• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe |
    • Malalamiko |
Shinyanga Municipal Council
Shinyanga Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Mipaka ya Kiutawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Rasilimali Watu
      • Elimu ya Sekondari
      • Elimu ya Msingi
      • Fedha
      • Ujenzi
      • Kilimo na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii,Ustawi wa Jamii na Vijana
      • Mipango, Ufuatiliaji na Takwimu
      • Hearth
      • Usafi na Mazingira
      • Land and Natural Resources
    • Vitengo
      • Tecknolojia, Habari, Mawasiliano na Uhusiano
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Usimamizi wa Ununuzi
      • Nyuki na Maliasili
  • Fursa za Uwekezaji
    • Uwekezaji wa Viwanda
    • Fursa za kilimo
    • Ufugaji
    • Ufugaji wa Samaki
    • Fursa za elimu
    • Fursa za Afya
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya Afya
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma ya Maji
    • Huduma ya kilimo
    • Huduma za Ufugaji
    • Ufugaji wa Samaki
    • Huduma za Watumishi
    • Huduma ya utoaji wa Mikopo
    • Kukondisha Vyumba vya Biashara
    • Unyonyaji wa Maji Taka
    • Huduma za Biashara
      • Leseni za Biashara
      • Elimu ya kibiashara
      • Ukaguzi wa Viwanda
      • Usimamizi wa Masoko
      • Prepalation of Good Environment for Investment
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha na Utawala
      • Kamati ya Uchumi, Afya na Elimu
      • Kamati ya Miundombinu
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya kamati za Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iIliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo za Halmashauri
    • Mkataba wa huduma kwa wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu za maombi
    • Miongozo
    • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • Mafunzo

MANISPAA YA SHINYANGA YAIBUKA KINARA UTOAJI WA ZAWADI

Posted on: May 1st, 2023

MANISPAA YA SHINYANGA YAPONGEZWA KWA KUIBUKA MSHINDI KIMKOA.


Na Shinyanga MC.


Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga imeibuka kuwa mshindi wa jumla kwa kutoa zawadi kwa wafanyakazi wake hodari katika Maadhimisho ya Sherehe ya Siku ya Wafanyakazi Duniani (MEI MOSI) kwa Mkoa wa Shinyanga ambapo imetoa zaidi ya milioni 30 kwa mwaka huu wa 2023.


Pongezi hizo zimetolewa leo tarehe 1 Mei, 2023 na Mhe. Christina Solomon Mndeme Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga wakati akikabidhi zawadi mbalimbali kwa wafanyakazi ambao wamechaguliwa kutoka Taasisi zao hafla ambayo imefanyika katika Uwanja wa Mwadui uliopo Wilaya ya Kishapu.


Mhe. Mndeme ambaye alikuwa Mgeni Rasmi katika Maadhimisho hayo, pamoja na kueleza mazuri yaliyofanywa na Serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Mhe. Samia Suluhu Hassan Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, lakini pia amewakumbusha watumishi juu ya wajibu wao katika uwajibikaji wa kweli kwenye majukumu yao ili kuiletea maendeleo Serikali yetu.


Aidha amewakumbusha juu ya kulinda Maadili ya kitanzania, ambapo amewaeleza kuwa Tanzania kama Nchi tuna maadili na tamaduni zetu tulizorithi kutoka kwa mababu zetu na viomgozi wetu huku akiwataarifu kuwa Mkoa wa Shinyanga umeanzisha Kampeni ijulikanayo kama DON'T TOUCH ME, HQPA NI KWANGU ambayo inalenga kuwaelimisha watu wote na kwamba elimu hii iende mpaka kwa familia.


" Wakati tunasherehekea Maadhimisho haya, pamoja na kuipongeza sana Serikali yetu lakini tujiandae kuipokea Kampeni hii ambapo itakwenda mpaka ngazi ya familia ambapo tuwafundishe watoto na tunaowalea kukataa kabisa tabia zote zisizokuwa na maadili na wawe tayari kusema DON'T TOUCH ME, HAPA NI KWANGU pia mkumbuke uwajibikaji na maadili yetu pamoja na kuthamini Ulinzi na Usalama ambapo wenyeviti wetu wasiruhusu mtu kuingia maeneo yao kama hajulikani na ikitotea watoe taarifa kwa Mamlaka za Usalama," alisema Mhe. Mndeme.


Maadhimisho ya Mei Mosi 2023 Kimkoa yamefanyika katika Uwanja wa Mwadui, Wilaya ya Kishapu yakiwa na KAULI MBIU: Mishahara Bora na Ajira za Staha, Ni Nguzo kwa Maendeleo ya Wafanyakazi. Wakati ni Sasa!

Tangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WA MADEREVA April 14, 2023
  • TAARIFA KWA UMMA April 27, 2023
  • MAADHIMISHO YA WIKI YA UNYONYESHAJI WA MAZIWA DUNIANI August 04, 2023
  • TAARIFA KWA UMMA MAONESHO YA NANENANE 2023 July 31, 2023
  • Tazama

Habari Mpya

  • MHE. MWEBEA AONGOZA MAADHIMISHO YA SIKU YA MAZINGIRA DUNIANI MANISPAA YA SHINYANGA.

    June 05, 2025
  • MUONEKANO WA JENGO OPD KIPINDI CHA UJENZI NA BAADA YA KUKAMILIKA

    June 03, 2025
  • MUONEKANO WA JENGO LA UTAWALA SHULE YA WASICHANA SHINYANGA KIPINDI CHA UJENZI NA BAADA YA KUMALIZA UJENZI

    June 02, 2025
  • WANAFUNZI KUTOKA SHULE 20 ZA MANISPAA YA SHINYANGA WAKUTANA KUBADILISHANA UJUZI ILI KUBORESHA TAALUMA.

    May 17, 2025
  • Tazama

Video

MWENGE WA UHURU HALMASHAURI YA MANISPAA YA SHINYANGA 2024
Video Zaidi

Kiunganishi cha haraka

  • Tangazo la nafasi ya kazi Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga
  • Urban Sanitation and Hygiene | Mazingira Safi Maisha Bora
  • Ripoti mbalimbali
  • Sheria Ndogondogo za Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga

Tovuti Nyingine tunazohusiana

  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa(TAMISEM)
  • Tovuti ya Utumishi
  • Wizara ya Elimu,Sayansi na Teknologia
  • Baraza la Mitihani Tanzania
  • Mkoa wa Shinyanga
  • Sekretarieti ya Ajira

wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya eneo

Wasiliana Nasi

    Tanesco S, Mwanza Road

    Anwani ya Posta: P.O.Box 28 Shinyanga

    Simu: +255-28-2763213

    Simu ya Mkononi: 0759 023 788

    Baruapepe: md@shinyangamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Ramani ya Tovuti
    • Sera ya faragha
    • Kanusho

Haki zote zimehifadhiwa@2018.Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga