• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe |
    • Malalamiko |
Shinyanga Municipal Council
Shinyanga Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Mipaka ya Kiutawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Rasilimali Watu
      • Elimu ya Sekondari
      • Elimu ya Msingi
      • Fedha
      • Ujenzi
      • Kilimo na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii,Ustawi wa Jamii na Vijana
      • Mipango, Ufuatiliaji na Takwimu
      • Hearth
      • Usafi na Mazingira
      • Land and Natural Resources
    • Vitengo
      • Tecknolojia, Habari, Mawasiliano na Uhusiano
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Usimamizi wa Ununuzi
      • Nyuki na Maliasili
  • Fursa za Uwekezaji
    • Uwekezaji wa Viwanda
    • Fursa za kilimo
    • Ufugaji
    • Ufugaji wa Samaki
    • Fursa za elimu
    • Fursa za Afya
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya Afya
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma ya Maji
    • Huduma ya kilimo
    • Huduma za Ufugaji
    • Ufugaji wa Samaki
    • Huduma za Watumishi
    • Huduma ya utoaji wa Mikopo
    • Kukondisha Vyumba vya Biashara
    • Unyonyaji wa Maji Taka
    • Huduma za Biashara
      • Leseni za Biashara
      • Elimu ya kibiashara
      • Ukaguzi wa Viwanda
      • Usimamizi wa Masoko
      • Prepalation of Good Environment for Investment
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha na Utawala
      • Kamati ya Uchumi, Afya na Elimu
      • Kamati ya Miundombinu
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya kamati za Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iIliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo za Halmashauri
    • Mkataba wa huduma kwa wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu za maombi
    • Miongozo
    • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • Mafunzo

MHE. MNDEME AONGOZA WANASHINYANGA KUTOA HESHIMA ZA MWISHO KWA NDUGU SALU NDONGO

Posted on: November 20th, 2023

MHE. MNDEME AONGOZA WANASHINYANGA KUTOA HESHIMA YA MWISHO KWA NDUGU SALU NDONGO .

Na. Shinyanga Mc

MKUU wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Christina S. Mndeme jana tarehe 19 Novemba, 2023 aliongoza wananchi, viongozi wa dini, serikali na chama katika kutoa heshima ya mwisho kwa Ndg. Salu Ndongo aliyekuwa Afisa Ardhi Mfawidhi Manispaa ya Shinyanga tukio lililofanyika katika Kanisa la Waadventista Wasabato lililopo Shinyanga huku akiwakumbusha kuishi kwa utayari kwani hatujui siku wala saa ambapo tutakumbwa na umauti.

Mhe. Mndeme amesema kuwa, alipokea kwa mstuko taarifa ya msiba huu kwakuwa alikuwa akimfahamu na uchapa kazi wake na kwamba serikali inatoa pole sana kwa wanajumuiya ya shinyanga manispaa kwa ujumla kwa msiba huu, na kumsihi Mjane wa marehemu na kumtaka kushikilia zaidi msalaba pamoja na kumtumainia Yesu kwakuwa yeye ni mfariji wakati wote na baba wa Yatima na Wajane.

"Ndugu zangu, msiba huu unatukumbusha kuishi kwa utayari kwani hatujui siku wala saa umauti nasi utatukuta, pia tuendelee kumtumainia Mungu wakati wote," alisema Mhe. Mndeme.

Kwa upande wake Mchungaji wa Kanisa la Waadventista Wasabato Razalo Mbogo amesema kuwa, yeye binafsi amemfahamu kwa muda mrefu sana marehemu Ndongo, na kwamba alikuwa mchapakazi anayehudumia wananchi kwa haraka na kwa uzalendo zaidi na ndiyo maana msiba huu umegusa wananchi wengi zaidi.

Marehemu Salu Ndongo alifariki tarehe 17 Novemba, 2023 kwa ajari ya gari aliyokuwa akiendesha mwenyewe katika eneo la kalogo manispaa ya shinyanga na mazishi yatafanyika leo tarehe 20 Novemba, 2023 kijijini kwao Gangabilili, wilaya ya Itilima - Simiyu.

BWANA AMETOA NA BWANA AMETWAA, JINA LAKE LIHIMIDIWE

Tangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WA MADEREVA April 14, 2023
  • TAARIFA KWA UMMA April 27, 2023
  • MAADHIMISHO YA WIKI YA UNYONYESHAJI WA MAZIWA DUNIANI August 04, 2023
  • TAARIFA KWA UMMA MAONESHO YA NANENANE 2023 July 31, 2023
  • Tazama

Habari Mpya

  • ALAT YAIPONGEZA MANISPAA YA SHINYANGA KWA UTEKELEZAJI MZURI UJENZI WA JENGO LA UTAWALA.

    May 08, 2025
  • MHE.MASUMBUKO AWATAKA MADIWANI KUSHIRIKIANA KIKAMILIFU KUKABILIANA NA WIZI WA VIFAA VYA MIRADI YA MAENDELEO.

    May 07, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI MANISPAA YA SHINYANGA LAMPONGEZA MKURUGENZI KWA UTEKELEZAJI MZURI WA MAAGIZO

    May 06, 2025
  • SERIKALI KUENDELEA KUBORESHA SHULE YA WASICHANA SHINYANGA ILI KUIFANYA KUWA MIONGONI MWA SHULE BORA NCHINI “. NDG. MSIGWA.

    May 03, 2025
  • Tazama

Video

MWENGE WA UHURU HALMASHAURI YA MANISPAA YA SHINYANGA 2024
Video Zaidi

Kiunganishi cha haraka

  • Tangazo la nafasi ya kazi Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga
  • Urban Sanitation and Hygiene | Mazingira Safi Maisha Bora
  • Ripoti mbalimbali
  • Sheria Ndogondogo za Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga

Tovuti Nyingine tunazohusiana

  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa(TAMISEM)
  • Tovuti ya Utumishi
  • Wizara ya Elimu,Sayansi na Teknologia
  • Baraza la Mitihani Tanzania
  • Mkoa wa Shinyanga
  • Sekretarieti ya Ajira

wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya eneo

Wasiliana Nasi

    Tanesco S, Mwanza Road

    Anwani ya Posta: P.O.Box 28 Shinyanga

    Simu: +255-28-2763213

    Simu ya Mkononi: 0759 023 788

    Baruapepe: md@shinyangamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Ramani ya Tovuti
    • Sera ya faragha
    • Kanusho

Haki zote zimehifadhiwa@2018.Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga