• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe |
    • Malalamiko |
Shinyanga Municipal Council
Shinyanga Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Mipaka ya Kiutawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Rasilimali Watu
      • Elimu ya Sekondari
      • Elimu ya Msingi
      • Fedha
      • Ujenzi
      • Kilimo na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii,Ustawi wa Jamii na Vijana
      • Mipango, Ufuatiliaji na Takwimu
      • Hearth
      • Usafi na Mazingira
      • Land and Natural Resources
    • Vitengo
      • Tecknolojia, Habari, Mawasiliano na Uhusiano
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Usimamizi wa Ununuzi
      • Nyuki na Maliasili
  • Fursa za Uwekezaji
    • Uwekezaji wa Viwanda
    • Fursa za kilimo
    • Ufugaji
    • Ufugaji wa Samaki
    • Fursa za elimu
    • Fursa za Afya
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya Afya
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma ya Maji
    • Huduma ya kilimo
    • Huduma za Ufugaji
    • Ufugaji wa Samaki
    • Huduma za Watumishi
    • Huduma ya utoaji wa Mikopo
    • Kukondisha Vyumba vya Biashara
    • Unyonyaji wa Maji Taka
    • Huduma za Biashara
      • Leseni za Biashara
      • Elimu ya kibiashara
      • Ukaguzi wa Viwanda
      • Usimamizi wa Masoko
      • Prepalation of Good Environment for Investment
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha na Utawala
      • Kamati ya Uchumi, Afya na Elimu
      • Kamati ya Miundombinu
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya kamati za Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iIliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo za Halmashauri
    • Mkataba wa huduma kwa wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu za maombi
    • Miongozo
    • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • Mafunzo

“ FANYENI KAZI KWA KUZINGATIA SHERIA , KANUNİ NA MIONGOZO YA KIUTUMISHI “ RC MBONI.

Posted on: July 24th, 2025

“ FANYENI KAZI KWA KUZINGATIA SHERIA , KANUNİ NA MIONGOZO YA KIUTUMISHI “ RC MBONI


Na: Shinyanga Mc


Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Mboni Mhita leo tarehe 24 Julai, 2025 ameongea na watumishi wa halmashauri ya manispaa ya shinyanga katika katika ukumbi wa mikutano wa kalinjuna uliopo katika ofisi za Manispaa ya shinyanga.


Akizunguza na watumishi wa manispaa Mhe. Mhita amempongeza mkurugenzi wa Manispaa ya shinyanga Mwl. Alexius Kagunze kwa utendaji kazi mzuri huku akiwataka watumishi kuendelea kufanya kazi kwa kuzingatia sheria, kanuni na miongozo ya utumishi wa umma ili kuweza kuwajibika vizuri katika maeneo yao ya kazi.


“Nikupongeze Mkurugenzi kwa utendaji kazi mzuri katika manispaa yako lakini niwatake watumishi kuendelea kufanya kazi kwa kuzingatia kanunia, sheria na taratibu za kiutumishi wa umma ili kusaidia kila mmoja kufanya kazi kwa uwajibikaji na uadilifu katika maeneo yenu ya kazi “. Amesema Mhe. Mhita


Mhe. Mhita amesisitiza pia kwenda kusikiliza na kutatua kero za wananchi kwa wakati, huku akiongezea kuendelea kusimamia vizuri mapato ya ndani kwa kuziba mianya yote inayopoteza mapato, kuendelea kutenga maeneo ya uwekezaji pamoja na kuanzisha vyanzo vipya vya mapato.


Katika hatua nyengine Mhe. Mhita alipata wasaa wa kutembelea na kukagua miradi ya maendeleo inayoendelea kutekelezwa manispaa na kuwataka mafundi na wasimamizi wa miradi hii kujenga majengo yenye kulingana na thamani ya fedha iliyotolewa na serikali na kumaliza kwa wakati ili wanufaika wa miradi hii waanze kuitumia.


Miradi ya maendeleo iliyotembelewa na Mhe. Mhita ni ujenzi wa shule mpya ya sekondari Ishigwandama kata ya Kizumbi, ujenzi wa zahanati ya mwamagunguli Kata ya kolandoto, Ujenzi wa madarasa 2 shule ya msingi Kambarage kata ya Kambarage, Ujenzi wa ofisi za machinga kata ya lubaga, ubanuzi wa mtandao wa maji pamoja na Ujenzi wa barabara ya kenyata hadi karena .


Ziara hii ya Mhe. Mhita ni muendelezo wa ziara zake za kikazi katika halmashauri zote sita zinazojumuisha mkoa wa shinyanga kwa lengo la kutembelea , kukagua miradi ya maendeleo pamoja na kuongea na watumishi wa halmashauri hizo.

Tangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WA MADEREVA April 14, 2023
  • TAARIFA KWA UMMA April 27, 2023
  • MAADHIMISHO YA WIKI YA UNYONYESHAJI WA MAZIWA DUNIANI August 04, 2023
  • TAARIFA KWA UMMA MAONESHO YA NANENANE 2023 July 31, 2023
  • Tazama

Habari Mpya

  • ASITISHIWA MKATABA KWA UTOVU WA NIDHAMU

    July 28, 2025
  • KARIBU MWENGE WA UHURU 2025 MANISPAA YA SHINYANGA

    July 29, 2025
  • KARIBU MWENGE WA UHURU 2025 MANISPAA YA SHINYANGA

    July 28, 2025
  • “ FANYENI KAZI KWA KUZINGATIA SHERIA , KANUNİ NA MIONGOZO YA KIUTUMISHI “ RC MBONI.

    July 24, 2025
  • Tazama

Video

MWENGE WA UHURU HALMASHAURI YA MANISPAA YA SHINYANGA 2024
Video Zaidi

Kiunganishi cha haraka

  • Tangazo la nafasi ya kazi Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga
  • Urban Sanitation and Hygiene | Mazingira Safi Maisha Bora
  • Ripoti mbalimbali
  • Sheria Ndogondogo za Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga

Tovuti Nyingine tunazohusiana

  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa(TAMISEM)
  • Tovuti ya Utumishi
  • Wizara ya Elimu,Sayansi na Teknologia
  • Baraza la Mitihani Tanzania
  • Mkoa wa Shinyanga
  • Sekretarieti ya Ajira

wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya eneo

Wasiliana Nasi

    Tanesco S, Mwanza Road

    Anwani ya Posta: P.O.Box 28 Shinyanga

    Simu: +255-28-2763213

    Simu ya Mkononi: 0759 023 788

    Baruapepe: md@shinyangamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Ramani ya Tovuti
    • Sera ya faragha
    • Kanusho

Haki zote zimehifadhiwa@2018.Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga