• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe |
    • Malalamiko |
Shinyanga Municipal Council
Shinyanga Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Mipaka ya Kiutawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Rasilimali Watu
      • Elimu ya Sekondari
      • Elimu ya Msingi
      • Fedha
      • Ujenzi
      • Kilimo na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii,Ustawi wa Jamii na Vijana
      • Mipango, Ufuatiliaji na Takwimu
      • Hearth
      • Usafi na Mazingira
      • Land and Natural Resources
    • Vitengo
      • Tecknolojia, Habari, Mawasiliano na Uhusiano
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Usimamizi wa Ununuzi
      • Nyuki na Maliasili
  • Fursa za Uwekezaji
    • Uwekezaji wa Viwanda
    • Fursa za kilimo
    • Ufugaji
    • Ufugaji wa Samaki
    • Fursa za elimu
    • Fursa za Afya
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya Afya
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma ya Maji
    • Huduma ya kilimo
    • Huduma za Ufugaji
    • Ufugaji wa Samaki
    • Huduma za Watumishi
    • Huduma ya utoaji wa Mikopo
    • Kukondisha Vyumba vya Biashara
    • Unyonyaji wa Maji Taka
    • Huduma za Biashara
      • Leseni za Biashara
      • Elimu ya kibiashara
      • Ukaguzi wa Viwanda
      • Usimamizi wa Masoko
      • Prepalation of Good Environment for Investment
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha na Utawala
      • Kamati ya Uchumi, Afya na Elimu
      • Kamati ya Miundombinu
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya kamati za Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iIliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo za Halmashauri
    • Mkataba wa huduma kwa wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu za maombi
    • Miongozo
    • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • Mafunzo

KONGAMANO/MAJADILIANO NA WATU MBALIMBALI KATIKA KUPINGA UNYANYASAJI NA UKATILI DHIDI YA WANAWAKE NA WATOTO KATIKA MAENEO YA MASOKO

Posted on: July 3rd, 2019

 Jumuiya ya Tawala  za Mitaa Tanzania (ALAT) kwa kushirikiana na  Shirika  la  Kimataifa la  Wanawake (UN-WOMEN)  imetekeleza Mradi    wa   Kutokomeza   Vitendo   vya    Unyanyasaji   na   Ukandamizaji   kwa Wanawake  na  Watoto  kwenye  maeneo  ya  masoko   katika Manispaa ya Shinyanga.  Mradi huu ni sehemu ya utekelezaji  wa  Mpango Kazi wa  Kitaifa  wa  Kutokomeza Ukatili  dhidi   ya  Wanawake na  Watoto (MTAKUWWA) wa mwaka 2017/18 - 2021/22.

  Kongamano hilo la majadililiano na watu  mbalimbali yakiwemo madhehebu ya Dini, watu  mashuhuri,  wanasiasa,  Kamati za Masoko,   wamiliki wa  Baa  na  Mahoteli limefanyika leo tarehe 03-07-2019 katika ukumbi wa Kalinjuna uliopo Manispaa ya Shinyanga

   Miongoni   mwa   malengo  ya   utekelezaji  wa   mradi,   huu ni  pamoja  na kutoa     elimu na  kushiriki kikamilifu katika kupinga  unyanyasaji  na  ukatili dhidi  ya wanawake na watoto katika  maeneo ya masoko ambapo wajumbe walitoa maoni mbalimbali

Ikiwa ni hatua ya kupinga ukatili huo.

    Aidha Mwenyekiti wa ALAT-Taifa ambae pia alikuwa mgeni rasmi katika kongamano hilo,Mstahiki Meya

GulamHafeez Mukadam alifungua kongamano hilo  kwa kuweka mkazo katika suala hilo la unyanyasaji na ukatili dhidi ya wanawake na Watoto huku akisistiza kuwepo kwa ushirikiano katika jamii na Upendo jambo ambalo litapunguza ukatili na unyanyasaji katika jamii.

      Kwa upande mwingine Katibu wa ALAT-Taifa ndg,Elirehema Moses Kaaya alisikitishwa na vitendo hivyo vya ukatili vinavyoendelea katika Mkoa wa Shinyanga na kuwasihi wajumbe kushikamana kwa pamoja ili kufikia lengo la mradi kwa ufanisi.

       Mwezeshaji Godwin Mongi wa Bright Jamii Initiative alizungumzia mada mbalimbali kama vile Ubaguzi na Ukatili,Sababu za ukatili wa kijinsia,Namna mbalimbali za ukatili wa kijinsia,Taasisi zinashughulikia masuala ya jinsia na mwisho akasikiliza maoni ya wajumbe waliokuwa wakijibu swali Kwanini ukatili wa kijinsia unaendelea?

       Mwezeshaji Mwajina Lipinga,ambae ni mratibu wa mpango kazi wa kuzuia ukatili wa kijinsia dhidi ya wanawake na Watoto alizungumzia mada ya maeneo ya utekelezaji wa mpango ambayo serikali imeainisha ktk kuhakikisha utokomezaji dhidi ya ukatili unafanikiwa.

       Mwisho wajumbe walitoa mapendekezo mbalimbali kwa kuainisha vyanzo vya rasirimali watu na rasirimali vitu ili kuendeleza mapambano dhidi ya ukatili na unyanyasaji wa wanawake na Watoto.


YAFUATAYO NI MATUKIO KATIKA PICHA


Padri akifanya maombi kabla ya kuanza kwa kongamano  la kupinga ukatili dhidi ya wanawake na watoto katika maeneo ya soko.



Mufti akiomba dua ili kongamano liende vizuri chini ya ulinzi wa Mwenyezi Mungu



Wajumbe katika kongamano la kupinga ukatili dhidi ya wanawake na watoto katika maeneo ya soko,Manispaa ya Shinyanga.



Mwezeshaji Godwin Mongi akiwasilisha Mada katika kongamano la kupinga ukatili dhidi ya wanawake na watoto.




Mwezeshaji Mwajina Lipinga akiwasilisha Mada katika kongamano la kupinga ukatili dhidi ya wanawake na watoto.





Mmoja wa wajumbe akichangia hoja 

 katika kongamano la kupinga ukatili dhidi ya wanawake na watoto.





Tangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WA MADEREVA April 14, 2023
  • TAARIFA KWA UMMA April 27, 2023
  • MAADHIMISHO YA WIKI YA UNYONYESHAJI WA MAZIWA DUNIANI August 04, 2023
  • TAARIFA KWA UMMA MAONESHO YA NANENANE 2023 July 31, 2023
  • Tazama

Habari Mpya

  • ALAT YAIPONGEZA MANISPAA YA SHINYANGA KWA UTEKELEZAJI MZURI UJENZI WA JENGO LA UTAWALA.

    May 08, 2025
  • MHE.MASUMBUKO AWATAKA MADIWANI KUSHIRIKIANA KIKAMILIFU KUKABILIANA NA WIZI WA VIFAA VYA MIRADI YA MAENDELEO.

    May 07, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI MANISPAA YA SHINYANGA LAMPONGEZA MKURUGENZI KWA UTEKELEZAJI MZURI WA MAAGIZO

    May 06, 2025
  • SERIKALI KUENDELEA KUBORESHA SHULE YA WASICHANA SHINYANGA ILI KUIFANYA KUWA MIONGONI MWA SHULE BORA NCHINI “. NDG. MSIGWA.

    May 03, 2025
  • Tazama

Video

MWENGE WA UHURU HALMASHAURI YA MANISPAA YA SHINYANGA 2024
Video Zaidi

Kiunganishi cha haraka

  • Tangazo la nafasi ya kazi Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga
  • Urban Sanitation and Hygiene | Mazingira Safi Maisha Bora
  • Ripoti mbalimbali
  • Sheria Ndogondogo za Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga

Tovuti Nyingine tunazohusiana

  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa(TAMISEM)
  • Tovuti ya Utumishi
  • Wizara ya Elimu,Sayansi na Teknologia
  • Baraza la Mitihani Tanzania
  • Mkoa wa Shinyanga
  • Sekretarieti ya Ajira

wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya eneo

Wasiliana Nasi

    Tanesco S, Mwanza Road

    Anwani ya Posta: P.O.Box 28 Shinyanga

    Simu: +255-28-2763213

    Simu ya Mkononi: 0759 023 788

    Baruapepe: md@shinyangamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Ramani ya Tovuti
    • Sera ya faragha
    • Kanusho

Haki zote zimehifadhiwa@2018.Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga