• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe |
    • Malalamiko |
Shinyanga Municipal Council
Shinyanga Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Mipaka ya Kiutawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Rasilimali Watu
      • Elimu ya Sekondari
      • Elimu ya Msingi
      • Fedha
      • Ujenzi
      • Kilimo na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii,Ustawi wa Jamii na Vijana
      • Mipango, Ufuatiliaji na Takwimu
      • Hearth
      • Usafi na Mazingira
      • Land and Natural Resources
    • Vitengo
      • Tecknolojia, Habari, Mawasiliano na Uhusiano
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Usimamizi wa Ununuzi
      • Nyuki na Maliasili
  • Fursa za Uwekezaji
    • Uwekezaji wa Viwanda
    • Fursa za kilimo
    • Ufugaji
    • Ufugaji wa Samaki
    • Fursa za elimu
    • Fursa za Afya
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya Afya
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma ya Maji
    • Huduma ya kilimo
    • Huduma za Ufugaji
    • Ufugaji wa Samaki
    • Huduma za Watumishi
    • Huduma ya utoaji wa Mikopo
    • Kukondisha Vyumba vya Biashara
    • Unyonyaji wa Maji Taka
    • Huduma za Biashara
      • Leseni za Biashara
      • Elimu ya kibiashara
      • Ukaguzi wa Viwanda
      • Usimamizi wa Masoko
      • Prepalation of Good Environment for Investment
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha na Utawala
      • Kamati ya Uchumi, Afya na Elimu
      • Kamati ya Miundombinu
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya kamati za Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iIliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo za Halmashauri
    • Mkataba wa huduma kwa wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu za maombi
    • Miongozo
    • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • Mafunzo

MENEJIMENTI YA MANISPAA YA SHINYANGA YATEMBELEA NA KUKAGUA MIRADI YA MAENDELEO

Posted on: July 15th, 2025

MENEJIMENTI YA MANISPAA YA SHINYANGA YATEMBELEA NA KUKAGUA MIRADI YA MAENDELEO.


Na: SHINYANGA MC


Menejimenti ya Manispaa ya Shinyanga ikiongozwa na muwakilishi wa mkurugenzi Ndg. Jackson Mwakisu ambaye ni Mkuu wa Divisheni ya Utawala na Rasilimali Watu Manispaa ya Shinyanga wamefanya ziara ya kutembelea na kukagua miradi ya maendeleo inayoendelea kutekelezwa ndani Manispaa ya shinyanga leo tarehe 15, Julai 2025.


Akizungumza katika ziara hii Ndg. mwakisu amewata mafundi kuongeza kasi ya ujenzi pamoja na kujenga majengo yenye ubora kulingana na thamani ya fedhaviliyotolewa na serikali.


“Ongezeni kasi ya ujenzi na uwe ujenzi wenye kulingana na thamani ya fedha iliyotolewa na serikali ili majengo haya yaanza kutumika kwa wanufaika wa miradi hii”. Amesema Ndg. Mwakisu


Miradi iliyotembelewa na kukaguliwa ni Ujenzi wa shule mpya ya ishigwandama iliyopo kata ya kizumbi, Ujenzi wa madarasa 2 shule ya msingi ilwelyangula kata ya kitangiri, Ujenzi wa ofisi ya wajisiriamali kata ya lubaga, Ujenzi wa madarasa 2 shule ya msingi kambarage kata ya kambarage, Ujenzi wa zahanati mwamagunguli kata ya kolandoto pamoja na ujenzi wa mabweni 4 na matundu ya vyoo 12 katikabshule ya sekondari Rajani kata ya Ibadakuli.


Lengo la ziara hii ni kuangalia hatua ipi imefikia ya utekelezaji wa Miradi pamoja na kutilia nguvu pale palipokuwa na changamoto na kutoa ushauri wa mambo mbalimbali.

Tangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WA MADEREVA April 14, 2023
  • TAARIFA KWA UMMA April 27, 2023
  • MAADHIMISHO YA WIKI YA UNYONYESHAJI WA MAZIWA DUNIANI August 04, 2023
  • TAARIFA KWA UMMA MAONESHO YA NANENANE 2023 July 31, 2023
  • Tazama

Habari Mpya

  • MWL. KAGUNZE AONGOZA KONGAMANO LA WALIMU SPESHO MANISPAA YA SHINYANGA

    July 17, 2025
  • WATENDAJI WA MITAA NA KATA MANISPAA YA SHINYANGA WAJENGEWA UWEZO KUHUSU MFUMO WA ANWANI ZA MAKAZI

    July 15, 2025
  • MENEJIMENTI YA MANISPAA YA SHINYANGA YATEMBELEA NA KUKAGUA MIRADI YA MAENDELEO

    July 15, 2025
  • MWL. KAGUNZE AKIONGEA NA WATUMISHI AJIRA MPYA

    July 14, 2025
  • Tazama

Video

MWENGE WA UHURU HALMASHAURI YA MANISPAA YA SHINYANGA 2024
Video Zaidi

Kiunganishi cha haraka

  • Tangazo la nafasi ya kazi Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga
  • Urban Sanitation and Hygiene | Mazingira Safi Maisha Bora
  • Ripoti mbalimbali
  • Sheria Ndogondogo za Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga

Tovuti Nyingine tunazohusiana

  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa(TAMISEM)
  • Tovuti ya Utumishi
  • Wizara ya Elimu,Sayansi na Teknologia
  • Baraza la Mitihani Tanzania
  • Mkoa wa Shinyanga
  • Sekretarieti ya Ajira

wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya eneo

Wasiliana Nasi

    Tanesco S, Mwanza Road

    Anwani ya Posta: P.O.Box 28 Shinyanga

    Simu: +255-28-2763213

    Simu ya Mkononi: 0759 023 788

    Baruapepe: md@shinyangamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Ramani ya Tovuti
    • Sera ya faragha
    • Kanusho

Haki zote zimehifadhiwa@2018.Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga