• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe |
    • Malalamiko |
Shinyanga Municipal Council
Shinyanga Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Mipaka ya Kiutawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Rasilimali Watu
      • Elimu ya Sekondari
      • Elimu ya Msingi
      • Fedha
      • Ujenzi
      • Kilimo na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii,Ustawi wa Jamii na Vijana
      • Mipango, Ufuatiliaji na Takwimu
      • Hearth
      • Usafi na Mazingira
      • Land and Natural Resources
    • Vitengo
      • Tecknolojia, Habari, Mawasiliano na Uhusiano
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Usimamizi wa Ununuzi
      • Nyuki na Maliasili
  • Fursa za Uwekezaji
    • Uwekezaji wa Viwanda
    • Fursa za kilimo
    • Ufugaji
    • Ufugaji wa Samaki
    • Fursa za elimu
    • Fursa za Afya
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya Afya
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma ya Maji
    • Huduma ya kilimo
    • Huduma za Ufugaji
    • Ufugaji wa Samaki
    • Huduma za Watumishi
    • Huduma ya utoaji wa Mikopo
    • Kukondisha Vyumba vya Biashara
    • Unyonyaji wa Maji Taka
    • Huduma za Biashara
      • Leseni za Biashara
      • Elimu ya kibiashara
      • Ukaguzi wa Viwanda
      • Usimamizi wa Masoko
      • Prepalation of Good Environment for Investment
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha na Utawala
      • Kamati ya Uchumi, Afya na Elimu
      • Kamati ya Miundombinu
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya kamati za Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iIliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo za Halmashauri
    • Mkataba wa huduma kwa wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu za maombi
    • Miongozo
    • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • Mafunzo

DKT. MAGEMBE ATEMBELEA NA KUKAGUA UTOAJI HUDUMA HOSPITALI YA MANISPAA NA KITUO CHA AFYA KAMBARAGE MANISPAA YA SHINYANGA.

Posted on: February 23rd, 2024

DKT. MAGEMBE ATEMBELEA NA KUKAGUA UTOAJI HUDUMA HOSPITALI YA MANISPAA NA KITUO CHA AFYA KAMBARAGE MANISPAA YA SHINYANGA.


Na. Shinyanga Mc


Naibu katibu Mkuu wa Afya Dkt. Grace Magembe leo tarehe 23 Februari, 2024 amefanya ziara Manispaa ya Shinyanga kwa lengo la kukagua miundombinu mbalimbali pamoja na kukagua namna huduma za afya zinavyotolewa katika hospitali ya Manispaa ya Shinyanga na kituo cha afya kambarage.


Dkt. Magembe amepata wasaa wakukagua huduma zote zinazotolewa katika hospital ya Manispaa na kituo cha afya kambarage huku akiwapongeza wataalam kwa kuendelea kutoa huduma bora kwa wananchi


“ Nipo katika ziara yenye lengo la kukagua miundombinu katika hospitali, vituo vya afya pamoja na namna huduma za afya zinavyotolewa kwa wananchi niwapongeze kwa kuendelea kutoa huduma nzuri hivyo, niwaombe muendelee kutoa huduma bora kwani Rais wetu Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amekwisha weka mazingira mazuri katika sekta ya afya na sekta zote kwa ujumla “ amesema Dkt. Magembe


Pamoja na mambo mengine Dkt. Magembe alipata wasaa wa kuongea na wataalam sekta ya afya na

Kuwasihi kuendelea kutoa huduma kwa kuzingia maadili, miongozo, taratibu na kanuni za utoaji wa huduma za afya huku akiwataka Mganga Mkuu wa Mkoa na Mganga Mkuu wa Manispaa kutoa motisha kwa wataalam wa afya wanaotoa huduma bora kwa wagonjwa ili kuendelea kuwapo moyo wa kuzidi kuhudumia wananchi vizuri.



Kwa upande wake Naibu Meya wa Manispaa kwa niaba ya Mstahiki Meya Mhe. Zamda Mwebea amemshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kuendelea kuiwezesha Manispaa ya Shinyanga katika sekta zote hususani sekta ya afya kwani Shinyanga ya zamani na ya sasa katika sekta ya afya imezidi kuboreshwa zaidi.


Ziara hii ya Dkt. Magembe ni muendelezo wa ziara zake kwa lengo la kukagua miundombinu mbalimbali katika hospitali, zahanati na vituo vya afya pamoja na kukagua huduma za afya zinavyotolewa.

Tangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WA MADEREVA April 14, 2023
  • TAARIFA KWA UMMA April 27, 2023
  • MAADHIMISHO YA WIKI YA UNYONYESHAJI WA MAZIWA DUNIANI August 04, 2023
  • TAARIFA KWA UMMA MAONESHO YA NANENANE 2023 July 31, 2023
  • Tazama

Habari Mpya

  • ALAT YAIPONGEZA MANISPAA YA SHINYANGA KWA UTEKELEZAJI MZURI UJENZI WA JENGO LA UTAWALA.

    May 08, 2025
  • MHE.MASUMBUKO AWATAKA MADIWANI KUSHIRIKIANA KIKAMILIFU KUKABILIANA NA WIZI WA VIFAA VYA MIRADI YA MAENDELEO.

    May 07, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI MANISPAA YA SHINYANGA LAMPONGEZA MKURUGENZI KWA UTEKELEZAJI MZURI WA MAAGIZO

    May 06, 2025
  • SERIKALI KUENDELEA KUBORESHA SHULE YA WASICHANA SHINYANGA ILI KUIFANYA KUWA MIONGONI MWA SHULE BORA NCHINI “. NDG. MSIGWA.

    May 03, 2025
  • Tazama

Video

MWENGE WA UHURU HALMASHAURI YA MANISPAA YA SHINYANGA 2024
Video Zaidi

Kiunganishi cha haraka

  • Tangazo la nafasi ya kazi Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga
  • Urban Sanitation and Hygiene | Mazingira Safi Maisha Bora
  • Ripoti mbalimbali
  • Sheria Ndogondogo za Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga

Tovuti Nyingine tunazohusiana

  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa(TAMISEM)
  • Tovuti ya Utumishi
  • Wizara ya Elimu,Sayansi na Teknologia
  • Baraza la Mitihani Tanzania
  • Mkoa wa Shinyanga
  • Sekretarieti ya Ajira

wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya eneo

Wasiliana Nasi

    Tanesco S, Mwanza Road

    Anwani ya Posta: P.O.Box 28 Shinyanga

    Simu: +255-28-2763213

    Simu ya Mkononi: 0759 023 788

    Baruapepe: md@shinyangamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Ramani ya Tovuti
    • Sera ya faragha
    • Kanusho

Haki zote zimehifadhiwa@2018.Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga