• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe |
    • Malalamiko |
Shinyanga Municipal Council
Shinyanga Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Mipaka ya Kiutawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Rasilimali Watu
      • Elimu ya Sekondari
      • Elimu ya Msingi
      • Fedha
      • Ujenzi
      • Kilimo na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii,Ustawi wa Jamii na Vijana
      • Mipango, Ufuatiliaji na Takwimu
      • Hearth
      • Usafi na Mazingira
      • Land and Natural Resources
    • Vitengo
      • Tecknolojia, Habari, Mawasiliano na Uhusiano
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Usimamizi wa Ununuzi
      • Nyuki na Maliasili
  • Fursa za Uwekezaji
    • Uwekezaji wa Viwanda
    • Fursa za kilimo
    • Ufugaji
    • Ufugaji wa Samaki
    • Fursa za elimu
    • Fursa za Afya
  • Huduma Zetu
    • Huduma ya Afya
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma ya Maji
    • Huduma ya kilimo
    • Huduma za Ufugaji
    • Ufugaji wa Samaki
    • Huduma za Watumishi
    • Huduma ya utoaji wa Mikopo
    • Kukondisha Vyumba vya Biashara
    • Unyonyaji wa Maji Taka
    • Huduma za Biashara
      • Leseni za Biashara
      • Elimu ya kibiashara
      • Ukaguzi wa Viwanda
      • Usimamizi wa Masoko
      • Prepalation of Good Environment for Investment
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha na Utawala
      • Kamati ya Uchumi, Afya na Elimu
      • Kamati ya Miundombinu
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya kamati za Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iIliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo za Halmashauri
    • Mkataba wa huduma kwa wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu za maombi
    • Miongozo
    • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • Mafunzo

BARAZA LA MADIWANI MANISPAA YA SHINYANGA LAMPONGEZA MKURUGENZI KWA UTEKELEZAJI MZURI WA MAAGIZO

Posted on: May 6th, 2025

BARAZA LA MADIWANI MANISPAA YA SHINYANGA LAMPONGEZA MKURUGENZI KWA UTEKELEZAJI MZURI WA MAAGIZO.


Na: Shinyanga MC


Baraza la Madiwani wa Manispaa ya Shinyanga limetoa pongezi kwa Mkurugenzi wa Manispaa ya shinyanga, Mwl. Alexius Kagunze kwa utekelezaji wa maagizo waliotoa katika kikao cha Baraza la Madiwani cha robo ya pili (Oktoba – Desemba 2024/25), hususani katika kushughulikia changamoto na kuboresha utoaji wa huduma kwa wananchi.


Pongezi hizi zimetolewa leo Mei 6, 2025, wakati wa kikao cha Baraza la Madiwani cha robo ya tatu kiichoketi kwa ajili ya kupokea na kujadili taarifa za maendeleo ya kata zilizopo ndani ya Manispaa ya Shinyanga ambapo madiwani wameeleza kuridhishwa na hatua zilizochukuliwa na Mkurugenzi katika kushughulikia changamoto zilizojitokeza kwenye kata zao, ikiwa ni pamoja na kuboresha miundombinu ya elimu, kutenga maeneo kwa ajili ya miradi ya huduma za kijamii, na kuhakikisha upatikanaji wa huduma bora kwa wananchi.


“Mambo mengi yaliyokuwa changamoto kwenye kata zetu kwa kweli yametatuliwa. Wananchi wetu wanafurahia kazi nzuri inayofanywa na Halmashauri chini ya uongozi wa Mkurugenzi,” amesema Mhe. Dotto.


Miongoni mwa mafanikio yaliyobainishwa ni pamoja na utatuzi wa changamoto katika huduma za jamii na upangaji bora wa matumizi ya ardhi, ambapo Halmashauri imetenga maeneo maalum ili wananchi waweze kupisha miradi ya maendeleo inayotekelezwa kwa manufaa ya jamii.


Kwa upande wake, Msitahiki Meya wa Manispaa ya Shinyanga, Mhe. Elias Masumbuko, amewahimiza madiwani kuendelea kusimamia suala la elimu, hasa katika kupambana na utoro mashuleni.


Akizungumza katika kikao hiki, Mkurugenzi wa Manispaa ya Shinyanga, Mwl. Alexius Kagunze amezipokea pongezi alizopewa na Madiwani na kuhaidi kuendelea kutatua changamoto pale zinapojitokeza huku akisema katika kipindi cha robo ya tatu, Serikali imefanikiwa kuajiri watendaji wa mitaa na vijiji vyote vilivyopo ndani ya Manispaa hii , jambo lililosaidia kutatua changamoto ya upungufu wa rasilimali watu na kuongeza ufanisi wa utendaji kazi.

Tangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WA MADEREVA April 14, 2023
  • TAARIFA KWA UMMA April 27, 2023
  • MAADHIMISHO YA WIKI YA UNYONYESHAJI WA MAZIWA DUNIANI August 04, 2023
  • TAARIFA KWA UMMA MAONESHO YA NANENANE 2023 July 31, 2023
  • Tazama

Habari Mpya

  • MHE.MASUMBUKO AWATAKA MADIWANI KUSHIRIKIANA KIKAMILIFU KUKABILIANA NA WIZI WA VIFAA VYA MIRADI YA MAENDELEO.

    May 07, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI MANISPAA YA SHINYANGA LAMPONGEZA MKURUGENZI KWA UTEKELEZAJI MZURI WA MAAGIZO

    May 06, 2025
  • SERIKALI KUENDELEA KUBORESHA SHULE YA WASICHANA SHINYANGA ILI KUIFANYA KUWA MIONGONI MWA SHULE BORA NCHINI “. NDG. MSIGWA.

    May 03, 2025
  • RC MACHA AONGOZA SIKU YA WAFANYAKAZI DUNIANI NGAZI YA MKOA MANISPAA YA SHINYANGA

    May 01, 2025
  • Tazama

Video

MWENGE WA UHURU HALMASHAURI YA MANISPAA YA SHINYANGA 2024
Video Zaidi

Kiunganishi cha haraka

  • Tangazo la nafasi ya kazi Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga
  • Urban Sanitation and Hygiene | Mazingira Safi Maisha Bora
  • Ripoti mbalimbali
  • Sheria Ndogondogo za Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga

Tovuti Nyingine tunazohusiana

  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa(TAMISEM)
  • Tovuti ya Utumishi
  • Wizara ya Elimu,Sayansi na Teknologia
  • Baraza la Mitihani Tanzania
  • Mkoa wa Shinyanga
  • Sekretarieti ya Ajira

wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya eneo

Wasiliana Nasi

    Tanesco S, Mwanza Road

    Anwani ya Posta: P.O.Box 28 Shinyanga

    Simu: +255-28-2763213

    Simu ya Mkononi: 0759 023 788

    Baruapepe: md@shinyangamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Ramani ya Tovuti
    • Sera ya faragha
    • Kanusho

Haki zote zimehifadhiwa@2018.Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga