• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe |
    • Malalamiko |
Shinyanga Municipal Council
Shinyanga Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Mipaka ya Kiutawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Rasilimali Watu
      • Elimu ya Sekondari
      • Elimu ya Msingi
      • Fedha
      • Ujenzi
      • Kilimo na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii,Ustawi wa Jamii na Vijana
      • Mipango, Ufuatiliaji na Takwimu
      • Hearth
      • Usafi na Mazingira
      • Land and Natural Resources
    • Vitengo
      • Tecknolojia, Habari, Mawasiliano na Uhusiano
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Usimamizi wa Ununuzi
      • Nyuki na Maliasili
  • Fursa za Uwekezaji
    • Uwekezaji wa Viwanda
    • Fursa za kilimo
    • Ufugaji
    • Ufugaji wa Samaki
    • Fursa za elimu
    • Fursa za Afya
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya Afya
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma ya Maji
    • Huduma ya kilimo
    • Huduma za Ufugaji
    • Ufugaji wa Samaki
    • Huduma za Watumishi
    • Huduma ya utoaji wa Mikopo
    • Kukondisha Vyumba vya Biashara
    • Unyonyaji wa Maji Taka
    • Huduma za Biashara
      • Leseni za Biashara
      • Elimu ya kibiashara
      • Ukaguzi wa Viwanda
      • Usimamizi wa Masoko
      • Prepalation of Good Environment for Investment
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha na Utawala
      • Kamati ya Uchumi, Afya na Elimu
      • Kamati ya Miundombinu
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya kamati za Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iIliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo za Halmashauri
    • Mkataba wa huduma kwa wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu za maombi
    • Miongozo
    • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • Mafunzo

HALMASHAURI YA MANISPAA YA SHINYANGA YAPATA HATI SAFI UKAGUZI WA CAG 2023/2024

Posted on: June 12th, 2025

Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga imepongezwa kwa kupata hati safi katika ukaguzi wa Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) kwa mwaka wa fedha 2023/2024 ulioishia Juni 30, 2024. Pongezi hizo zimetolewa na Mkuu wa Wilaya ya Shinyanga, Wakili Julius Mtatiro, aliyemwakilisha Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga, wakati wa mkutano maalumu wa baraza la Madiwani kwa ajili ya kujadili taarifa za majibu ya hoja zilizoibuliwa na CAG, kikao kilichofanyika leo, Juni 12, 2025.


Akizungumza katika mkutano huo, DC Mtatiro amesema hati safi hiyo ni kielelezo cha usimamizi mzuri wa rasilimali za umma na ushirikiano imara kati ya uongozi wa Manispaa na Baraza la Madiwani.


“Hati hii ni uthibitisho kuwa Manispaa ya Shinyanga, kwa kushirikiana na Baraza la Madiwani, inafanya kazi kwa ufanisi katika ukusanyaji wa mapato, matumizi sahihi ya fedha, na utekelezaji wa miradi ya maendeleo. Hoja zote zilizobaki ni nyepesi na zinaweza kutatuliwa kwa haraka. Natoa siku saba tu hoja zote ziwe zimejibiwa kikamilifu,” amesema DC Mtatiro.


Awali, akiwasilisha taarifa ya ukaguzi Mkuu wa Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani wa Manispaa ya shinyanga, CPA Peter Tarimo, amesema jumla ya hoja 31 ziliibuliwa na CAG, ambapo tayari hoja 3 zimetekelezwa kikamilifu, Halmashauri inaendelea kushughulikia hoja zilizobaki kwa kuwasilisha majibu pamoja na vielelezo kwa Mkaguzi Mkuu wa Nje kwa ajili ya uhakiki.


Kwa upande wake, Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Nje wa Mkoa wa Shinyanga, Ndg. Yusuph Mabwe, ameipongeza Manispaa kwa ushirikiano mzuri na Ofisi ya CAG mkoa katika kushughulikia hoja mbalimbali,


Naye Mstahiki Meya wa Manispaa ya Shinyanga, Mhe. Elias Masumbuko, ameeleza kuwa mwaka 2020 Manispaa ilikadiriwa kukusanya Shilingi Bilioni 3, lakini kutokana na mikakati madhubuti iliyowekwa na wataalamu wa halmashauri kwa kushirikiana na Madiwani, makusanyo ya mwaka 2024 yameongezeka hadi zaidi ya Shilingi Bilioni 6. Huku akitumia fursa hiyo kumpongeza pia Mkurugenzi wa Manispaa kwa juhudi na mikakati yake ya kuhakikisha miradi viporo inakamilika.

Tangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WA MADEREVA April 14, 2023
  • TAARIFA KWA UMMA April 27, 2023
  • MAADHIMISHO YA WIKI YA UNYONYESHAJI WA MAZIWA DUNIANI August 04, 2023
  • TAARIFA KWA UMMA MAONESHO YA NANENANE 2023 July 31, 2023
  • Tazama

Habari Mpya

  • BOTI MPYA YA UOKOAJI ZIWA VICTORIA YAWASILI MANISPAA YA SHINYANGA.

    June 25, 2025
  • MANISPAA YA SHINYANGA YASAINI MIKATABA YA UBORESHAJI WA MIUNDOMBINU YA MIJI TANZANIA.

    June 25, 2025
  • SALAMU ZA PONGEZI

    June 24, 2025
  • SALAMU ZA SHUKRANI

    June 24, 2025
  • Tazama

Video

MWENGE WA UHURU HALMASHAURI YA MANISPAA YA SHINYANGA 2024
Video Zaidi

Kiunganishi cha haraka

  • Tangazo la nafasi ya kazi Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga
  • Urban Sanitation and Hygiene | Mazingira Safi Maisha Bora
  • Ripoti mbalimbali
  • Sheria Ndogondogo za Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga

Tovuti Nyingine tunazohusiana

  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa(TAMISEM)
  • Tovuti ya Utumishi
  • Wizara ya Elimu,Sayansi na Teknologia
  • Baraza la Mitihani Tanzania
  • Mkoa wa Shinyanga
  • Sekretarieti ya Ajira

wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya eneo

Wasiliana Nasi

    Tanesco S, Mwanza Road

    Anwani ya Posta: P.O.Box 28 Shinyanga

    Simu: +255-28-2763213

    Simu ya Mkononi: 0759 023 788

    Baruapepe: md@shinyangamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Ramani ya Tovuti
    • Sera ya faragha
    • Kanusho

Haki zote zimehifadhiwa@2018.Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga