• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe |
    • Malalamiko |
Shinyanga Municipal Council
Shinyanga Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Mipaka ya Kiutawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Rasilimali Watu
      • Elimu ya Sekondari
      • Elimu ya Msingi
      • Fedha
      • Ujenzi
      • Kilimo na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii,Ustawi wa Jamii na Vijana
      • Mipango, Ufuatiliaji na Takwimu
      • Hearth
      • Usafi na Mazingira
      • Land and Natural Resources
    • Vitengo
      • Tecknolojia, Habari, Mawasiliano na Uhusiano
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Usimamizi wa Ununuzi
      • Nyuki na Maliasili
  • Fursa za Uwekezaji
    • Uwekezaji wa Viwanda
    • Fursa za kilimo
    • Ufugaji
    • Ufugaji wa Samaki
    • Fursa za elimu
    • Fursa za Afya
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya Afya
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma ya Maji
    • Huduma ya kilimo
    • Huduma za Ufugaji
    • Ufugaji wa Samaki
    • Huduma za Watumishi
    • Huduma ya utoaji wa Mikopo
    • Kukondisha Vyumba vya Biashara
    • Unyonyaji wa Maji Taka
    • Huduma za Biashara
      • Leseni za Biashara
      • Elimu ya kibiashara
      • Ukaguzi wa Viwanda
      • Usimamizi wa Masoko
      • Prepalation of Good Environment for Investment
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha na Utawala
      • Kamati ya Uchumi, Afya na Elimu
      • Kamati ya Miundombinu
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya kamati za Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iIliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo za Halmashauri
    • Mkataba wa huduma kwa wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu za maombi
    • Miongozo
    • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • Mafunzo

KAMATI YA SIASA YA WILAYA YA SHINYANGA MJINI YAIPONGEZA MANISPAA YA SHINYANGA KWA UTEKELEZAJI MZURI WA ILANI YA CCM 2020/2025.

Posted on: June 3rd, 2024

KAMATI YA SIASA YA WILAYA YA SHINYANGA MJINI YAIPONGEZA MANISPAA YA SHINYANGA KWA UTEKELEZAJI MZURI WA ILANI YA CCM 2020/2025


Na. Shinyanga Mc


Kamati ya Siasa ya Wilaya ya Shinyanga Mjini imeipongeza Manispaa ya Shinyanga kwa utekelezaji mzuri wa Ilani ya CCM 2020/2025 ambapo pamoja na pongezi kwa utekelezaji mzuri wa Ilani lakini pia Kamati imeishauri Serikali kuboresha na kuimarisha kivuko cha wananchi kuingia soko jipya la Ibinzamata.


Hayo yamebainishwa leo tarehe 3 Juni, 2024 na Ndg. Anord Makombe Mwenyekiti wa CCM Wilaya ya Shinyanga Mjini huku akitoa ushauri wa maboresho mbalimbali yafanyike katika miradi na kutaka ikamilike kwa haraka ili wanufaika waanze kuitumia.


Awali Kamati ilikagua utekelezaji wa Ilani katika Ujenzi wa vyumba vya maabara 2 katika shule ya mwangulumbi, Ujenzi wa Shule ya Sekondari Lubaga, Ujenzi wa Stendi ya Lubaga, Ujenzi wa Jengo la Wagonjwa wa nje (OPD) katika Hospitali ya Manispaa, Ukarabati wa Vibanda Soko Kuu pamoja na Ujenzi wa Soko la Ibinzamata, huku akipongeza zaidi ujenzi wa jengo la wagonjwa wa Nje (OPD) katika Hospitali ya Manispaa ya Shinyanga ambapo pia aliwasisitiza wahudumu wa afya kuzingatia kwa uadilifu, maadili ya utendaji wa kazi bora na kutoa huduma nzuri kwa wananchi.


“Tuipongeze Serikali kwa utekelezaji wa Ilani yetu ya CCM 2022/2025 katika sekta ambazo Kamati imekagua, na kwamba maelekezo na ushauri uliotolewa na Kamati uzingatiwe na utekelezwe haraka zikiwemo kasoro zote zilizobainika ili wananchi wanufaike na utekelezaji huu wa Ilani”, amesema Ndg. Makombe


Kwa upande wa Serikali, Mkuu wa Wilaya ya Shinyanga Wakili Julius Mtatiro amesema kuwa, Serikali imepokea kwa unyenyekevu na uzito mkubwa maelekezo yote yaliyotolewa na Kamati ya Siasa ya Wilaya na kwamba ndani ya muda mfupi Serikali itakuwa imetekeleza kikamilivu.

Tangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WA MADEREVA April 14, 2023
  • TAARIFA KWA UMMA April 27, 2023
  • MAADHIMISHO YA WIKI YA UNYONYESHAJI WA MAZIWA DUNIANI August 04, 2023
  • TAARIFA KWA UMMA MAONESHO YA NANENANE 2023 July 31, 2023
  • Tazama

Habari Mpya

  • MHE. MWEBEA AONGOZA MAADHIMISHO YA SIKU YA MAZINGIRA DUNIANI MANISPAA YA SHINYANGA.

    June 05, 2025
  • MUONEKANO WA JENGO OPD KIPINDI CHA UJENZI NA BAADA YA KUKAMILIKA

    June 03, 2025
  • MUONEKANO WA JENGO LA UTAWALA SHULE YA WASICHANA SHINYANGA KIPINDI CHA UJENZI NA BAADA YA KUMALIZA UJENZI

    June 02, 2025
  • WANAFUNZI KUTOKA SHULE 20 ZA MANISPAA YA SHINYANGA WAKUTANA KUBADILISHANA UJUZI ILI KUBORESHA TAALUMA.

    May 17, 2025
  • Tazama

Video

MWENGE WA UHURU HALMASHAURI YA MANISPAA YA SHINYANGA 2024
Video Zaidi

Kiunganishi cha haraka

  • Tangazo la nafasi ya kazi Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga
  • Urban Sanitation and Hygiene | Mazingira Safi Maisha Bora
  • Ripoti mbalimbali
  • Sheria Ndogondogo za Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga

Tovuti Nyingine tunazohusiana

  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa(TAMISEM)
  • Tovuti ya Utumishi
  • Wizara ya Elimu,Sayansi na Teknologia
  • Baraza la Mitihani Tanzania
  • Mkoa wa Shinyanga
  • Sekretarieti ya Ajira

wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya eneo

Wasiliana Nasi

    Tanesco S, Mwanza Road

    Anwani ya Posta: P.O.Box 28 Shinyanga

    Simu: +255-28-2763213

    Simu ya Mkononi: 0759 023 788

    Baruapepe: md@shinyangamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Ramani ya Tovuti
    • Sera ya faragha
    • Kanusho

Haki zote zimehifadhiwa@2018.Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga