• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe |
    • Malalamiko |
Shinyanga Municipal Council
Shinyanga Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Mipaka ya Kiutawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Rasilimali Watu
      • Elimu ya Sekondari
      • Elimu ya Msingi
      • Fedha
      • Ujenzi
      • Kilimo na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii,Ustawi wa Jamii na Vijana
      • Mipango, Ufuatiliaji na Takwimu
      • Hearth
      • Usafi na Mazingira
      • Land and Natural Resources
    • Vitengo
      • Tecknolojia, Habari, Mawasiliano na Uhusiano
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Usimamizi wa Ununuzi
      • Nyuki na Maliasili
  • Fursa za Uwekezaji
    • Uwekezaji wa Viwanda
    • Fursa za kilimo
    • Ufugaji
    • Ufugaji wa Samaki
    • Fursa za elimu
    • Fursa za Afya
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya Afya
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma ya Maji
    • Huduma ya kilimo
    • Huduma za Ufugaji
    • Ufugaji wa Samaki
    • Huduma za Watumishi
    • Huduma ya utoaji wa Mikopo
    • Kukondisha Vyumba vya Biashara
    • Unyonyaji wa Maji Taka
    • Huduma za Biashara
      • Leseni za Biashara
      • Elimu ya kibiashara
      • Ukaguzi wa Viwanda
      • Usimamizi wa Masoko
      • Prepalation of Good Environment for Investment
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha na Utawala
      • Kamati ya Uchumi, Afya na Elimu
      • Kamati ya Miundombinu
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya kamati za Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iIliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo za Halmashauri
    • Mkataba wa huduma kwa wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu za maombi
    • Miongozo
    • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • Mafunzo

KAMATI YA BUNGE YAPONGEZA UTEKELEZAJI WA MRADI WA BARABARA INAYOJENGWA NA WALENGWA WA TASAF MANISPAA SHINYANGA

Posted on: March 16th, 2023

KAMATI ya kudumu ya Bunge ya Utawala Katiba na Sheria Machi 15, 2023 imefanya ziara katika Manispaa ya Shinyanga, kwa kutembelea mradi wa ufunguzi wa barabara kilomita 2.5 ambao unatekelezwa na walengwa wa TASAF Mtaa wa Mwadui Kata ya Ngokolo wenye gharama ya TSh. milioni 25.6.

Kamati hiyo imeongozwa na Makamu Mwenyekiti, Florent Kyombo pia kuhudhuliwa na Waziri Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Jenista Mhagama, pamoja na Naibu Waziri Paulina Gikuli na Ridhiwani Kikwete.

Akizungumza kwenye ziara hiyo, Kyombo amesema amefurahishwa na utekelezaji wa mradi huo kutoka TASAF, unaoratibiwa na Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga, ambao fedha zimekuwa na mchango mkubwa kuchochea maendeleo, pamoja na kuzinyanyua Kaya Maskini kiuchumi.

"Miradi hii ya TASAF ambayo imekuwa ikiibuliwa na walengwa wa TASAF ikiwamo ya ufunguzi wa barabara napenda kutoa msisitizo kwa halmashauri, barabara hizi ziboreshwe na TARURA ili ziwe za kiwango kikubwa,. Naipongeza Manispaa ya Shinyanga kwa kuratibu vizuri mradi huu, ambao umekuwa chachu ya kuziinua kiuchumi kaya masikini" amesema Kyombo.

Kwa upande wake Waziri Mhagama amesema Serikali chini ya Rais Mh. Dkt. Samia Suluhu Hassan, imekuwa ikitenga fedha nyingi kwa ajili ya walengwa wa TASAF na katika Bajeti ya iliyopita kimetengwa kiasi cha TSh. Bilioni 496 na kwa Mkoa wa Shinyanga zimepelekwa TSh. Bilioni 51.4

Amesema Ofisi yake itaendelea kusimamia fedha hizo za TASAF kwenye Program ya miradi ya jamii, ili maono ya Rais Samia yafikiwe na kuchochea maendeleo na kuziinua Kaya maskini kiuchumi na vilehilenakiipongeza Manispaanya Shinyanga, kwa kuutukia vizuri mradi wa ujenzi wa barabara ili kiuwasaidia walengwa wake.

Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Christina Mndeme, ametumia fursa hiyo kumpongeza Rais Dkt. Samia kwa kuendelea kuleta fedha za miradi ya maendeleo mkoani humo zikiwamo na fedha za walengwa wa TASAF Sh.bilioni 51.14 na miradi ya TASAF kwa mkoa mzima ipo 598, huku akiahidi kusimamia miradi hiyo na matumizi sahihi ya fedha.

Tangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WA MADEREVA April 14, 2023
  • TAARIFA KWA UMMA April 27, 2023
  • MAADHIMISHO YA WIKI YA UNYONYESHAJI WA MAZIWA DUNIANI August 04, 2023
  • TAARIFA KWA UMMA MAONESHO YA NANENANE 2023 July 31, 2023
  • Tazama

Habari Mpya

  • MHE. MWEBEA AONGOZA MAADHIMISHO YA SIKU YA MAZINGIRA DUNIANI MANISPAA YA SHINYANGA.

    June 05, 2025
  • MUONEKANO WA JENGO OPD KIPINDI CHA UJENZI NA BAADA YA KUKAMILIKA

    June 03, 2025
  • MUONEKANO WA JENGO LA UTAWALA SHULE YA WASICHANA SHINYANGA KIPINDI CHA UJENZI NA BAADA YA KUMALIZA UJENZI

    June 02, 2025
  • WANAFUNZI KUTOKA SHULE 20 ZA MANISPAA YA SHINYANGA WAKUTANA KUBADILISHANA UJUZI ILI KUBORESHA TAALUMA.

    May 17, 2025
  • Tazama

Video

MWENGE WA UHURU HALMASHAURI YA MANISPAA YA SHINYANGA 2024
Video Zaidi

Kiunganishi cha haraka

  • Tangazo la nafasi ya kazi Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga
  • Urban Sanitation and Hygiene | Mazingira Safi Maisha Bora
  • Ripoti mbalimbali
  • Sheria Ndogondogo za Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga

Tovuti Nyingine tunazohusiana

  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa(TAMISEM)
  • Tovuti ya Utumishi
  • Wizara ya Elimu,Sayansi na Teknologia
  • Baraza la Mitihani Tanzania
  • Mkoa wa Shinyanga
  • Sekretarieti ya Ajira

wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya eneo

Wasiliana Nasi

    Tanesco S, Mwanza Road

    Anwani ya Posta: P.O.Box 28 Shinyanga

    Simu: +255-28-2763213

    Simu ya Mkononi: 0759 023 788

    Baruapepe: md@shinyangamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Ramani ya Tovuti
    • Sera ya faragha
    • Kanusho

Haki zote zimehifadhiwa@2018.Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga