• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe |
    • Malalamiko |
Shinyanga Municipal Council
Shinyanga Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Mipaka ya Kiutawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Rasilimali Watu
      • Elimu ya Sekondari
      • Elimu ya Msingi
      • Fedha
      • Ujenzi
      • Kilimo na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii,Ustawi wa Jamii na Vijana
      • Mipango, Ufuatiliaji na Takwimu
      • Hearth
      • Usafi na Mazingira
      • Land and Natural Resources
    • Vitengo
      • Tecknolojia, Habari, Mawasiliano na Uhusiano
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Usimamizi wa Ununuzi
      • Nyuki na Maliasili
  • Fursa za Uwekezaji
    • Uwekezaji wa Viwanda
    • Fursa za kilimo
    • Ufugaji
    • Ufugaji wa Samaki
    • Fursa za elimu
    • Fursa za Afya
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya Afya
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma ya Maji
    • Huduma ya kilimo
    • Huduma za Ufugaji
    • Ufugaji wa Samaki
    • Huduma za Watumishi
    • Huduma ya utoaji wa Mikopo
    • Kukondisha Vyumba vya Biashara
    • Unyonyaji wa Maji Taka
    • Huduma za Biashara
      • Leseni za Biashara
      • Elimu ya kibiashara
      • Ukaguzi wa Viwanda
      • Usimamizi wa Masoko
      • Prepalation of Good Environment for Investment
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha na Utawala
      • Kamati ya Uchumi, Afya na Elimu
      • Kamati ya Miundombinu
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya kamati za Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iIliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo za Halmashauri
    • Mkataba wa huduma kwa wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu za maombi
    • Miongozo
    • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • Mafunzo

DC MTATIRO ASIKILIZA NA KUTATUA KERO ZA WAKAZI WA OLDSHINYANGA MANISPAA YA SHINYANGA.

Posted on: April 2nd, 2024

DC MTATIRO ASIKILIZA NA KUTATUA KERO ZA WAKAZI WA OLDSHINYANGA MANISPAA YA SHINYANGA.


Na. SHINYANGA Mc


MKUU wa wilaya ya Shinyanga Mhe. Julius Mtatiro amesikiliza kero za wananchi wa Kata ya Oldshinyanga na kuzitatua,huku akiwataka watendaji wa Serikali wawe wanatatua kero za wananchi kwa wakati.


Mhe. Mtatiro amebainisha hayo leo Aprili 2, 2024 Kwenye Mkutano wa hadhara wa kusikiliza kero za Wananchi wa Kata hiyo, uliofanyika Viwanja vya Zahanati ya Oldshinyanga na kusema yupo Shinyanga kwa ajili ya kufanya kazi ya kumsaidia Rais Samia, katika kuwahudumia Wananchi na kutatua kero zao ambazo zinawakabili, na kuwataka Watendaji wa Serikali kwamba wakiletewa kero yoyote waitatue kwa wakati.


“Kazi yetu sisi ni kuhudumia Wananchi kumsaidia Rais Samia, na mimi sitakuwa Mkuu wa wilaya wa kukaa Ofisini,bali ni kiongozi wa Field na kuwafuata wananchi hukohuko kwenye maeneo yao na kuwapatia huduma,” amesema Mhe. Mtatiro.


“Kwenye eneo langu mimi la kazi nataka kila Jambo liwe limenyooka, ndiyo maana nafanya Mikutano ya hadhara ya kusikiliza kero za wananchi na kuzitatua, na kama Mwananchi unashida usisubili Mikutano tumieni namba yangu kunipigia 0739-420421 nipeni kero zenu nitazishughulikia,”ameongeza Mhe Mtatiro


Aidha amesisitiza kwa Watendaji wa Serikali ambao wanafanya kazi chini yake wajipange kisawasawa kufanya kazi kuwahudumia Wananchi, na kwamba wakizembea Matatizo yao atayapata kupitia namba yake ya Simu na atafika eneo husika kuitatua.


Nao baadhi ya Wananchi wa Oldshinyanga wametoa kero zao kwa Mkuu wa Wilaya,zikiwamo za Migogoro ya Mipaka, Urasimishaji maeneo,ukosefu Mashamba ya Kilimo,ulipwaji Fidia Mradi SGR, kuchelewa ulipwaji fidia kupisha ujenzi wa Barabara Kiwango cha Lami kutoka Oldshinyanga hadi Solwa, na hivyo kushindwa kufanya Shughuli zingine ikiwamo ujenzi wa nyumba, sababu tathimini imeshafanyika zaidi ya miaka miwili sasa.


Kero zote ambazo zimewasilishwa na wananchi zimepatiwa majibu na Wakuu wa Idara husika pamoja na Mkuu wa wilaya na kutatuliwa,pamoja na zingine kuahidiwa kufuatiliwa.


Ziara hii ya Mkuu wa Wilaya ni muendelezo wa ziara zake za kusikiliza na kutatua kero za wananchi wa Manispaa ya Shinyanga.

Tangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WA MADEREVA April 14, 2023
  • TAARIFA KWA UMMA April 27, 2023
  • MAADHIMISHO YA WIKI YA UNYONYESHAJI WA MAZIWA DUNIANI August 04, 2023
  • TAARIFA KWA UMMA MAONESHO YA NANENANE 2023 July 31, 2023
  • Tazama

Habari Mpya

  • ALAT YAIPONGEZA MANISPAA YA SHINYANGA KWA UTEKELEZAJI MZURI UJENZI WA JENGO LA UTAWALA.

    May 08, 2025
  • MHE.MASUMBUKO AWATAKA MADIWANI KUSHIRIKIANA KIKAMILIFU KUKABILIANA NA WIZI WA VIFAA VYA MIRADI YA MAENDELEO.

    May 07, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI MANISPAA YA SHINYANGA LAMPONGEZA MKURUGENZI KWA UTEKELEZAJI MZURI WA MAAGIZO

    May 06, 2025
  • SERIKALI KUENDELEA KUBORESHA SHULE YA WASICHANA SHINYANGA ILI KUIFANYA KUWA MIONGONI MWA SHULE BORA NCHINI “. NDG. MSIGWA.

    May 03, 2025
  • Tazama

Video

MWENGE WA UHURU HALMASHAURI YA MANISPAA YA SHINYANGA 2024
Video Zaidi

Kiunganishi cha haraka

  • Tangazo la nafasi ya kazi Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga
  • Urban Sanitation and Hygiene | Mazingira Safi Maisha Bora
  • Ripoti mbalimbali
  • Sheria Ndogondogo za Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga

Tovuti Nyingine tunazohusiana

  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa(TAMISEM)
  • Tovuti ya Utumishi
  • Wizara ya Elimu,Sayansi na Teknologia
  • Baraza la Mitihani Tanzania
  • Mkoa wa Shinyanga
  • Sekretarieti ya Ajira

wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya eneo

Wasiliana Nasi

    Tanesco S, Mwanza Road

    Anwani ya Posta: P.O.Box 28 Shinyanga

    Simu: +255-28-2763213

    Simu ya Mkononi: 0759 023 788

    Baruapepe: md@shinyangamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Ramani ya Tovuti
    • Sera ya faragha
    • Kanusho

Haki zote zimehifadhiwa@2018.Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga