGE WA UHURU HALMASHAURI YA MANISPAA YA SHINYANGA 2024
Video Zaidi

Kiunganishi cha haraka

  • Tangazo la nafasi ya kazi Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga
  • Urban Sanitation and Hygiene | Mazingira Safi Maisha Bora
  • Ripoti mbalimbali
  • Sheria Ndogondogo za Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga

Tovuti Nyingine tunazohusiana

  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa(TAMISEM)
  • Tovuti ya Utumishi
  • Wizara ya Elimu,Sayansi na Teknologia
  • Baraza la Mitihani Tanzania
  • Mkoa wa Shinyanga
  • Sekretarieti ya Ajira

wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya eneo

Wasiliana Nasi

    Tanesco S, Mwanza Road

    Anwani ya Posta: P.O.Box 28 Shinyanga

    Simu: +255-28-2763213

    Simu ya Mkononi: 0759 023 788

    Baruapepe: md@shinyangamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Ramani ya Tovuti
    • Sera ya faragha
    • Kanusho

Haki zote zimehifadhiwa@2018.Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga