• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe |
    • Malalamiko |
Shinyanga Municipal Council
Shinyanga Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Mipaka ya Kiutawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Rasilimali Watu
      • Elimu ya Sekondari
      • Elimu ya Msingi
      • Fedha
      • Ujenzi
      • Kilimo na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii,Ustawi wa Jamii na Vijana
      • Mipango, Ufuatiliaji na Takwimu
      • Hearth
      • Usafi na Mazingira
      • Land and Natural Resources
    • Vitengo
      • Tecknolojia, Habari, Mawasiliano na Uhusiano
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Usimamizi wa Ununuzi
      • Nyuki na Maliasili
  • Fursa za Uwekezaji
    • Uwekezaji wa Viwanda
    • Fursa za kilimo
    • Ufugaji
    • Ufugaji wa Samaki
    • Fursa za elimu
    • Fursa za Afya
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya Afya
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma ya Maji
    • Huduma ya kilimo
    • Huduma za Ufugaji
    • Ufugaji wa Samaki
    • Huduma za Watumishi
    • Huduma ya utoaji wa Mikopo
    • Kukondisha Vyumba vya Biashara
    • Unyonyaji wa Maji Taka
    • Huduma za Biashara
      • Leseni za Biashara
      • Elimu ya kibiashara
      • Ukaguzi wa Viwanda
      • Usimamizi wa Masoko
      • Prepalation of Good Environment for Investment
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha na Utawala
      • Kamati ya Uchumi, Afya na Elimu
      • Kamati ya Miundombinu
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya kamati za Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iIliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo za Halmashauri
    • Mkataba wa huduma kwa wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu za maombi
    • Miongozo
    • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • Mafunzo

BARAZA MAALUM LA MADIWANI MANISPAA SHINYANGA LAPITISHA MPANGO WA BAJETI YA TSH. BIL 36.8 KWA MWAKA 2023/2024

Posted on: January 25th, 2023

HALMASHAURI ya Manispaa ya Shinyanga kupitia Madiwani wake, imepitisha mapendekezo ya Mpango wa Bajeti kwa Mwaka wa Fedha (2023/2024) kiasi cha fedha Tsh. 36,848,918.000.00

Mapendekezo ya Bajeti hiyo yamepitishwa Januari 24, 2023 kwenye Mkutano Maalumu cha Baraza la Madiwani kilichofanyika katika Ukumbi wa mikutano wa Manispaa (Lewis Kalinjuna), huku wakisisitiza kasi ya ukusanyaji mapato iendelee pamoja na kubuni vyanzo vipya ikiwamo ukusanyaji wa ushuru katika madini ya ujenzi.

Mkuu wa Divisheni ya Mipango na Uratibu wa Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga Ndg. Mensaria Humphray Mrema awali akisoma taarifa ya mapendekezo ya Mpango huo wa Bajeti wa mwaka wa fedha (2023/2024) amesema Manispaa inatarajia kukusanya kiasi cha fedha Tsh. Bilioni 36,848,918.000.00

“Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga katika mapendekezo ya mpango wa bajeti ya mwaka wa fedha (2023/2024) tunarajia kukusanya na kutumia Tzs. 36,848,918.000.00 kwa mchanganuo ufuatao, vyanzo ya mapato ya ndani Tsh. Bilioni 6, ruzuku ya matumizi mengineyo Tsh. Milioni 738.6, ruzuku ya mishahara Tsh. Bilioni 21, Ruzuku ya miradi ya maendeleo kutoka Serikali kuu Tsh. Bilioni 4.1 na Ruzuku ya miradi ya maendeleo wahisani Tsh. Bilioni 4.9.” alisema Mrema.

Kwa upande wao Waheshimiwa Madiwani kwa kauli moja walipongeza sana Menejimenti ya Manispaa inayoongozwa na Dkt. Jomaary Mrisho Satura ambaye ndiyo Mkurugenzi wa Manispaa ya Shinyanga kwa juhudi walizozionesha kwa kufanya kazi kwa weledi, maarifa, juhudi na uzalendo hata wakaweza kufanikiwa kuvuka lengo kwa mwaka wa fedha uliopita.

Lakini wakaonya kutojisahau na kubweteka kwa mafanikio hayo , badala yake waongeze juhudi zaidi ili lengo hili lililopishwa likayimie ikiwezekana na kuzidi kabisa na kuongeza umakini zaidi ikiwamo eneo la mapato ya madini ya ujenzi..

Akizungumza wakati wa kufunga mkutano huo Mhe. Elias Ramadhan Masumbuko Meya wa Manispaa ya Shinyanga Elias amewasihi watumishi ambao wanakusanya mapato waendelee kuwa na nidhamu ya fedha, pamoja na kutumia lugha nzuri wakati wa ukusanyaji mapato na kuhifadhi kanzi data, ili kubaini wafanyabiashara ambao wameshalipa mapato na kuondoa kero ya kuwafungia vibanda vyao na wakati walishalipa mapato.

“Bajeti ya mwaka wa fedha (2023/2024) tunakwenda kufanya vizuri zaidi, ila wale ambao mnahusika kwenye ukusanyaji wa mapato, tumieni lugha za weledi sababu watu hawa tunawahitaji ili walipe mapato, na fedha hizo ziendelee kutekeleza miradi mbalimbali ya maendeleo kwa wananchi ikumbukwe kuwa sisi Manispaa na walipa mapato wetu tunao uhusiano mzuru sana tuendelee hivi hivi,” amesema Mhe. Masumbuko.

 Na kwa upande wake muwakilishi wa Mkurugenzi wa Manispaa ya Shinyanga Ndg. John Tesha, amesema wataendelea kusimamia nidhamu kwenye ukusanyaji wa mapato ya ndani, pamoja na kufuatilia vyanzo vipya ikiwamo madini hayo ujenzi huku akimshukuru sana Rais wa Jamhurinya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kuipatia fedha nyingi Manispaa ya Shinyanga.

Aidha, Resha alimshukuru Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga, Mkuu wa Wilaya, Kamati ya Usalama, Mstahiki Meya, Madiwani, Menejimenti, watumishi na wadau wote kwa ushirikiano wao mkubwa na wenye tija na hata kuweza kufanikisha yote hayo.

Tangazo

  • UANDIKISHWAJI WA WANAFUNZI DARASA LA AWALI NA LA KWANZA January 06, 2023
  • TANGAZO LA KAZI YA SENSA May 05, 2022
  • TANGAZO LA AJIRA MPYA June 20, 2022
  • TANGAZO LA KAZI YA KUSIMAMIA UCHAGUZI WA MADIWANI KATA YA MWAMALILI December 07, 2022
  • Tazama

Habari Mpya

  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI

    March 25, 2023
  • KAMATI YA BUNGE YAPONGEZA UTEKELEZAJI WA MRADI WA BARABARA INAYOJENGWA NA WALENGWA WA TASAF MANISPAA SHINYANGA

    March 16, 2023
  • RC MNDEME AZURU SHULE YA WASICHANA SHINYANGA, AAGIZA SPIDI YA UJENZI KUONGEZEKA

    March 16, 2023
  • MANISPAA YA SHINYANGA YAKABIDHI PIKIPIKI MOJA KWA MTENDAJI KATA WA KATA YA MWAWAZA

    March 12, 2023
  • Tazama

Video

MAADHIMISHO YA MIAKA 60 YA UHURU SHINYANGA MC
Video Zaidi

Kiunganishi cha haraka

  • Tangazo la nafasi ya kazi Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga
  • Urban Sanitation and Hygiene | Mazingira Safi Maisha Bora
  • Ripoti mbalimbali
  • Sheria Ndogondogo za Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga

Tovuti Nyingine tunazohusiana

  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa(TAMISEM)
  • Tovuti ya Utumishi
  • Wizara ya Elimu,Sayansi na Teknologia
  • Baraza la Mitihani Tanzania
  • Mkoa wa Shinyanga
  • Sekretarieti ya Ajira

wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya eneo

Wasiliana Nasi

    Tanesco S, Mwanza Road

    Anwani ya Posta: P.O.Box 28 Shinyanga

    Simu: +255-28-2763213

    Simu ya Mkononi: 0767042958

    Baruapepe: md@shinyangamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Ramani ya Tovuti
    • Sera ya faragha
    • Kanusho

Haki zote zimehifadhiwa@2018.Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga