• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe |
    • Malalamiko |
Shinyanga Municipal Council
Shinyanga Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Mipaka ya Kiutawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Rasilimali Watu
      • Elimu ya Sekondari
      • Elimu ya Msingi
      • Fedha
      • Ujenzi
      • Kilimo na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii,Ustawi wa Jamii na Vijana
      • Mipango, Ufuatiliaji na Takwimu
      • Hearth
      • Usafi na Mazingira
      • Land and Natural Resources
    • Vitengo
      • Tecknolojia, Habari, Mawasiliano na Uhusiano
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Usimamizi wa Ununuzi
      • Nyuki na Maliasili
  • Fursa za Uwekezaji
    • Uwekezaji wa Viwanda
    • Fursa za kilimo
    • Ufugaji
    • Ufugaji wa Samaki
    • Fursa za elimu
    • Fursa za Afya
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya Afya
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma ya Maji
    • Huduma ya kilimo
    • Huduma za Ufugaji
    • Ufugaji wa Samaki
    • Huduma za Watumishi
    • Huduma ya utoaji wa Mikopo
    • Kukondisha Vyumba vya Biashara
    • Unyonyaji wa Maji Taka
    • Huduma za Biashara
      • Leseni za Biashara
      • Elimu ya kibiashara
      • Ukaguzi wa Viwanda
      • Usimamizi wa Masoko
      • Prepalation of Good Environment for Investment
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha na Utawala
      • Kamati ya Uchumi, Afya na Elimu
      • Kamati ya Miundombinu
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya kamati za Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iIliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo za Halmashauri
    • Mkataba wa huduma kwa wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu za maombi
    • Miongozo
    • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • Mafunzo

KIOGOZI WA MBIO ZA MWENGE WA UHURU 2025 AMEIPONGEZA MANISPAA YA SHINYANGA KWA KUENDELEA KUTUNZA MAZINGIRA NA MATUMIZI YA NISHATI SAFI YA KUPIKIA.

Posted on: August 7th, 2025

Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa uhuru 2025 ndg. Ismail Ali Ussi ameipongeza Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga kwa namna ambavyo inaendelea kutunza na kuhifadhi mazingira kwa kupanda Miti na matumishi ya nishati safi ya kupikia.


Ndg. Ussi ametoa Pongezi hizi leo Agosti 07, 2025 wakati akikagua nishati safi ya kupikia kutoka kwa kikundi Cha Wanawake na Samia, Kuzindua bidhaa ya Makaa mbadala, kukagua bustani ya Miti dawa pamoja na kukagua shughuli za vijana wanamazingira kata ya Ndembezi Manispaa ya Shinyanga


“Nimpongeze Mkurugenzi wa Manispaa ya Shinyanga Mwl. Kagunze kwa ubunifu wa kulifanya eneo hili kuwa la utulivu kwa wakazi wa kata hii , sambamba na kuendelea kuhimiza wananchi juu ya matumizi ya nishati safi ya kupikia, Sisi wakimbiza Mwenge wa uhuru mwaka 2025 tumeridhishwa na ubunifu huu kwa asilimia 100”. Amesema Ndg. Ussi.


Pamoja na mambo mengi kiongozi wa mwenge kitaifa Ndg. Ussi pamoja na viongozi mbalimbali walipata muda wa kupanda miti ya matunda katika bustani ya Kagunze ( KAGUNZE GARDEN).


Mradi wa Uhifadhi wa Mazingira na Utumiaji wa Nishati Safi na Salama kwa Wananchi ni mradi uliogharimu kiasi cha shilingi Milioni 6,136,000.

Tangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WA MADEREVA April 14, 2023
  • TAARIFA KWA UMMA April 27, 2023
  • MAADHIMISHO YA WIKI YA UNYONYESHAJI WA MAZIWA DUNIANI August 04, 2023
  • TAARIFA KWA UMMA MAONESHO YA NANENANE 2023 July 31, 2023
  • Tazama

Habari Mpya

  • “NENDENI MKAIWAKILISHE VYEMA MANISPAA YA SHINYANGA MASHINDANO YA SHIMISEMITA”. MWL. KAGUNZE

    August 15, 2025
  • Mkuu wa wilaya ya Shinyanga Wakili Julius Mtatiro akimkabidhi Mwenge wa Uhuru Mkuu wa Wilaya ya Kishapu Mhe. Peter Masindi

    August 08, 2025
  • Mkuu wa wilaya ya Shinyanga Wakili Julius Mtatiro akimkabidhi Mwenge wa Uhuru Mkuu wa Wilaya ya Kishapu Mhe. Peter Masindi

    August 08, 2025
  • KIONGOZI WA MBIO ZA MWENGE WA UHURU 2025 AWEKA JIWE LA MSINGI UJENZI WA BARABARA KWA KIWANGO CHA LAMI

    August 07, 2025
  • Tazama

Video

MWENGE WA UHURU HALMASHAURI YA MANISPAA YA SHINYANGA 2024
Video Zaidi

Kiunganishi cha haraka

  • Tangazo la nafasi ya kazi Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga
  • Urban Sanitation and Hygiene | Mazingira Safi Maisha Bora
  • Ripoti mbalimbali
  • Sheria Ndogondogo za Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga

Tovuti Nyingine tunazohusiana

  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa(TAMISEM)
  • Tovuti ya Utumishi
  • Wizara ya Elimu,Sayansi na Teknologia
  • Baraza la Mitihani Tanzania
  • Mkoa wa Shinyanga
  • Sekretarieti ya Ajira

wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya eneo

Wasiliana Nasi

    Tanesco S, Mwanza Road

    Anwani ya Posta: P.O.Box 28 Shinyanga

    Simu: +255-28-2763213

    Simu ya Mkononi: 0759 023 788

    Baruapepe: md@shinyangamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Ramani ya Tovuti
    • Sera ya faragha
    • Kanusho

Haki zote zimehifadhiwa@2018.Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga