• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe |
    • Malalamiko |
Shinyanga Municipal Council
Shinyanga Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Mipaka ya Kiutawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Rasilimali Watu
      • Elimu ya Sekondari
      • Elimu ya Msingi
      • Fedha
      • Ujenzi
      • Kilimo na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii,Ustawi wa Jamii na Vijana
      • Mipango, Ufuatiliaji na Takwimu
      • Hearth
      • Usafi na Mazingira
      • Land and Natural Resources
    • Vitengo
      • Tecknolojia, Habari, Mawasiliano na Uhusiano
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Usimamizi wa Ununuzi
      • Nyuki na Maliasili
  • Fursa za Uwekezaji
    • Uwekezaji wa Viwanda
    • Fursa za kilimo
    • Ufugaji
    • Ufugaji wa Samaki
    • Fursa za elimu
    • Fursa za Afya
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya Afya
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma ya Maji
    • Huduma ya kilimo
    • Huduma za Ufugaji
    • Ufugaji wa Samaki
    • Huduma za Watumishi
    • Huduma ya utoaji wa Mikopo
    • Kukondisha Vyumba vya Biashara
    • Unyonyaji wa Maji Taka
    • Huduma za Biashara
      • Leseni za Biashara
      • Elimu ya kibiashara
      • Ukaguzi wa Viwanda
      • Usimamizi wa Masoko
      • Prepalation of Good Environment for Investment
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha na Utawala
      • Kamati ya Uchumi, Afya na Elimu
      • Kamati ya Miundombinu
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya kamati za Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iIliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo za Halmashauri
    • Mkataba wa huduma kwa wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu za maombi
    • Miongozo
    • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • Mafunzo

MANISPAA YA SHINYANGA YAENDELEA NA ZOEZI LA UCHANJAJI WA KUKU BILA MALIPO KUKABILIANA NA MAGONJWA

Posted on: July 9th, 2025





    • MANISPAA YA SHINYANGA YAENDELEA NA ZOEZI LA UCHANJAJI WA KUKU BILA MALIPO KUKABILIANA NA MAGONJWA.

      Na: Shinyanga MC

      Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga, kupitia Idara ya Mifugo, inaendelea kutekeleza zoezi la uchanjaji wa kuku kama sehemu ya mkakati wa kudhibiti na kutokomeza magonjwa hatari yanayoathiri sekta ya ufugaji.

      Zoezi hili ambalo ni awamu ya kwanza ya mpango wa chanjo kwa mifugo, linahusisha utoaji wa chanjo dhidi ya magonjwa ya kideri, ndui, na mafua makali ya kuku.ambapo leo Julai 9, 2025, zoezi hili limeendelea kutekelezwa katika Kata ya Ngokolo na Kata ya Ibadakuli, ambapo wafugaji wa kuku wamejitokeza kwa wingi kuhakikisha mifugo yao inalindwa dhidi ya milipuko ya magonjwa hayo.

      Wakizungumza kuhusu chanjo hizo, baadhi ya wafugaji wameipongeza serikali kwa kuwapatia chanjo za ruzuku huku wakieleza kuwa hatua hiyo imekuwa msaada mkubwa katika kuboresha afya ya mifugo yao. kwani ufugaji wa kuku umekuwa chanzo muhimu cha kipato,pamoja na fursa za ajira kwa vijana waliopo katika jamii zao.

      Zoezi la uchanjaji huu linaendelea kutolewa bila malipo katika Manispaa ya Shinyanga, ambapo lilianza rasmi Julai 7, 2025, na linatarajiwa kuendelea kwa muda wa wiki mbili likihusisha kata zote 17 za halmashauri ya manispaa ya Shinayanga.

      Hatua hii inaakisi dhamira ya Serikali katika kuboresha sekta ya mifugo, kukuza uchumi wa kaya, na taifa kwa ujumla ambapo manispaa ya Shinyanga inaendelea kuwahamasisha wafugaji wote kushiriki kikamilifu ili kufanikisha azma ya serikali ya kuondoa kabisa vifo vya mifugo vinavyotokana na magonjwa yanayozuilika.


      1w







      • Huduma ipo KATA zote 17 za Manispaa, Ushirika ni KATA ya Chamaguha tulikuwa huko Jana lakini pia unaweza fika Ofisi ya Kata Chamaguha Afisa Mifugo wa KATA atakuhudumia kiongozi.






  • MANISPAA YA SHINYANGA YAENDELEA NA ZOEZI LA UCHANJAJI WA KUKU BILA MALIPO KUKABILIANA NA MAGONJWA.

    Na: Shinyanga MC

    Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga, kupitia Idara ya Mifugo, inaendelea kutekeleza zoezi la uchanjaji wa kuku kama sehemu ya mkakati wa kudhibiti na kutokomeza magonjwa hatari yanayoathiri sekta ya ufugaji.

    Zoezi hili ambalo ni awamu ya kwanza ya mpango wa chanjo kwa mifugo, linahusisha utoaji wa chanjo dhidi ya magonjwa ya kideri, ndui, na mafua makali ya kuku.ambapo leo Julai 9, 2025, zoezi hili limeendelea kutekelezwa katika Kata ya Ngokolo na Kata ya Ibadakuli, ambapo wafugaji wa kuku wamejitokeza kwa wingi kuhakikisha mifugo yao inalindwa dhidi ya milipuko ya magonjwa hayo.

    Wakizungumza kuhusu chanjo hizo, baadhi ya wafugaji wameipongeza serikali kwa kuwapatia chanjo za ruzuku huku wakieleza kuwa hatua hiyo imekuwa msaada mkubwa katika kuboresha afya ya mifugo yao. kwani ufugaji wa kuku umekuwa chanzo muhimu cha kipato,pamoja na fursa za ajira kwa vijana waliopo katika jamii zao.

    Zoezi la uchanjaji huu linaendelea kutolewa bila malipo katika Manispaa ya Shinyanga, ambapo lilianza rasmi Julai 7, 2025, na linatarajiwa kuendelea kwa muda wa wiki mbili likihusisha kata zote 17 za halmashauri ya manispaa ya Shinayanga.

    Hatua hii inaakisi dhamira ya Serikali katika kuboresha sekta ya mifugo, kukuza uchumi wa kaya, na taifa kwa ujumla ambapo manispaa ya Shinyanga inaendelea kuwahamasisha wafugaji wote kushiriki kikamilifu ili kufanikisha azma ya serikali ya kuondoa kabisa vifo vya mifugo vinavyotokana na magonjwa yanayozuilika.


    1w







    • Huduma ipo KATA zote 17 za Manispaa, Ushirika ni KATA ya Chamaguha tulikuwa huko Jana lakini pia unaweza fika Ofisi ya Kata Chamaguha Afisa Mifugo wa KATA atakuhudumia kiongozi.




Tangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WA MADEREVA April 14, 2023
  • TAARIFA KWA UMMA April 27, 2023
  • MAADHIMISHO YA WIKI YA UNYONYESHAJI WA MAZIWA DUNIANI August 04, 2023
  • TAARIFA KWA UMMA MAONESHO YA NANENANE 2023 July 31, 2023
  • Tazama

Habari Mpya

  • MWL. KAGUNZE AONGOZA KONGAMANO LA WALIMU SPESHO MANISPAA YA SHINYANGA

    July 17, 2025
  • WATENDAJI WA MITAA NA KATA MANISPAA YA SHINYANGA WAJENGEWA UWEZO KUHUSU MFUMO WA ANWANI ZA MAKAZI

    July 15, 2025
  • MENEJIMENTI YA MANISPAA YA SHINYANGA YATEMBELEA NA KUKAGUA MIRADI YA MAENDELEO

    July 15, 2025
  • MWL. KAGUNZE AKIONGEA NA WATUMISHI AJIRA MPYA

    July 14, 2025
  • Tazama

Video

MWENGE WA UHURU HALMASHAURI YA MANISPAA YA SHINYANGA 2024
Video Zaidi

Kiunganishi cha haraka

  • Tangazo la nafasi ya kazi Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga
  • Urban Sanitation and Hygiene | Mazingira Safi Maisha Bora
  • Ripoti mbalimbali
  • Sheria Ndogondogo za Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga

Tovuti Nyingine tunazohusiana

  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa(TAMISEM)
  • Tovuti ya Utumishi
  • Wizara ya Elimu,Sayansi na Teknologia
  • Baraza la Mitihani Tanzania
  • Mkoa wa Shinyanga
  • Sekretarieti ya Ajira

wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya eneo

Wasiliana Nasi

    Tanesco S, Mwanza Road

    Anwani ya Posta: P.O.Box 28 Shinyanga

    Simu: +255-28-2763213

    Simu ya Mkononi: 0759 023 788

    Baruapepe: md@shinyangamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Ramani ya Tovuti
    • Sera ya faragha
    • Kanusho

Haki zote zimehifadhiwa@2018.Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga