• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe |
    • Malalamiko |
Shinyanga Municipal Council
Shinyanga Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Mipaka ya Kiutawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Rasilimali Watu
      • Elimu ya Sekondari
      • Elimu ya Msingi
      • Fedha
      • Ujenzi
      • Kilimo na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii,Ustawi wa Jamii na Vijana
      • Mipango, Ufuatiliaji na Takwimu
      • Hearth
      • Usafi na Mazingira
      • Land and Natural Resources
    • Vitengo
      • Tecknolojia, Habari, Mawasiliano na Uhusiano
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Usimamizi wa Ununuzi
      • Nyuki na Maliasili
  • Fursa za Uwekezaji
    • Uwekezaji wa Viwanda
    • Fursa za kilimo
    • Ufugaji
    • Ufugaji wa Samaki
    • Fursa za elimu
    • Fursa za Afya
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya Afya
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma ya Maji
    • Huduma ya kilimo
    • Huduma za Ufugaji
    • Ufugaji wa Samaki
    • Huduma za Watumishi
    • Huduma ya utoaji wa Mikopo
    • Kukondisha Vyumba vya Biashara
    • Unyonyaji wa Maji Taka
    • Huduma za Biashara
      • Leseni za Biashara
      • Elimu ya kibiashara
      • Ukaguzi wa Viwanda
      • Usimamizi wa Masoko
      • Prepalation of Good Environment for Investment
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha na Utawala
      • Kamati ya Uchumi, Afya na Elimu
      • Kamati ya Miundombinu
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya kamati za Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iIliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo za Halmashauri
    • Mkataba wa huduma kwa wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu za maombi
    • Miongozo
    • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • Mafunzo

MHE. JOHARI SAMIZI AITAKA MANISPAA YA SHINYANGA KUMALIZIA UJENZI WA ZAHANATI YA KATA KOLANDOTO

Posted on: May 9th, 2023


Na. Shinyanga MC.

Mkuu wa Wilaya ya Shinyanga Mhe. Johari Mussa Samizi ameitaka Manispaa ya Shinyanga kumalizia

ujenzi wa Zahanati ya Kata Kolandoto ili kuwaondolea adha wananchi wa Kata hiyo ya kutembea umbali

mrefu kufuata huduma ya matibabu.

Mhe. Johati ameyasema hayo leo tarehe 9 Mei, 2023 kwenye mkutano wa na wananchi wa Kata ya

Kolandoto wakati wa ziara yake ya ukaguzi wa utekelezaji wa miradi ya maendeleo katika Manispaa ya

Shinyanga baada ya kusomewa taarifa utekelezaji na wananchi kutoa ombi hilo kwake kwamba ujenzi

wa Zahanati hiyo umechukua muda mrefu sana kuanzia mwaka 2010.

"Nimepokea taarifa yenu ya utekelezaji wa miradi, lakini kwenye hili ombi ambalo limetolewa na

wananchi hawa wa Kata ya Kolandoto naomba lichukuliwe kwa uzito na umuhimu wa aina yake, uzuri ni

kwamba Mkurugenzi wa Manispaa upo hapa na Mstahiki Meya wa Manispaa upo hapa pia, niwaombe

mkapitishe bajeti kwa mwakwa wa fedha 2023/2024 ya umaliziaji wa Zahanati hii ambayo ni muhimu

kwa wananchi wetu ukizingatia kuwa imekuwa ya muda mrefu sana ili kero hii ya wananchi ifikie mwisho

sasa mwaka huu," alisema Mhe. Johari.

Katika mkutano huo wa hadhara wananchi walieleza kero zao na kutoa maombi yao ikiwa ni pamoja na

kuomba kufanyika kwa ukarabati wa shule ya msingi Kolandoto ambayo ilijengwa yangu mwaka 1962

kwa sasa inauo majengo yaliyochoka, kupelekwa kwa Mtendaji katika Kijiji cha Galamba, kupatiwa

ufumbuzi wa malalamiko ya waliofanyiwa uthamini kupisha uendelezaji wa mradi wa Uwanja wa Ndege

walipwe stahiki zao, kupelekewa huduma ya umeme kwa kijiji cha Galamba, na maji kwa baadhi ya vijiji

vya Mwabahabi na Msumbiji.

Hoja hizo zilipatiwa majibu na viongozi mbalimbali walioambatana na Mhe. Johari ambapo suala la

Mtendaji wa kijiji Mkurugenzi wa Manispaa aliahidi kumpeleka huku akiwasihi wananchi kuacha tabia ya

kukataa watumishi, kuhusu maji Mhe. Mussa Elias Diwani Kata ya Kolandoto alisema Kolandoto ipo

kwenye mpango wa kupelekewa huduma hiyo, na suala la fidia Mhe. Johari alisema hakuna mwananchi

atakayedhurumiwa haki yake.

Hii ni siku ya kwanza ya ziara ya siku mbili katika Manispaa itakayotekelezwa na Mhe. Johari ikiwa ni

sehemu ya utaratibu wake wa kukagua utekelezaji wa miradi pamoja na kufanya mikutano ya hadhara

kwa lenho la kupokea changamoto zinazowakabili wananchi na kuzipatia ufumbuzi.

Mhe. Johari aliyevaa Kilemba chekundu akiendelea na ukaguzi wa miradi ya maendeleo katika Kata ya Kolandoto, hilo ni jengo la vyumba vya madarasa Shule ya Msingi Kolandoto

Tangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WA MADEREVA April 14, 2023
  • TAARIFA KWA UMMA April 27, 2023
  • MAADHIMISHO YA WIKI YA UNYONYESHAJI WA MAZIWA DUNIANI August 04, 2023
  • TAARIFA KWA UMMA MAONESHO YA NANENANE 2023 July 31, 2023
  • Tazama

Habari Mpya

  • MHE. MWEBEA AONGOZA MAADHIMISHO YA SIKU YA MAZINGIRA DUNIANI MANISPAA YA SHINYANGA.

    June 05, 2025
  • MUONEKANO WA JENGO OPD KIPINDI CHA UJENZI NA BAADA YA KUKAMILIKA

    June 03, 2025
  • MUONEKANO WA JENGO LA UTAWALA SHULE YA WASICHANA SHINYANGA KIPINDI CHA UJENZI NA BAADA YA KUMALIZA UJENZI

    June 02, 2025
  • WANAFUNZI KUTOKA SHULE 20 ZA MANISPAA YA SHINYANGA WAKUTANA KUBADILISHANA UJUZI ILI KUBORESHA TAALUMA.

    May 17, 2025
  • Tazama

Video

MWENGE WA UHURU HALMASHAURI YA MANISPAA YA SHINYANGA 2024
Video Zaidi

Kiunganishi cha haraka

  • Tangazo la nafasi ya kazi Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga
  • Urban Sanitation and Hygiene | Mazingira Safi Maisha Bora
  • Ripoti mbalimbali
  • Sheria Ndogondogo za Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga

Tovuti Nyingine tunazohusiana

  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa(TAMISEM)
  • Tovuti ya Utumishi
  • Wizara ya Elimu,Sayansi na Teknologia
  • Baraza la Mitihani Tanzania
  • Mkoa wa Shinyanga
  • Sekretarieti ya Ajira

wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya eneo

Wasiliana Nasi

    Tanesco S, Mwanza Road

    Anwani ya Posta: P.O.Box 28 Shinyanga

    Simu: +255-28-2763213

    Simu ya Mkononi: 0759 023 788

    Baruapepe: md@shinyangamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Ramani ya Tovuti
    • Sera ya faragha
    • Kanusho

Haki zote zimehifadhiwa@2018.Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga